Rais Kikwete amekwishaanza kulihutubia bunge la Katiba.... Bofya hapa kumsikiliza moja kwa moja toka Bungeni Dodoma
↧
↧
Dondoo muhimu za Hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa leo Bungeni.....
Nawapongezeni kwa Kuwa sehemu ya
Kuandika historia Mpya kwa Taifa la Tanzania,Mkitunga Katiba Bora Majina
yenu yataandikwa kwa Wino wa Dhahabu.
Naombeni Mtunge Katiba Itakayo Dumisha Umoja wetu,Asili zetu,Katiba ambayo haitatutenganisha kirangi,Kisiasa au Kiimani.
Kihistoria hii ni Mara ya 3 Katiba
ya Tanzania Inatungwa Upya,Tofauti na Vipindi Vingine.Kipindi hiki
Utungaji wa
↧
Hotuba ya Rais Kikwete wakati wa kulihutubia bunge maalumu la katiba, tarehe 21 March 2014
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA
Pongezi
Nakushukuru sana Mheshimiwa Mwenyekiti kwa kunipa fursa ya kuja kuzungumza na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge letu Maalum la Katiba katika siku hii muhimu na ya kihistoria kwa nchi yetu. Nimekuja kuwatakia heri na
↧
Happiness (Miss Tanzania 2013) aeleza kwa nini hawezi kushiriki kwenye video za wasanii na filamu
Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa hana mpango wa kuonekana
kwenye video za wasanii wa bongo flava ama filamu kama baadhi ya
washiriki wa shindano hilo.
Happines Watimanywa ameiambia Times Fm kuwa yeye binafsi
hana mpango wa kuingia kwenye video za wasanii kama video vixen/video
queen kwa kuwa hana kipaji hicho na hana mzuka wa kuonekana kwenye
tasnia hizo.
“My passion
↧
Loveness Diva atukanwa baada ya kumtaka kimapenzi Lulu Michael...."Nampenda sana huyu binti, ningekuwa mwanaume ningemtongoza"
Mwanadada Loveness aka Diva the Boss mtangazaji wa Clouds fm
kipindi cha Ala Za Roho, kinachozungumzia maswala ya mapenzi na mahusian juzi
usiku alijikuta akielezea hisia zake kwa Muigizaji Elizabeth Michael a.k.a Lulu na kudai kuwa anampenda sana...
"Kutoka moyoni nampenda
sana huyu binti, ningekuwa mwanaume ningemfuata na kumtongoza, sema mimi ni mwanamke tu"
Hii ilikuwa
↧
↧
Ridhiwani Kikwete aahidi kuongeza shule na mabweni Chalinze endapo wananchi watamchagua kuwa mbunge wao
Mgombea Ubunge wa CCM wa Jimbo la Chalinze,
Ridhiwan Kikwete amewaahidi wananchi wa Kata ya Ubena kuwatatulia
tatizo la watoto wao kutembea umbali mrefu kwa kuongeza idadi ya shule
na mabweni mapya kwenye kata hiyo.
Alisema amekuwa akiumia kuwaona vijana wa shule
za sekondari wanaolazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 15
kufuata masomo na kuomba ridhaa ya wananchi ili
↧
CHADEMA yaahidi amani na maendeleo Chalinze endapo mgombea wake atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (Chadema) Mkoa
wa Pwani, Elison Kinyaha amesema ili kudumisha maendeleo, upendo na
amani ndani ya Jimbo la Chalinze, upo ulazima wa wakazi wa jimbo hilo
kumchagua Mathayo Torongey katika uchaguzi mdogo unaotarajia kufanyika
mapema Aprili 6, mwaka huu.
Kinyaha alisema kutokana na uelewa mpana wa wakazi
wa jimbo hilo ni wazi kuwa chama hicho ndicho
↧
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba washindana kumshangilia mh. Rais kutokana na ubora wa hotuba yake ....Freeman Mbowe aongoza
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana waligawanyika katika
kushangilia hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya
Kikwete.
Mwandishi wetu alishuhudia baadhi ya wajumbe wa CCM
wakidiriki hata kusimama, huku wakipiga makofi wakati Rais Kikwete
alipokuwa akielezea upungufu aliouona katika Rasimu ya Pili ya Katiba.
Pia kwa upande mwingine, baadhi ya wajumbe
↧
Mtalii kutoka nchini Ujerumani akwama katika kilele cha Mawenzi mlima Kilimanjaro.....
Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika
kama Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya
saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani
Kilimanjaro kwa kamba iliyonasa na kuwafanya wasiweze kushuka chini wala kwenda
juu.
Bi. Jeanne na Athuman Juma walianza kupanda
mlima kupitia Kampuni ya Nordic Tours tarehe 18.3.2014 kwa
↧
↧
Bunge la Kenya lakubali ndoa ya wake wengi....Mwanaume anaruhusiwa kuoa wanawake hata 10, tena bila mashauriano yoyote na mke wake
Bunge nchini Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo.
Katika marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa Alhamisi iliyopita,ndoa zote zitatakiwa kusajiliwa na umri wa chini wa mwanamke kuweza kuolewa umewekwa ili kuzuia ndoa za mapema za watoto, hasa wasichana.
Siku hiyo ya Alhamisi Wabunge
↧
China yasema imeona kitu katika bahari ya Hindi kinachodhaniwa ni mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea
Picha
iliyotolewa na vyombo vya habari vya China vikionyesha kitu kipya
kilichogunduliwa na satellite za nchi hiyo kikielea katika Bahari ya
Hindi ambacho kinahisiwa huenda kikawa na uhusiano na ndege ya Malaysia
iliyopotea.
Picha
za Satellite kutoka kituo cha utafiti cha Marekani kikionyesha eneo
ambako msako mkali unaendelea kuitafuta ndege iliyopotea huko katika
bahari ya Hindi.
↧
Magazeti ya leo Jumapili March 23 2014
↧
Mtalii aliyekwama kilele cha Mawenzi mlima kilimanjaro aokolewa
Mtalii Jeanne Traska kutoka Ujerumani
Bi.Jeanne
Traska kutoka Ujerumani na Muongoza Wageni Athumani Juma wakiwa katika
Lango la Marangu pamoja na vifaa mbalimbali walivyokwama navyo katika
kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro mara baada ya kuokolewa.
*********
Kikosi cha
Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani
↧
↧
Watu wanne wauawa kinyama ndani ya kanisa mjini Mombasa
Watu wane wameuawa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni magaidi waliokuwa wamejihami kwa
bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa linalojulikana kwa jina la Joy Jesus Church lililo karibu na mji wa bandari ya
Mombasa nchini kenya....
Watu wengine kumi na saba wamejeruhiwa. Maafisa wa polisi katika wilaya ya Likoni ambayo
iko kusini mwa Mombasa wamesema
↧
Muonekano Mpya wa msanii Irene Uwoya.....
↧
Mabanda yanayoonyesha video chafu za ngono yafutiwa leseni
Serikali
mkoani Pwani imefuta vibali vya uendeshaji wa mabanda ya kuonyesha
video wilayani Kibaha pamoja na kuanzisha uchunguzi wa wanafunzi wa
shule msingi wanaojihusisha na vitendo vya ulawiti.
Hatua hiyo inachukuliwa baada ya wanafunzi wa kiume wa shule za
msingi wilayani humo kudaiwa kufanya vitendo hivyo vyenye athari kiafya
na kitaaluma.
Katika hatua nyingine,
↧
Ridhiwani Kikwete aishuhudia shule iliyoezuliwa paa na kimbunga katika kijiji cha Kikwazu.....Aahidi kusaidia kuiboresha tena
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,
Ridhiwani Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji cha
Kikwazu, Mussa Yahaya kuhusu shule ya msingi Kikwazu iliezuliwa paa na
kimbunga mwanzoni mwa mwaka huu na kubakisha darasa moja tu
linalotumika.
Mgombea
Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,
Ridhiwani
↧
↧
Boti yazama na kuua wakimbizi 25 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokuwa wakitoroka nchini Uganda wakirejea kwao
MIILI 25 imepatikana Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuzama.
Wakimbizi hao walikuwa wakitoroka kutoka kambi ya wakimbizi ya Kyangwali wilayani Hoima magharibi mwa Uganda, wakirejea kwao.
Kwa sasa Jeshi la polisi linaendelea na jitihada za kutafuta miili
zaidi. Kamanda wa polisi wa eneo hilo John Ojukuna amesema watu 43
↧
Mastaa wanaswa laivu wakifanya vitendo vya laana
Baadhi ya mastaa wamenaswa laivu wakifanya vitendo
vilivyotafsiriwa kuwa vya kifuska......
Baadhi ya mastaa wakionyeshana ufundi wa kucheza.
Tukio hilo lilijiri kwenye Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo maeneo ya
Victoria, Dar wikiendi iliyopita ambapo kulikuwa na Kibao Kata cha mtoto
wa mjini, Rose Alphonce Nungu ‘Muna Love’.
Ilikuwa ni full kukata mauno ndani ya Letasi Lounge.
↧
Mashoga wazidi kuongezeka Bongo....Nini hasa sababu?....Au wateja wamezidi kuwa wengi? ...Karibu kwa maoni
Nimepita pita huko mitaani hasa Kinondoni, kwenye mahotel ,ma bar na
kumbi za starehe, nimeshangaa sana kuona wakaka poa kibao, tena
wamejiremba kama wadada vile, nao wakijiuza kama machangudoa....
Nini hasa
tatizo ?? Toa maoni na mtazao wako juu ya swala hili labda tunaweza pata wazo jipya kuhusu hawa watu...
>>Udakuspecially
<!-- adsense -->
↧
More Pages to Explore .....