Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watuhumiwa wa ujambazi wapigwa mawe hadi kufa

$
0
0
Watu watatu wanaotuhumiwa kuwa majambazi wamepigwa mawe hadi kufa na wananchi wa Kijiji cha Bubare Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Watuhumiwa hao waliuawa baada ya kuwekewa mtego kutokana na kuwapo taarifa za wao kutaka kuvamia nyumba ya mmoja wa wakazi wa kijiji hicho kwa nia ya kupora fedha za mauzo ya mifugo.

Baadhi ya viongozi wa Serikali ya kijiji waliojaribu kuwazuia wananchi kuwashambulia watuhumiwa hao, walilazimika kutimua mbio kuokoa maisha yao baada ya kugeuziwa kibao na kuanza kushambuliwa.

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Denis Mwila alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mikononi wanapowakamata watuhumiwa, badala yake wawafikishe kwenye mikono ya vyombo vya dola kwa hatua za kisheria.

Akizungumzia namna njama za watuhumiwa hao zilivyojulikana na kuwanasa, Mkuu huyo wa wilaya alisema uongozi wa kijiji na jeshi la polisi walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu watu kutaka kuvamia nyumba ya mkazi huyo aliyeuza mifugo yake Mei 16. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi alisema uchunguzi kuhusu tukio hilo unaendelea na kuahidi kutoa taarifa baadaye.

Madhara Makubwa Manne ya Kupiga Punyeto

$
0
0
Kujichua kuna madhara makubwa hata kama unaona kunakupa raha. Kujichua kunaweza kukufanya ukawa mtumwa wa tendo hili na ukifikia hatua hii basi ni dhahiri kuwa kumeshaathiri afya yako ya akili kwa kiasi kikubwa.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wanasansi wa masuala ya ngono wa nchini Marekani akiwemo Dr. Michael Reece, (PhD, MPH) umebainisha kwamba iwapo utakuwa unapenda kujichua hautaona kama unapata ladha yoyote ya tendo la ndoa na mwenzi wako, lakini sio kweli kama ladha ya mwenzi wako imebadilika au kupotea, la hasha, ila kujichua kumeshabadili akili yako na mbaya zaidi umeshakuwa mtumwa wa kitendo hiki

Unaweza  kupata magonjwa ya akili kama vile sonona. Na kujikuta unaanza kuwachukia watu wa jinsia ya tofauti na wewe, kwa sababu tayari akili yake umeshaathirika kisaikolojia anajiona kuwa haja yake ya kimapenzi anaweza akaitimiza yeye mwenyewe pasipo ushirikiano na mtu mwingine

Lakini pia, kujichua kunachangia kupoteza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu. Kwa mwanaume kunaweza kumsababishia uume kulegea au kuwahi kufika kileleni, na kwa mwanamke kujichua kunampotezea ile hali ya kuhimili tendo la ndoa (sexual drive).

Pia kama utakuwa mpenzi wa kujichua unakuwa kwenye hatari kubwa ya kupoteza nywele na kupoteza kumbukumbu.

Maagizo Aliyoyatoa Rais Magufuli Kwa CCM

$
0
0
Baada ya muda mrefu kuwepo kwa vilio vya wapenda michezo nchini kote juu ya miundombinu mibovu ikiwemo viwanja, hatimaye Rais Magufuli ameliona hilo na kuagiza moja ya wamiliki wakubwa wa viwanja, Chama Cha Mapinduzi kuviboresha.

Akiongea jana kwenye hafla ya kukabidhi kombe kwa mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara, Rais Magufuli amesema wao kama serikali watashirikiana na TFF pamoja na vyama vingine vya michezo kuboresha miundombinu ili timu zifanye vizuri kimataifa.

''Niwaombe Chama Changu cha CCM ambao ndio wamiliki wa viwanja vingi nchini kuboresha miundombinu hiyo ili iwezeshe wanamichezo kufanya maandalizi mazuri yatakayofanikisha kufanya vizuri Afrika na duniani kimichezo'', alisema.

Kwa upande mwingine Waziri wa Habari, Dkt. Harrison Mwakyembe alimweleza Rais kuwa wao kama Wizara wanasubiri bajeti yao ya mwaka wa fedha 2018/19, ipitishwe Bungeni ili wafanye ukarabati wa viwanja vya Uhuru pamoja na Taifa kwaajili ya mashindano ya AFCON U17, 2019.

Ikumbukwe kuwa Tanzania itakuwa mwenyeji wa fainali hizo za mwakani kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17. Tanzania itawakilishwa na Serengeti Boys ambayo mwaka 2017 ilishiriki nchini Gabon na kushika nafasi ya tatu.

Sugu kutinga bungeni kesho May 21

$
0
0
Siku 11 baada ya mbunge wa Mbeya, (Chadema) Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ kuachiwa huru, kesho Mei 21, 2018 ataingia bungeni.

Sugu ataingia bungeni kuwawakilisha wananchi wa Mbeya baada ya kulikosa bunge hilo la bajeti tangu lilipoanza Aprili mwaka huu.

 Sugu amesema: “Nipo Dodoma tayari, nimekuja baada ya hali ya mama yangu kuendelea kuimarika na kesho (Mei 21,2018) nitaanza kuwawakilisha wana Mbeya walionituma.”

“Wana Mbeya walikosa mwakilishi, walikosa wa kuwasemea mambo yao, kwani kilichotokea juu yangu ilikuwa kuwanyima fursa Mbeya kusikika ndani ya mjengo, sasa nimerudi kuwatumikia kwa nguvu zangu zote.”

Amesema kile kilichomtokea kimemwongezea umaarufu zaidi ya aliokuwa nao, “unajua mimi nilikuwa maarufu lakini kwa hiki kilichonitokea, nimekuwa mashuhuri na si maarufu tena.”

“Nikiwa njiani, Makambako wananchi wamenipa pole na wengine pongezi, sawa na Iringa na hapa Dodoma na kila mahali ninapopita, watu wanapiga picha na mimi, sasa utasema ni maarufu, mimi ni mashuhuri,” ameongeza:

Sugu na Katibu wa Chadema, Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga walihukumiwa Februari 26, 2018 kwenda jela miezi mitano na Mahakama ya Hakimu Mkazi, Mbeya baada ya kuwakuta na hatia ya kutoa lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli.

Mei 10, Sugu na Masonga waliachiwa huru kwa msamaha wa Rais Magufuli alioutoa Aprili 26, 2018 wakati wa sherehe za Muungano

Serikali Yawaasa Viongozi Wa Dini Waepuke Migogoro

$
0
0
SERIKALI imewaasa viongozi wa dini waeuepuke migogoro ya mara kwa mara katika Makanisa yao na badala yake waendelee kuwajenga waumini wao wakue kiroho na kujenga dhana ya umoja na upendo katika Taifa.

Pia imesema inawashukuru viongozi wa dini na madhehebu yote ya dini kwa kuendelea kuiombea nchi amani, mshikamano na utulivu, jambo ambalo linaongeza chachu kubwa kufikia mafanikio ya maendeleo ya kijamii, kisiasa na kiuchumi.

Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 20, 2018) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika ibada ya kutawazwa Askofu Dkt. Maimbo Mndolwa wa Dayosisi ya Tanga kuwa Askofu Mkuu wa saba wa Kanisa la Anglikana Tanzania. Ibada hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Dayosisi ya Central Tanganyika Jijini Dodoma.

“Nawaombeni wote kwa ujumla wetu, tuendelee kutumia Makanisa yetu kuombea Taifa hili ili tuendelee kuishi kwa amani, upendo na mshikamano”. Watu wa Mungu ni watu wa Upendo, watu wa Mungu ni watu wa amani, watu wa Mungu ni watu wa kiroho”.

Waziri Mkuu ameongeza kuwa “haitarajiwi kuona watu wa Mungu wakiwa katika mstari wa mbele kuchochea migogoro, kuvunja amani ya Kanisa na kuongoza makundi yanayopingana katika kazi ya Bwana”.

Amesema jukumu la makanisa ni kuwajenga waumini kukua kiroho, na kazi ya kuwaongoza watu wamjue Mwenyezi Mungu, ambapo amewaomba imani yao iwe moja na matendo yao yafanane na yale ya Kristo Yesu wanayemuamini.

Waziri Mkuu amesema kuwa nchi haiwezi kupata mafanikio ya kiuchumi na kijamii bila kuilinda amani iliyopo, hivyo amewaomba warejee kumbusho la maandiko Matakatifu katika Waebrania 12:14  “Tatufeni kwa bidii kuwa na Amani na watu wote”.

Pia Waziri Mkuu ametoa wito kwa viongozi hao na wananchi kwa ujumla waendelee kuwaombea viongozi wa Tanzania hususani Rais Dkt. John Magufuli, kuendelea kuwa na afya njema, busara, upendo, hekima katika kuiongoza nchi yetu.

Waziri Mkuu ambaye amemuwakilisha Rais Dkt. Magufuli katika ibada hiyo amesema Serikali inatambua ushirikiano uliopo kati ya madhehebu mbalimbali ya dini nchini kwa ujumla wake na kwamba ushirikiano huo ni wa kihistoria.

Amesema mara zote madhehebu ya dini yamekuwa yakisaidiana na Serikali katika kutoa huduma za elimu, afya, maji na makundi maalum kama vile yatima, wazee, walemavu, wajane na huduma hizo zimekuwa zikitolewa kwa Watanzania wote bila ubaguzi wa aina yoyote. “Mambo haya hayawezi kupatikana nchini bila ya kuwa na amani”.

Kwa upande wake Askofu Dkt. Mndolwa baada ya kutawazwa aliahidi kulitumikia kanisa la Anglikana katika kweli, haki na upendo.

“Naahidi kwa makini kwamba nitaistahi na kudumisha na kuilinda Imani, haki na uhuru wa Kanisa la Anglikana Tanzania na kulitumikia katika kweli, haki na upendo, nisijifanye kuwa bwana juu ya urithi wa Mwenyezi Mungu, bali katika mambo yote nioneshe kielelezo kwa kundi la Kristo. Mungu nisaidie,”.

Askofu Dkt. Mndolwa anashika wadhifa huo baada ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Askofu Jacob Chimeledya kumaliza muda wake. Askofu Chimeledya alitawazwa mwaka 2013.

Maaskofu wengine waliowahi kuongoza kanisa hilo tangu kuasisiwa kwake nchini ni John Thomas Mhina Sepetu (1970-1978), Askofu Musa Kalemo Kahurananga (1979-1983), Askofu John Auckland Ramadhani (1984-1997), Askofu Donald Leo Mtetemela (1998-2008), Askofu Valentino Leonard Mokiwa (2009-2013).

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya May 21

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Mpasuko Walinyemelea Kanisa la KKKT Nchini....Askofu Apigwa, Kiti Chaibiwa

$
0
0
Askofu  wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Njombe, Isaya Mengele, amesema kuwa kitendo kilichofanywa na baadhi ya waumini wa kanisa hilo Dayosisi ya Ziwa Tanganyika kumjeruhi kwa kumpiga mawe Askofu wa KKKT Dayosisi ya Tanganyika, Ambele Mwaipopo,limelitia doa kanisa hilo na kinapaswa kulaaniwa.

Akizungumza jana katika ibada maalum iliyofanyika katika Kanisa la Kiaskofu la KKKT Usharika wa Sumbawanga Mjini, Askofu Mengele ambaye ni Mwenyekiti wa maaskofu wa KKKT Kanda ya Kusini, alisema ni aibu kubwa na fedheha kwa dayosisi hiyo yenye miaka minne tangu kuanzishwa kwake na waumini hao wanapaswa kutubu na kuomba radhi.

Alisema kuwa pia yeye ataongoza ujumbe wa maaskofu wa kanda hiyo kwenda kwa Rais John Magufuli kumuomba radhi kwa kitendo cha baadhi ya waumini hao kuvuruga amani ambayo serikali yake imekuwa ikiihimiza kwa kitendo cha kumjeruhi kwa kumpiga mawe Askofu Mwaipopo.

Pia Askofu alimshauri Askofu Mwaipopo kuvunja Baraza la Dayosisi hiyo kwa kuwa baadhi ya wajumbe wake wamekuwa ni chanzo cha mgogoro uliopo katika kanisa hilo na wamekosa utii kwake.

Muda mfupi kabla maaskofu sita wanaounda Kanda ya Kusini ya KKKT hawajafika kuongoza ibada ya jana na kumpa pole Askofu Mwaipopo kwa kujeruhiwa, baadhi ya waumini waliingia katika kanisa hilo na kuondoa kiti maalum cha kukalia askofu huyo wakati wa kuongoza ibada.

Maaskofu hao ni Renald Mtenji wa Ulanga Kilombero, Askofu Blastone Gaville (Dayosisi ya Dira-Iringa), Askofu Job Mbwilo (Dayosisi ya Kusini Magharibi- Matamba), Askofu Amon Mwenda (Dayosisi ya Ruvuma), Askofu Edward Mwaikali (Dayosisi ya Konde Mbeya) na Askofu Isaya Mengele (Dayosisi ya Kusini Njombe).

Lengo la jopo hilo la maaskofu hao limefika kumpa pole Askofu Mwaipopo na kuwasihi waumini waache mara moja vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kuwa vinaliumiza na kulichafua kanisa hilo ambalo lina zaidi ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake nchini.

Katika ibada hiyo Katibu wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, Fredrick Lazaro, alisoma tamko maalum la Halmashauri Kuu kwa wakristo wa Usharika wa Kathedral Sumbawanga Mjini kuekeleza waumini 21 na watumishi wa kanisa hilo kuwa wamejitenga na kanisa hilo kwa muda usiojulikana.

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dk. Alfan Haule, alisema vitendo vya uvunjifu wa amani havitafumbiwa macho na serikali na kama vitaendelea, itatumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuvidhibiti.

Dk. Khaule aliagiza kuwa wote walioiba kiti cha Askofu Mwaipopo wasakwe na wakamatwe, ili wafikishwe mbele ya sheria wachukuliwe hatua kwani kitendo cha kuiba kiti hicho ni wizi kama wizi mwingine wowote.

Mei 7, mwaka huu, Askofu Mwaipopo alifukuzwa kwa mawe baada ya baadhi ya waumini kumzuia kuingia usharikani wakidai hawataki kumuona akiwepo eneo la kanisa la Usharika wa Simbawanga Mjini.


Waziri Mkuu kuzindua miradi mikubwa mitatu leo Lindi

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kutua mkoani Lindi leo ambapo atazindua mradi wa kuunganisha mkoa huo na wa Mtwara katika gridi ya Taifa.

Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa jana Mei 20 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio wa Waziri Mkuu.

Alisema kwa siku ya leo, Waziri Mkuu atazindua miradi mikubwa mitatu ukiwamo wa kuunganisha Lindi na Mtwara kwenye gridi ya taifa.

Pia Waziri Majaliwa atakagua miundombinu ya uingizaji mafuta katika mkoa huo ambao unatarajia kuanza kupokea mafuta ya petrol na dizeli mwezi ujao.

“Atakwenda kujionea miundombinu ya uingizaji mafuta kupitia bandari ya Mtwara, habari njema iliyopo kuanzia Juni utaanza kupokea mafuta kupitia bandari ya Mtwara,” alisema Byakanwa.

Alisema Waziri Mkuu atakwenda kwenye uzinduzi wa upanuzi wa kituo cha kufua umeme Mtwara.

Pia alisema miundombinu ya Bandari ya Mtwara itakuwa na uwezo wa kupokea lita 25 milioni za mafuta lakini kwa kuanzia Juni wataanza na lita 10 milioni.

“Kampuni mbili tayari zimeshaagiza mafuta lita 10 milioni, wafanyabiashara wengine sasa waone Mtwara kama sehemu ya fursa na itapunguza msongamano," alisema.

Simba Yamkabidhi Rais Magufuli Zawadi Ya Jezi Namba 19

$
0
0
 Uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa Kaimu Rais wake, Salim Abdallah ‘Try Again’ umemkabidhi zawadi ya jezi yenye namba 19 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Abdallah amesema kuwa zawadi hiyo kwa Rais Magufuli ilipaswa kutolewa Jumamosi  lakini kutokana na ufinyu wa ratiba namna ilivyokuwa ulishindwa kumpatia.

Simba wamemkabidhi jezi hiyo Rais Magufuli kupitia kwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe, kufuatia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa juzi  kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar.

Magufuli alihudhuria mchezo huo wa ligi na kupata fursa ya kuwakabidhi Simba kombe la ligi walilotwaa msimu huu.

Simba wamempa jezi hiyo Waziri Mwakyembe amfikishie Magufuli wakati wa Mkutano wa Mabadiliko ya Katiba uliokuwa unafanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa JK Nyerere, jijini Dar es Salaam jana.

Serikali Yabariki Mabadiliko Kwa Vilabu,yampongeza ‘mo’ Kwa Kuwekeza Ndani Ya Simba

$
0
0
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe, amebariki mabadiliko ya katiba Simba ambayo yanaenda kuupokea rasmi mfumo mpya na wa kisasa wa uendeshwaji wa klabu hiyo.

Mwakyembe ameeleza hayo jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa JK Nyerere uliopo jijini Dar es Salaam ambapo Simba walikuwa na Mkutano Mkuu wa dharura kwa ajili ya maboresho ya katiba yao.

Waziri huyo alisema ni wakati mwafaka sasa kwa klabu za Tanzania kuingia katika mfumo huu ambao umejikita kibiashara na wenye mafanikio makubwa huku akieleza kuwa haukwepeki.

Aidha Mwakyembe alimpongeza Mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’ kwa kuamua kuwekeza ndani ya Simba akiamini ataibadilisha zaidi klabu hiyo kuweza kufika mbali kimataifa.

Baada ya kueleza hayo, Mwakyembe alisema serikali imeruhusu rasmi mabadiliko hayo kwa kuzingatia Mwekezaji lazima awekeze kwa asilimia 49 na wanachama wasalie na 51.

Kwa Wanaume Tu : Dozi Ya Kwanza Ni Bure

$
0
0
Je ! Unasumbuliwa  na  tatizo  sugu  la  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME ?
  1. Maumbile  yako  ya  kiume  yamesinyaa  kiasi  cha  kuyafanya  yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo ?
  2. ·Tatizo  lako  limekuwa  sugu  na  kufikia  hatua  ambayo  jogoo  wako  hawezi  kupanda  mtungi  kabisa  ?
  3. ·Umeugua  maradhi  ya  kisukari  kwa  muda  mrefu  na  kusababisha  uishiwe  kabisa  na  nguvu  za  kiume ?
  4. ·Umeugua  maradhi  ya  ngiri  kwa  muda  mrefu  na  kukusababishia  usiwe  kabisa  na  uwezo  wa  kushiriki  tendo  la  ndoa ?
  5. ·Umejihusisha  na  mchezo  wa  kujichua  kwa  muda  mrefu  na  kusababisha  misuli  ya  uume  wako  kulegea  na  kukosa  nguvu  kabisa ?
  6. ·Unahisi  umetupiwa  jinni  au  uchawi  ambao umekufunga nguvu  zako  za  kiume ?
  7. ·Umetumia  tiba  mbalimbali  bila  mafanikio  yoyote  ?
  8. ·Unahitaji  kupata  tiba  sahihi  na  ya  uhakika  ya  maradhi  yako  ?
Dokta  Mungwa  Kabili anakuletea dawa  ya  asili  ambayo INAONDOSHA  KABISA  maradhi  ya  UDHAIFU  KATIKA NGUVU  ZA  KIUME  .

Tiba  hii  ni  SAHIHI  na  MUJARABU  kabisa  na  INAONDOSHA  KABISA  maradhi  ya  UDHAIFU  KATIKA  NGUVU  ZA  KIUME  ndani ya  SIKU  ISHIRINI  NA MOJA.

Katika  kukuthibitishia  ufanisi  wa  tiba  hii  katika  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume.

Dokta  Mungwa  Kabili  atakupa  DOZI  YA  KWANZA  YA  TIBA  HII  BURE  KABISA  BILA  MALIPO  YOYOTE   ILI  UWEZE KUSHUHUDIA  NA  KUJIONEA  MWENYEWE  UFANISI NA  UMADHUBUTI  WA  TIBA  HII  YA  AJABU.

Dozi  hii  ya  kwanza  utaitumia  kwa  muda  wa  siku  saba , na  baada  ya  siku  hizo  saba  ndio utanunua  dozi ya pili ambayo  utaitumia  kwa muda  wa  siku kumi na nne.  Na  mara  baada  ya  kukamilisha  dozi  yako, basi  utakuwa umepona  kabisa maradhi  ya  udhaifu  wa  nguvu za  kiume  na  sasa  utakuwa  na  uwezo   wa  kufurahia  ndoa  yako .

KUPATA  TIBA  HII, WASILIANA  NA DOKTA  MUNGWA KABILI  KWA  SIMU  NAMBA    0744  000  473.

Jinsi Saa Ya Bluetooth Smartwatch Inavyofanya Kazi

$
0
0
JINSI SAA YA BLUETOOTH SMARTWATCH INAVYOFANYA KAZI
Hii saa bana ngoja nikwambie ni saa fulani ya kawaida sana ila imeshavunja record ya mauzo sehemu mbali mbali..afu ni saa fulani simple iko chini ya mfumo wa digital kiswahili saa za kimwekumweku...hii saa bwana tukija kwenye ubabe wake ina nguvu zake za siri ...saa hii ukiunganisha kwenye smart phone yako basi nguvu hizo za siri utakuwa umeziamsha hebu tuonee nguvu za hii saa sasa

1.INAWEZO WA KUHESABU HATUA UNAZOTEMBEA
saa hii bwana ina ufundi wa kuhesabu hatua unazopiga unavyotembea ndo maana wale watu wa mazoezi huzipenda sana hasa wale wanaokimbia kutoka posta wakati wakitoka kazini...yaaani itakuwa inahesabu ya hatua ulizotembea au kukimbia ....achana na hii saa bwana

2.KUHESABU KILOMETER
hii saa baada ya kukupa hatua ulizotembea pia itakwambia bwana mdogo tulia nikwambie hadi kilometer ulizokimbia bila kukudanganya sasa kama ulikimbia nusu kilometer ukazani kilometer moja saa itakwambia bwana mdogo umekimbia nusu kilometer itakuchana live bila chenga haidanganyi

3.KUHESABU NGUVU ULIZOTUMIA KWA SIKU
kwa wale mlio soma mnajua kabisa fika kuwa nguvu za mwili huitwa calories ...sasa kasaa haka kana tabia ya kuhesabu umechoma calories ngapi kwa siku au wakati wa mazoezi kata kuchekii kisha kata sema hiiiiiiiiiiii😄😄(in magufulis voice) afu katakwambia bwana mkubwa leo umetumia nguvu kidogo sana wewe ni mvivu.....wakati wa mazoezi hii
huhesabu calories vizur kabisa...haya kama unafanya mazoez kupungua hii ndo saa

4.CALL AND TEXT REMINDER
hapa kisaa hiki pia hakiko nyuma kwa mfano simu iko chumbani ww uko sebuleni mtu akapiga simu au kutuma meseji basi saa hii itakushtua au kukumbusha kuhusu simu hiyo au meseji

5.HAINGII MAJI
saa hii pia bwana yenyewe na maji ni marafiki wakubwa wa kufa na kuzikana yaaani ukifika bafuni oga nayo mvua ikinyesha pita tu ukifika swimmig poool zama nayoooo tu...bahari kwenye mavimbi safi tu....kwa hiyo saa hii na maji ni marafiki walitukukaa yaaani toka wakiwa wadogo saa hii na maji ni marafiki hivyo usijali kuhusu maji ....ndo uzuri wake....
 
6.WAPI PA KUIPATA SASA
ebwana mimi hii sasa bila ubishi nilinunua kwenye mtandao kwenye website ya daresalaamshop.com hawa majamaa hawanaga utani wako serious utaletewa saa nyumbani au kokote ulipo kisha wewe ndo unalipia mzigo wako nyumbani hata ukiwa mkoani utalipia mzigo ukifika ARUSHA ,MOSHI DAR,IRINGA,MBEYA ,DODOMA,TANGA,MWANZA na mikoa mingine yote utalipia mzigo ukifika huko huko ,hapo chini nimewawekea link ya kununulia ukiipenda agiza hapo 

IMEANDIKWA .nicky clemence: muuza saa wa daresalaamshop

Trump amvaa Obama, ataka FBI ichunguzwe Kama Iliingilia Kampeni Zake

$
0
0
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa anahitaji uchunguzi ufanyike ili kubaini kama shirika la upelelezi la FBI lilijipenyeza kuchunguza kampeni zake kwa maslahi ya kisiasa.

Trump amesema kuwa anahitaji kujua kama mtangulizi wake rais Barrack Obama aliagiza kufanyika kwa uchunguzi katika kampeni zake.

Ombi hilo limekuja mara baada ya Gazeti la New York Times lilipochapisha taarifa iliyodai kuwa FBI walituma mtu wao kufuatilia mwenendo wa kampeni za Trump mara tu walipopata taarifa za uwezekano wa Urusi kuingilia uchaguzi huo.

Hata hivyo, vyombo vya kisheria vimegoma kutoa ushahidi wa majina ya maofisa waliohusika katika uchunguzi huo kwa kuhofia usalama wao.

Askofu Mdolwa Ikulu: Kazi anayofanya Rais Magufuli bila maombi ni bure

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt. Maimbo Mndolwa Ikulu jijini Dar es Salaam, kabla ya kusimikwa kuwa Askofu Mkuu wa kanisa hilo.

Nje ya Ikulu Dkt. Mdolwa amezungumza na kusema Tanzania inayokuja inaonekana kuwa ya neema na ya kipekee licha ya kuwepo changamoto mbalimbali. Amesema kazi anayoifanya Rais Magufuli ni kubwa na bila kumuombea itakuwa ni kazi bure.

Tazama pichha mbalimbali toka Ikulu

Taasisi ya Mo Dewji yatoa msaada kwa watoto wenye saratani

$
0
0
Taasisi ya Mo Dewji imetoa msaada kwa watoto wanaopatiwa matibabu ya magonjwa ya saratani katika kituo cha Tumaini la Maisha katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar es Salaam.

Msaada ambao umetolewa ni unga wa ngano, khanga na sabuni za kuogea, kufua na kunawia mikono.

Akikabidhi msaada huo, Kaimu Meneja Miradi wa Taasisi ya Mo Dewji, Belinda Paul alisema taasisi yao itaendelea kuwa na utaratibu wa kutoa msaada katika kituo hicho ili kuwafariji watoto ambao wanapatiwa matibabu.

Alisema hiyo sehemu ya kwanza kutoa msaada kwani wamekuwa na utaratibu wa kusaidia jamii kutokana na uhitaji uliopo hivyo kwa kufanya hivyo wanaamini watakuwa wamegusa maisha ya Watanzania wengi.

Aidha, Paul amewataka watu wengine wenye uwezo kuweka utaratibu wa kusaidia watu wengine wenye uhitaji kama watoto waliopo katika kituo cha Tumaini la Maisha.

Kaimu Meneja Miradi wa Taasisi ya Mo Dewji, Belinda Paul akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto ambao wanapatiwa matibabu katika kituo cha Tumaini la Maisha.

Kaimu Meneja Miradi wa Taasisi ya Mo Dewji, Belinda Paul akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasimamizi wa kituo cha Tumaini la Maisha wakati walipokuwa wakikabidhi msaada katika kituo hicho.

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (USDM) ambao wanalipiwa gharama za masomo na Taasisi ya Mo Dewji wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto wanaopatiwa matibabu katika kituo cha Tumaini la Maisha.

Sugu Atinga Rasmi Bungeni....Wapinzani Walipuka kwa Furaha

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ameingia bungeni kwa mara ya kwanza leo Mei 21, 2018 tangu aachiwe kwa msamaha wa Rais John Magufuli, Mei 10 mwaka huu.

Baada ya kuingia bungeni, wabunge wa upinzani walilipuka kwa furaha wakimshangilia huku wakigonga meza zao kwa takriban dakika mbili, hali iliyosimamisha shughuli za Bunge kwa muda.

Sugu ameingia ukumbini saa 3:20 asubuhi akiwa ameambatana na mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Kunti Yusuph ambaye alisikika akisema: "Leo bungeni ni Sugu tu."

Wakati anaingia, naibu waziri wa Tamisemi, Josephat Kandege alikuwa anajibu maswali ya wabunge, lakini akalazimika kunyamaza kwanza.

Sugu alikwenda moja kwa moja kwa mbunge wa Mtama, Nape Nnauye na kumpa mkono kisha  kwa  waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi na Watu wenye Ulemavu,  Jenister Mhagama na kumpa mkono.

Alielekea kwa mwanasheria mkuu wa Serikali, Dk Adelardus Kilangi na waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), George Mkuchika akawapa mikopo.

Baada ya hapo akarudi upande wake wa upinzani na kukumbatiana na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini na kwenda kukaa sehemu yake karibu na mbunge wa Tarime Mjini (Chadema), Esther Matiko.

Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Change aliwaomba wabunge kutulia ili shughuli za Bunge ziendelee, huku akiwatishia kuwa hatawapa nafasi ya kuuliza maswali ya nyongeza.

“Imetosha sasa, imetosha, haya endelea,” alisema Chenge

Akatwa Koromeo Na Mumewe Kwa Wivu Wa Mapenzi

$
0
0
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Mary Miyombo (32), mkazi wa Kata ya Hombolo, Bwawani mkoani Dodoma   amenusurika kufa baada ya kukatwa koromeo na mumewe wake akiyejulikana kwa jina la Mgowela Anderson.

Chanzo cha kisa hicho kilichotokea Mei 16, mwaka huu kinaelezwa ni wivu wa kimapenzi ambapo inadaiwa mwanamke huyo alikutwa na mwanamume mwingine ndipo mumewe akamjeruhi kwa kumkata na panga kwenye koromeo na kukimbia.

Akizungumza kwa tabu huku akilia, Mary ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma   amesema siku ya tukio akiwa ametoka kuuza pombe kilabuni kijijini hapo alifika nyumbani kwake na kwenda anapoweka fedha zake ambapo aligundua 1,000 haipo jambo lililosababisha kumuuliza mume wake huyo.

“Nilipomuuliza tu kama amechukua hiyo hela ndipo kipigo kilipoanza hadi kufikia hatua ya kunikata na panga shingoni, yaani simtaki tena yule mwanamume kwani hii ni mara ya tatu ananipiga na kunijeruhi na nimekuwa nikimsamehe lakini kwa hili simtaki tena,” amesema Mary.

Mganga Mfawidhi wa hiyo, Caroline Damian amethibitisha kumpokea mgonjwa huyo hospitalini ambaye alilazwa wodi namba 10 na tayari amesharuhusiwa.

Hata hivyo, Kamanda wa polisi Mkoani Dodoma Gilles Muroto alipotafutwa kuzungumzia tukio hilo hakupatikana.

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images