Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Picha nne za muonekano mpya wa msanii Lulu Michael.... Bado yuko HOT..

$
0
0
      Huu  ni muonekano  mpya  wa  binti  mrembo  maarufu  kwa  jina  la  Lulu  Michael  akiwa  ndani  ya  mapozi  hatari <!-- adsense -->

Ray C aanza kulimezea mate penzi la Diamond Platinumz....Mikakati ya kumpindua Wema Sepetu yaandaliwa

$
0
0
  Ray C ambaye anajipanga kurudi kwa kasi katika muziki wa Bongofleva anadaiwa kulimezea mate penzi la Diamond Platinumz huku akihaha usiku na mchana kumpata kwa kumpindua Wema Sepetu ambaye kwasasa ndiye anayelifaidi   penzi  la  Diamond. ... Chanzo kimoja kilicho karibu na star huyo kikizungumza na Swahilitz kilisema kuwa kwasasa jina la Diamond halikauki mdomoni mwa Ray C :  "Kwa sasa

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 24 March , 2014

$
0
0
                            Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  24  March  , 2014 <!-- adsense -->

Rais Kikwete hakukosea....Alieleza faida na hasara za mifumo ya serikali, hakuvuruga wala kuingilia mchakato bungeni

$
0
0
Said  Nkumba ** KITENDO cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kukosoa hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutoa maoni yake kuhusu rasimu ya Katiba, kimekosolewa.   Pia, imesisitizwa kuwa hakukosea kufanya hivyo na kwamba hotuba yake, haikuvuruga wala kuingilia mchakato ulio bungeni.   Kundi la Wajumbe wa Bunge Maalumu, linalojipambanua kama Tanzania Kwanza, limesema Rais alichofanya

Jeshi la polisi wilayani Nzega mkoani Tabora limemkamata mbunge wa jimbo la Nzega Dkt. Hamis Kigwangalla aliyekuwa kwenye maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu

$
0
0
Jeshi la polisi wilayani Nzega mkoani Tabora limemkamata mbunge wa jimbo la Nzega Dkt. Hamis Kigwangalla aliyekuwa kwenye maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu ya kupinga kufungwa kwa machimbo yao ya mwashina yaliyo jirani na mgodi wa Resolute Tanzania limited.   Kabla ya kukamatwa kwa mbunge huyo askari wa jeshi hilo wametumia mabomu ya machozi na silaha za moto kuwatawanya

Ndenge ya Malaysia iliyopotea ilianguka baharini.....Hakuna mtu aliyenusurika

$
0
0
   Waziri Mkuu wa Malaysia Najib Razak akitangaza leo juu ya utafiti wa rada kuonyesha kuwa ndege iliyopotea imeangukia katika bahari ya Hindi. Tangazo hilo limetolewa wakati ndege ya majini ya Australia ikiwa njiani kuelekea kunakoonekana vitu hivyo vilivyoonwa na ndege za kijeshi wakati wa msako wake. Wanajeshi wa jeshi la Australia wakiwa ndani ya ndege katika kituo cha Kijeshi

Hii ni Video Mpya ya Shilole iitwayo "CHUNA BUZI"

$
0
0
Itazame hapa video mpya kutoka kwa Shilole,wimbo unaitwa 'Chuna Buzi',Video imeongozwa na director Nisher.

Zaidi ya wafanyakazi 200 wa kampuni ya Shoprite maeneo ya Kamata - DSM wamegoma

$
0
0
Zaidi ya wafanyakazi mia mbili wa kampuni ya maduka makubwa ya Shoprite maeneo ya Kamata jijini Dar es salaam wamegoma kufanya kazi kushinikiza uongozi wa kampuni hiyo kuwalipa malimbikizi yao baada ya mwajiri wao kuuza kampuni hiyo kwa mwekezaji mwingine na kusitisha mikataba yao bila kuwalipa malimbikizi yao.   Mwandishi wetu amefika eneo la duka hilo lililopo maeneo ya kamata

Bunge maalumu la katiba limeunda kamati 12 za kujadili na kupitia rasimu ya katiba

$
0
0
Bunge maalumu la katiba limeunda kamati 12 za kujadili na kupitia rasimu ya katiba kifungu kwa kifungu na kisha kuwasilisha maboresho na mapendekezo katika rasimu hiyo bungeni kwa ajili ya kutengeneza katiba inayopendekezwa na kisha katiba hiyo kupigiwa kura ya maoni na wananchi ili kupata katiba mpya.    Akitangaza kamati hizo 12 mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samwel Sita

Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo afariki dunia katika ajali mbaya ya Bajaji na Lori jijini Dar

$
0
0
Mwanafunzi wa kidato cha nne, Shule ya Sekondari Makongo, Priscus Mallya, amefariki dunia katika ajali iliyolihusisha lori na Bajaj katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Bamaga, Dar.   Kwa mujibu wa watu waliokuwa eneo la tukio wakati ajali hiyo ikitokea, wamesema kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ndani ya Bajaj pamoja na wenzake wawili wakielekea shuleni Makongo ambapo walikutana

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 25 March 2014

$
0
0
                        Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  25  March  2014 <!-- adsense -->

Picha nne za Msanii Mustapha zilizomfanya Nyota Ndogo aongoze maandamano kupinga tabia za msanii huyo kuwadhalilisha wanawake wakiwa nusu uchi

$
0
0
Suala la msanii wa Kenya, Colonel Mustapha kupost picha akiwa na Huddah Monroe zilizoweka alama nyingi za kuuliza kwa wana maadili limeendelea kuwa mwiba kwake.   Siku kadhaa baada ya Huddah kudai kuwa hawana uhusiano wowote na Mutapha zaidi ya kupiga picha ili kumpa kick msanii huyo, wanawake wa Pwani wakiongozwa na mwimbaji wa kike wa Kenya Nyota Ndogo waliandamana wakilaani

Wabunge wakubaliana kuzijadili hotuba za Rais Kikwete na Jaji Joseph Warioba......Lengo ni kupeana uelewa mpana wa kilichosemwa ili kuwa bunge moja lenye maridhiano

$
0
0
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.   Sitta alikubali hoja hiyo iliyotolewa na Mjumbe wa Bunge hilo Maalum, Julius Mtatiro kupitia mwongozo alioomba jana.   Sitta

Habari mpya kuhusu shambulizi la Kanisa lililoko Mombasa na mtoto ambae mpaka sasa bado ana risasi kichwani

$
0
0
Idadi ya waliofariki kutokana na shambulizi la Kanisa Mombasa Kenya March 23 2014 imefikia sita ambapo wote hao vifo vyao vimetokana na majereha ya risasi huku wengine tisa waliokua wakipata matibabu hospitali wakiruhusiwa kwenda nyumbani.  Mkuu wa Polisi Kenya amesema bado hawajafutilia mbali kwamba lilikua shambulio la kigaidi ambapo kwa mujibu wa Erick Ponda ambae ni mwandishi wa

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta aja Tanzania kwa usafiri wa gari , safari ya umbali wa kilometa 230.

$
0
0
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta jana alisafiri kuelekea mkoani Arusha nchini Tanzania kwa usafiri  wa gari kwa njia ya barabara, safari ya umbali wa kilometa 230. Rais Kenyatta alisimama katika maeneo kadhaa kabla ya kuvuka mpaka wa Namanga kwa kutumia kitambulisho kipya kinachoruhusu wananchi wa nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki kutumia kusafiri baina ya nchi hizo kwa urahisi

Mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi waendelea kutokota:Jopo la usuluhishi lashauri nchi hizi zibadilishane hoja badala ya kufikishana mahakamani ( ICJ )

$
0
0
Jopo  la usuluhishi wa mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa linaloongozwa na Mwenyekiti wake, Rais mstaafu wa Msumbiji, Joachim Chissano, limezishauri Tanzania na Malawi, kubadilishana hoja kwa njia za majadiliano badala ya kufikishana kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ). Ushauri huo ulitolewa na jopo hilo juzi katika mkutano uliozikutanisha pande mbili hizo, mjini Maputo, Msumbiji,

Baba amnyonga mwanae wa mwaka mmoja na kuacha ujumbe usemao: “Unyama unyamani,tutafute pesa kwanza niite j.m.k.a gaidi”

$
0
0
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba, Henry Juma, amenyongwa na baba yake mzazi hadi kufa na kisha mwili wake kulazwa kitandani na mtuhumiwa kutokomea kusikojulikana.   Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya , Ahmed Msangi alisema jana mauaji hayo yalifanyika katika eneo la Migombani katika Mji mdogo wa Tunduma.   Alisema pembeni mwa mwili wa marehemu ulikutwa ujumbe unaosadikiwa

Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa afariki dunia Ghafla akiwa katika harakati za kufunga mafunzo ya mgambo katika kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime

$
0
0
MKUU wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa, amefariki dunia ghafla leo majira ya saa 4.30 asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara.   Katibu tawala wa mkoa wa Mara, Bw. Benedict Ole Kuyan, amesema kuwa Bw. Tuppa kabla ya kifo chake leo asubuhi akiwa na afya njema alifika katika ofisi ya za mkoa na kumuaga kuwa

Nape Nnauye amnadi Ridhiwani Kikwete kwa wana Chalinze

$
0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkoko wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za kumnadi kumgombea Ubunge jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete ambapo wananchi hao walielezwa kitendo cha kuzuiwa kupiga kura ni sawa na ubakaji wa Demokrasia na CCM itakula sambamba na wabakaji wa Demokrasia.  Katibu wa NEC Itikadi

Madee alalamika baada ya wimbo wake kuondolewa kwenye KTMA 2014

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limeziondoa nyimbo tatu kwenye mchakato wa tuzo za muziki Tanzania, KTMA kwa madai kuwa zinakiuka maadili ya Kitanzania. Nyimbo hizo ni pamoja na ‘Nimevurugwa’ wa Snura, ‘Uzuri wako’ wa Jux na ‘Tema Mate’ wa Madee.   Akizungumza nasi  leo baada ya kupata taarifa ya kuondolewa wimbo wake kwenye tuzo hizo, Madee amesema hajapendezwa na hatua
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images