Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watanzania wafanyishwa UKAHABA nchini China.....Waziri Membe asema kuna mtandao unaowasafirisha

$
0
0
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imebaini kuwepo mtandao wa wanaosafirisha wasichana wenye umri mdogo kutoka nchini na kuwapeleka China kisha kuwafanyisha vitendo vya ukahaba pasipo ridhaa yao.   Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Waziri wa Wizara hiyo, Bernard Membe, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali yanayohusu wizara

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabaini kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze

$
0
0
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebaini kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka huu.   Uchaguzi huo unafanyika baada ya nafasi hiyo kuwa wazi kutokana na kufariki kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Saidi Bwanamdogo, aliyefariki Januari 22, mwaka huu.   Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Damian Lubuva

Bunge la katiba lavurugika....Vurugu zaibuka, wajumbe wazomeana na kurushiana matusi

$
0
0
TAARIFA ya kuwepo kwa marekebisho mapya ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, zimesababisha vurugu, kurushiana matamshi yasiyo ya staha na kuzomeana bungeni, huku Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samuel Sitta, akituhumiwa kushiriki kuchakachua Kanuni hizo.   Hali hiyo ilijitokeza jana jioni, baada ya Sitta kuruhusu mwongozo kutoka kwa Mjumbe wa Bunge hilo, Tundu Lissu, ambaye alidai kuwa na

Bunge Kusitishwa....Ni kutokana na kupigwa kalenda mara kwa mara....Pinda kuomba kwa Rais bunge la bajeti liruhusiwe na uchaguzi wa Serikali za Mitaa usogezwe mbele

$
0
0
  KAMA mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, unaweza kusogezwa mbele hadi mwakani.   Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).   Pinda alisema muda

Filamu ya Wema Sepetu 'Madame' kuingia sokoni leo

$
0
0
Filamu aliyoigiza Wema Sepetu kama mhusika mkuu iliyopewa jina la Madame (Our Own Crazy Bosy Lady) iliyotayarishwa na kampuni ya Simulizi African Entertainment itaingia sokoni leo (March 27).   Filamu hiyo imewasusisha waigizaji wengine kama Simon Mwapagata aka Rado, Maulid Ally, Sudi Ally na Deogratius Shija. Madame itasambwazwa na kampuni ya Steps Entertainment. <!--

Kampeni za ubunge Chalinze: Viongozi wa CUF wavamia ofisi za CCM na kumvunja Mikono mwenyekiti wa CCM kata ya Ubena

$
0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akizungumza na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa.  Katibu wa Wilaya ya Makete Miraji Mtaturu akizungumzia tukio lililomkuta  Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia

Wanafunzi wawili wa chuo cha Mwenge Moshi wakamatwa kwa kosa la kuwabaka wanafunzi wawili wa sekondari

$
0
0
  Ofisa wa Polisi anayeshughulikia Dawati la Jinsia na Watoto, Afande Kasusura akiwa na bwana Majaliwa ambaye ni mmoja wa watuhumiwa wa ubakaji. Mtuhumiwa Majaliwa akioneshwa watoto alioshiriki kuwabaka kabla ya kwenda kuonesha mwenzake alipo. Afande Kasusura akimpeleka mtuhumiwa kuonesha mwenzake alipo. Majaliwa akitolewa ndani ya nyumba wanayoishi ambayo ndiyo iliyotumika kuwabaka watoto

Maelfu wajitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Marehemu John Gabriel Tupa

$
0
0
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kutoka kushoto Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Mara Poul Kasabago, mjumbewa NEC wa CCM Christopher Gachuma , Mjumbe wa NEC wa bunda CCM. Kutoka kushoto mwakilishi wa Chanel ten Augustine Mgendi, George Maratu wa ITV na Florence Focas wa Mwananchi.  Mwenyekiti wa Bakwata Musoma mjini akiwa

"Kipi Sijasikia???...Mlisema Profesa Jay ana UKIMWI, Profesa Jay Kafulia..Ohh Jay kakimbia Madeni.." Huu ni Wimbo mpya wa Prefesa Jay akimshirikisha Diamond

$
0
0
  Joseph Haule aka Prof. Jay baada ya kuwa kimya sasa anakuja na ngoma yake ya ‘Kipi Sijasikia’ akimshirikisha mkali  wa Bongo flava Diamond Platnumz.   Wimbo wa Prof. Jay umefanyika katika studio ya Bongo Records chini ya producer P.Funk Majani.   Wimbo  bado  uko  jikoni  ukimaliziwa  kuandaliwa...Vuta  Subira  kidogo <!-- adsense -->

Mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia March 27 jijini Dar es Salaam zimesababisha madhara makubwa.

$
0
0
Mvua zilizonyesha usiku kucha( kuamkia  March 27)  jijini Dar es salaam zimesababisha madhara makubwa Msasani village katika makazi ya watu baada ya  maji kujaa hadi ndani na magari kushindwa kutoka hali iliyosababisha watoto kutokwenda shule na hata wazazi kushindwa kwenda makazini.    Mwandshi wetu  alifika katika makazi hayo ya highland villa na kulazimika kuingia ndani ya maji

Amanda amwagiwa matusi mazito facebook

$
0
0
Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa matusi na mdada wa mjini aliyejulikana kwa jina la Jesca kisa kikidaiwa ni baada ya kutangaza kuwa, yeye na mume wake wa zamani, Hamis Bwela bado ni damudamu. Akizungumza hivi karibuni na Ijumaa, Amanda alisema kuwa, Jesca alianza kumtukana kwenye mtandao wa

Kutokwa na damu bila mpangilio Ukeni....

$
0
0
Tatizo hili huwasumbua wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na baadhi ya wanawake ambao tayari wameshafikia ukomo wa kuzaa. Kwa mwanamke aliyekwishafunga kupata hedhi kuendelea kupata damu ya hedhi au kutokwa na damu ukeni bila ya mpangilio siyo hali ya kawaida.   Mwanamke anaanza kuvunja ungo kuanzia umri wa miaka 12 na hufikia ukomo kuanzia umri wa miaka 45. Kupatwa na damu ukeni

Jackline Wolper na Irene Uwoya wamaliza ugomvi wao wa muda mrefu baada ya kupatanishwa.....

$
0
0
Ule ugomvi  uliokuwepo kwa takribani miaka miwili  kati ya mastaa wakubwa na warembo Jackline Wolper na Irene Uwoya hatimaye umefikia tamati baada ya kupatanishwa juzi.  Wawili hao walidaiwa kuingia katika beef zito baada ya Uwoya kumsema Wolper vibaya kwenye media ambapo pia aliwahi kukaririwa na gazeti moja akiwa jijini Arusha akisema kuwa Wolper amemroga ili amshushe kwenye sanaa na

Utafiti: Wananchi wengi wakubali Ridhiwani Kikwete kuwa Mbunge wa jimbo lao la Chalinze.....

$
0
0
WANANCHI wa vijiji kadhaa vilivyomo katika Jimbo la Chalinze, ambalo Aprili 6, mwaka huu litafanya uchaguzi mdogo wa Ubunge, wamempa nafasi kubwa ya kuibuka mshindi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa uchunguzi tulioufanywa   katika vijiji saba vya jimbo hilo, wengi wa waliohojiwa kuhusu mshindi wa nafasi hiyo, walisema Ridhiwani anashika namba moja kwa vile ni mtu

Serikali imetenga Shilingi Milioni Mia Tano (Tshs 500m) kwa Halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za Walimu.

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewaambia Wananchi wa Tanga, jana tarehe 27 Machi,2014 wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume kuwa; "Tayari Halmashauri za Mkinga, Pangani na Kilindi zimeshapata pesa hizo , na tumetenga kiasi kama hicho kwa kila Halmashauri zingine nchini  ili kuboresha makazi na Nyumba za Walimu " Rais amesema. Fedha hizo ni sehemu ya fedha iliyotengwa

Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 28 March 2014

$
0
0
                              Magazeti  ya  leo  Ijumaa  ya  tarehe  28  March  2014 <!-- adsense -->

Mwigulu Nchemba awatuhumu Freeman Mbowe na Ismail Jussa kwamba wanataka kuleta USHOGA nchini....Bunge lachafuta, Mwenyekiti amtaka aombe radhi

$
0
0
Naibu Katibu wa Fedha, Mwigulu Nchemba  jana  katika Bunge Maalum La Katiba alichafua hali ya hewa baada ya kumwambia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na mwakilishi wa Mji Mkongwe, Ismail Jussa kwamba wanataka wabunge wa bunge hilo watumie kura ya siri badala ya wazi kwa kuwa ni mashoga.    "Wanaotetea kura ya siri itumike katika kupitisha Katiba ya Watanzania, wanaunga

Rais Kikwete atoa msimamo endapo bunge litavunjika....Asema katiba ya zamani itaendelea kutumika....Adai ni wajibu wake kuwaeleza wananchi ukweli

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete amesema kama mchakato wa upatikanaji Katiba Mpya utakwama kwa namna yoyote, Katiba iliyopo sasa itafanyiwa marekebisho na kuendelea kutumika.   Alisema kama Kiongozi Mkuu wa Serikali ni wajibu wake kuwaeleza ukweli wananchi kama alivyowasilisha hotuba yake kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Mjini Dodoma, kuhusu hatari ya muundo wa Serikali tatu ambayo ndiyo

Wanaume wa Korea Kaskazini waamriwa kunyoa style moja ya nywele ya kiongozi wao Jong-Un

$
0
0
Hii ndio ‘Dear Leader’ style wanayotakiwa kunyoa wanaume wa Korea Kaskazini ** Tumekuwa tukisikia sheria mbalimbali zikipitishwa katika nchi mbalimbali zinazowataka watu wavae au wasivae mavazi ya aina fulani, lakini huko Korea Kaskazini imepitishwa sheria inayowataka wanaume wote wa nchi hiyo kunyoa style ya nywele ya kiongozi wao iliyopewa jina la ‘Dear Leader’ Wiki mbili

Video: Jay Mo, Profesa Jay & Juma Nature wavaa gwanda za kijeshi na kutoa video mpya iitwayo "JWTZ"

$
0
0
Wasanii manguli wa Tanzania ambao majina yao yanaanzia na J, Juma Mchopanga aka Jay Mo, Joseph Haule aka Profesa Jay na Juma Cassim aka Nature wameingia studio kufanya ngoma mpya iitwao ‘JWTZ’.   Wimbo huo pamoja na video yake vimefanyika kwenye studio za Williamz Visions chini ya mtayarishaji Mike Mwakatundu aka Mike T.  Tazama video inayoonesha wakali hao wakiwa wamevalia nguo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images