Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Aunty Ezekiel Awataka Watu Waache Kumdharau Mpenzi Wake Kisa Dansa

$
0
0
Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amewatolea povu zito watu wote ambao wamekuwa wakimdharau mpenzi wake lakini pia Baba wa mtoto wake Mose Iyobo kisa ni mchezo shoo.

Aunty Ezekiel ameweka wazi kuwa hapendezwi na dharau hizo kwani ingawa wao wanaweza wakawa wanamuona yeye kama Dansa tu lakini yeye anamuona kama mkurugenzi fulani.

Aunty alisema amekuwa akifuatilia kwenye mitandao ya kijamii na kuona watu wakimchukulia poa Iyobo lakini anawaambia tu, yeye kwake anamuona kama mkurugenzi.

"Waache kumchukulia poa Moze wangu. Mimi namuona kama mkurugenzi fulani hivi, wao wakiona mtuanacheza muziki hawajui kama ni kazi, hawathamini na kuonesha dharau tu mitandaoni”.

Mose Iyobo ni Dansa maarufu kutoka WCB ambaye kwa muda mrefu ameonekana kwenye steji na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz akiwa anakata viuno.

Aunty Ezekiel na Mose Iyobo walikutana miaka minne iliyopita na mara moja watu walianza kumponda Aunty kwa kutoka na Mose Iyobo jambo ambalo hakujali.

Jinsi Saa Ya Bluetooth Smartwatch Inavyofanya Kazi

$
0
0
JINSI SAA YA BLUETOOTH SMARTWATCH INAVYOFANYA KAZI

Hii saa bana ngoja nikwambie ni saa fulani ya kawaida sana ila imeshavunja record ya mauzo sehemu mbali mbali..afu ni saa fulani simple iko chini ya mfumo wa digital kiswahili saa za kimwekumweku...hii saa bwana tukija kwenye ubabe wake ina nguvu zake za siri ...saa hii ukiunganisha kwenye smart phone yako basi nguvu hizo za siri utakuwa umeziamsha hebu tuonee nguvu za hii saa sasa
 
1.INAWEZO WA KUHESABU HATUA UNAZOTEMBEA
saa hii bwana ina ufundi wa kuhesabu hatua unazopiga unavyotembea ndo maana wale watu wa mazoezi huzipenda sana hasa wale wanaokimbia kutoka posta wakati wakitoka kazini...yaaani itakuwa inahesabu ya hatua ulizotembea au kukimbia ....achana na hii saa bwana
 
2.KUHESABU KILOMETER
hii saa baada ya kukupa hatua ulizotembea pia itakwambia bwana mdogo tulia nikwambie hadi kilometer ulizokimbia bila kukudanganya sasa kama ulikimbia nusu kilometer ukazani kilometer moja saa itakwambia bwana mdogo umekimbia nusu kilometer itakuchana live bila chenga haidanganyi
 
3.KUHESABU NGUVU ULIZOTUMIA KWA SIKU
kwa wale mlio soma mnajua kabisa fika kuwa nguvu za mwili huitwa calories ...sasa kasaa haka kana tabia ya kuhesabu umechoma calories ngapi kwa siku au wakati wa mazoezi kata kuchekii kisha kata sema hiiiiiiiiiiii😄😄(in magufulis voice) afu katakwambia bwana mkubwa leo umetumia nguvu kidogo sana wewe ni mvivu.....wakati wa mazoezi hii
huhesabu calories vizur kabisa...haya kama unafanya mazoez kupungua hii ndo saa
 
4.CALL AND TEXT REMINDER
hapa kisaa hiki pia hakiko nyuma kwa mfano simu iko chumbani ww uko sebuleni mtu akapiga simu au kutuma meseji basi saa hii itakushtua au kukumbusha kuhusu simu hiyo au meseji
 
5.HAINGII MAJI
saa hii pia bwana yenyewe na maji ni marafiki wakubwa wa kufa na kuzikana yaaani ukifika bafuni oga nayo mvua ikinyesha pita tu ukifika swimmig poool zama nayoooo tu...bahari kwenye mavimbi safi tu....kwa hiyo saa hii na maji ni marafiki walitukukaa yaaani toka wakiwa wadogo saa hii na maji ni marafiki hivyo usijali kuhusu maji ....ndo uzuri wake....
 
IMEANDIKWA .nicky clemence: muuza saa wa daresalaamshop

Makonda Kuwachukulia Hatua Kali Viongozi wa Michezo

$
0
0
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema atachukua hatua kwa viongozi wa michezo ambao hawajafanya marekebisho ya uwanja wa Taifa wa ndani 'indoor' licha ya kuwakabidhi pesa na vifaa mwaka jana.

Makonda amesema Mei 18, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari na kuongeza kuwa alikubali kujinyima na familia yake ikae gizani kwa kutoa jenereta la nyumbani kwake ili kutimiza ahadi ambayo aliwahidi wanamichezo hao lakini imekuwa kinyume na mategemeo.

“Lile jenereta nililihamisha badala ya kuwepo nyumbani kwa mkuu wa mkoa nikalikabidhi mwaka jana, sasa kama mpaka leo hii halijaenda basi kutakuwa kuna shida mahala, na niwaambie tu siwezi kuahidi kitu nisifanye hata kama ni cha kwangu nitajinyima, nimeinyima familia yangu wakae gizani ili nihakikishe kwamba jenereta linakwenda kwa wapenzi wa mpira” amesema Makonda.

Makonda ameongeza kuwa atawasiliana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa ili aweze kuwachukulia hatua watu ambao wameshibdwa kutimiza majukumu yao

Mkuu wa Mkoa Makonda amesema mwaka jana alikabidhi pesa, mipira, mabati na jenereta ili kusaidia uwanja wa Taifa wa ndani uliokuwa katika hali mbaya na hivyo anashangaa kusikia bado hakuna kilichofanyika mpaka sasa.

Kaseja Atibua Sherehe Za Ubingwa Simba Mbele Ya Rais Magufuli

$
0
0
Timu ya Simba imekubali  kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa leo Jumamosi.

Simba imekubali kupoteza mchezo huo muhimu ambao imetibua rekodi yao ya kutokufungwa mechi iliyoshuhudiwa na Rais John Magufuli.

Kagera Sugar imekuwa timu ya kwanza kuvunja rekodi ya Simba ya kutopoteza mchezo kwenye ligi msimu huu, ambapo mshambuliaji  Okwi alikosa penati  iliyopanguliwa na Juma Kaseja na kushindwa kuinusuru timu hiyo.

Simba imekabidhiwa kombe la ubingwa la Ligi Kuu msimu wa 2017/18 na Rais John Magufuli.

Rais Magufuli Aikabidhi Simba Kombe Baada ya Kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Kagera Sugar

$
0
0
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk, John Pombe Joseph Magufuli amewakabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Simba SC wakitoka kufungwa 1-0 na Kagera Sugar  Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Mei 19, 2018.

Kabla ya kuwakabidhi Kombe hilo, Rais Magufuli akawaambia Simba SC hajaridhishwa na kiwango cha mchezo wao na akawataka wakakiboreshe kuelekea kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani.
 
Pamoja na hayo, Rais Magufuli amewapongeza Simb SC kwa kufikia kutwaa la ubingwa wa Ligi Kuu bila ya kupoteza mechi kabla ya kufungwa na Kagera leo.

“Mimi huwa ninafuatilia ligi mbalimbali, nilifuatilia hadi juzi timu ambazo zilikuwa zimechukua ubingwa bila kufungwa, zilikuwa zimebaki mbili, Barcelona na Simba, Jumapili iliyopita Barcelona wakafungwa na leo Simba nao wamefungwa,”alisema Rais Dk. Magufuli kabla ya kuwakabidhi Kombe hilo Simba SC.

Rais amesema kwamba anawapongeza Simba SC kwa sababu pia wamepitia kipindi kirefu bila kuchukua ubingwa na akasema anazipongeza na timu nyingine zilizoshiriki Ligi Kuu msimu huu huku akiwatania SImba; “Nashukuru hakuna timu iliyokwenda FIFA (Shirikisho la Soka la Kimataifa) kudai pointi za mezani msimu huu,”.

Aidha, Rais Magufuli aliyewapongeza Kagera Sugar kwa kuonyesha mchezo mzuri leo pia alisema Simba SC nayo ilijitahidi na kudhihirisha wao ni mabingwa.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na marefa Florentina Zablon wa Dodoma aliyesaidiwa na Jesse Erasmo wa Morogoro na Mashaka Mwandile wa Mbeya, bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na mshambuliaji wa zamani wa Simba SC, Edward Christopher Shijja kwa kichwa dakika ya 84 akimalizia krosi ya Japhet Makalai kutoka upande wa kulia.

Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi akapoteza nafasi ya kuisawazishia Simba SC dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika kwa dakika 90 za kawaida kufuatia mkwaju wake wa penalti kupanguliwa na kipa Juma Kaseja.

Florentina Zablon aliwapa Simba penalti hiyo baada ya Okwi mwenyewe kuangushwa na kiungo mkongwe wa Kagera Sugar, George Kavilla.

Simba SC inabaki na pointi zake 68 baada ya kucheza mechi 29 na itakwenda mjini Songea kukamilisha msimu kwa kumenyana na wenyeji Maji Maji Mei 28 Uwanja wa Maji Maji. Kagera Sugar inafikisha pointi 34 katika mechi ya 29, ingawa wanabaki nafasi ya 10.

Kikosi cha SimbaSC kilikuwa; Said Mohamed Nduda, Nicholas Gyan/Muzamil Yassin dk46, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Paul Bukaba, James Kotei/Salim Mbonde dk50/John Bocco dk70, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, Shomari Kapombe, Emmanuel Okwi, John Bocco, Shiza Kichuya,

Kagera; Juma Kaseja, Suleiman Mangoma, Abdallah Mguhi, Juma Nyoso, Mohamed Fakhi, Peter Mwalyanzi, Japhet Makalai, Ally Ramadhani/George Kavilla dk58, Japhery Kibaya/Paul Ngalyoma dk79, Edward Christopher, Atupele Jackson/Omar Daga dk32.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya May 20

Waziri apigia debe Tanzania ya viwanda mashuleni

$
0
0
Kama alivyowahi kunukuliwa kwamba yeye ni mpiga debe wa Tanzania ya Viwanda,jana Waziri Charles Mwijage amehamishia debe hilo kwenye shule za sekondari akisema wanafunzi waandaliwe kuchukua jukumu mbeleni kwa kuwa viwanda vinavyojengwa sasa ni vile vya kipindi cha mpito.

Akihutubia katika mahafali ya kidato cha sita kwa shule za sekondari Kaizirege na Kemebos, jana Mei 19, Waziri Mwijage,alisema viwanda vya kudumu vitajengwa na wanafunzi wanaoandaliwa vizuri katika masomo ya sayansi.

Alisema kuwa wazazi na wanafunzi wanatakiwa kusoma upepo unapoelekea ambao unawahitaji wanafunzi wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kuchukua jukumu la.kujenga uchumi wa viwanda.

Pia aliwakumbusha wazazi na watu wenye mitaji wasikimbilie kwenye uanzishaji wa viwanda vikubwa bali waanze na viwanda vidogo na baadaye waende hatua kwa hatua hadi viwanda vikubwa.

Waziri Charles Mwijage ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya kudato cha sita shule ya Sekondari Kaizirege na ya Kemebos ambapo jumla ya wanafunzi 180 wamehitimu.

Harmonize aeleza undani wa video ya faragha ya Diamond na Hamisa

$
0
0
Msanii Harmonize amedai kuwa video ya faragha iliyovuja mtandao ikimuonyesha Diamond akiwa na wanawake wawili ambao miongoni mwao alikuwepo Hamisa Mobetto, ilikuwa ni sehemu ndogo ya movie waliyokuwa waki-shoot.

Harmonize ameiambia Citizen Radio kuwa movie hiyo inalenga kuwafundisha wanaume ambao wamekuwa na tabia za kuwadhalilisha wanawake.

“Walikuwa wanashuti movie ambayo inaelezea wanaume ambao wanadhalilisha wanawake. Sasa ili iweze kuleta attantion, ile iweze kulata item of bisness, iweze kuleta value wakamtumia Diamond kama mtu ambaye ameshaonekana katika mahusiano tofauti tofauti,” amesema Harmonize.

Utakumbuka April 19, 2018 Diamond Platnumz aliomba radhi Watanzania kutokana na kusambaza video hizo, hiyo ilikuwa ni baada ya kuitwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambapo alisema kuwa amejifunza sheria za makosa ya kimtandao na kuhaidi kutorudia tena.

Bonge la Nyau Avilaumu Vyombo vya Habari Kuhusu Q Chief

$
0
0
Msanii wa Bongo Flava, Bonge la Nyau ametupa lawama kwa vyombo vya habari kwa kile alichodai vinapendelea baadhi ya wasanii na kuacha wale wenye vipaji vya kweli kama Q Chief.

Muimbaji huyo amesema vyombo vya habari vimekuwa vikiangalia maslai binafsi zaidi kuliko muziki wa msanii kitu ambacho kimekuwa kikiwaumiza wasanii wengi. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika mengi, hayo ni baadhi;

"Kiukweli kuna baadhi ya watu wameaminiwa na media kubwa na kupewa nafasi za kupush muziki wetu ili uwafikie jamii ila wao ndio wamekuwa waharibifu wakubwa wa huu muziki kwa kujenga matabaka na kuwagawa watu

"Leo hii akitoa kazi huwezi kuiskia ikipewa nafasi kubwa kwenye radio wala tv station kama baadhi ya wasanii wanavyopewa hiyo air time, ukiulizwa utaambia Ohoo wakati wake umeisha, mara alikuwa mjeuri kipindi yupo juu.

"Wengine watakwambia madawa yamemchanganya but ukiskiza kazi zake mpya ina ubora kuliko hata hao wanaowaona wa maana kwa kipiki hicho.Wadau wamekuwa wakiangalia sana biashara zao kulizo talent au kazi nzuri inayowafikia, leo hii nyimbo haiwezi kutoka from no where na kufanya vizuri nchi nzima kama ilivyokuwa ikitokea miaka ya nyuma.

"Cha kushangaza kingine chart ya mziki kwenye kituo A ni tofauti kabisa na kituo B na C, hii inatugawa sana na inasababisha nyimbo nyingi zisiwe kubwa atuwezi kufika kwa style hii, watu kuangalia maslai yao binafsi na kujuana.

"Media nyinyi ndo kila kitu kwenye huu muziki wetu bila ya nyinyi hakuna sisi, hata mtu anapotokea kuteleza na kutofautiana nae yawapasa kumwangalia tena kwa jicho la pili, Q chief anahitaji huruma yenu pia, ni kipaji na msipoangalia ataangamia halafu tuanze kutafutana uchawi.

May 14, 2018 kulianza kuenea kwa taarifa kuwa Q Chief ameacha muziki na alipotafutwa alieleza mengi ambayo anayapitia katika maisha yake kwa sana pamoja na dhamira yake ya kutaka kuacha muziki.

Jinsi Saa Ya Bluetooth Smartwatch Inavyofanya Kazi

$
0
0
JINSI SAA YA BLUETOOTH SMARTWATCH INAVYOFANYA KAZI
Hii saa bana ngoja nikwambie ni saa fulani ya kawaida sana ila imeshavunja record ya mauzo sehemu mbali mbali..afu ni saa fulani simple iko chini ya mfumo wa digital kiswahili saa za kimwekumweku...hii saa bwana tukija kwenye ubabe wake ina nguvu zake za siri ...saa hii ukiunganisha kwenye smart phone yako basi nguvu hizo za siri utakuwa umeziamsha hebu tuonee nguvu za hii saa sasa

1.INAWEZO WA KUHESABU HATUA UNAZOTEMBEA
saa hii bwana ina ufundi wa kuhesabu hatua unazopiga unavyotembea ndo maana wale watu wa mazoezi huzipenda sana hasa wale wanaokimbia kutoka posta wakati wakitoka kazini...yaaani itakuwa inahesabu ya hatua ulizotembea au kukimbia ....achana na hii saa bwana

2.KUHESABU KILOMETER
hii saa baada ya kukupa hatua ulizotembea pia itakwambia bwana mdogo tulia nikwambie hadi kilometer ulizokimbia bila kukudanganya sasa kama ulikimbia nusu kilometer ukazani kilometer moja saa itakwambia bwana mdogo umekimbia nusu kilometer itakuchana live bila chenga haidanganyi

3.KUHESABU NGUVU ULIZOTUMIA KWA SIKU
kwa wale mlio soma mnajua kabisa fika kuwa nguvu za mwili huitwa calories ...sasa kasaa haka kana tabia ya kuhesabu umechoma calories ngapi kwa siku au wakati wa mazoezi kata kuchekii kisha kata sema hiiiiiiiiiiii😄😄(in magufulis voice) afu katakwambia bwana mkubwa leo umetumia nguvu kidogo sana wewe ni mvivu.....wakati wa mazoezi hii
huhesabu calories vizur kabisa...haya kama unafanya mazoez kupungua hii ndo saa

4.CALL AND TEXT REMINDER
hapa kisaa hiki pia hakiko nyuma kwa mfano simu iko chumbani ww uko sebuleni mtu akapiga simu au kutuma meseji basi saa hii itakushtua au kukumbusha kuhusu simu hiyo au meseji

5.HAINGII MAJI
saa hii pia bwana yenyewe na maji ni marafiki wakubwa wa kufa na kuzikana yaaani ukifika bafuni oga nayo mvua ikinyesha pita tu ukifika swimmig poool zama nayoooo tu...bahari kwenye mavimbi safi tu....kwa hiyo saa hii na maji ni marafiki walitukukaa yaaani toka wakiwa wadogo saa hii na maji ni marafiki hivyo usijali kuhusu maji ....ndo uzuri wake....
 
6.WAPI PA KUIPATA SASA
ebwana mimi hii sasa bila ubishi nilinunua kwenye mtandao kwenye website ya daresalaamshop.com hawa majamaa hawanaga utani wako serious utaletewa saa nyumbani au kokote ulipo kisha wewe ndo unalipia mzigo wako nyumbani hata ukiwa mkoani utalipia mzigo ukifika ARUSHA ,MOSHI DAR,IRINGA,MBEYA ,DODOMA,TANGA,MWANZA na mikoa mingine yote utalipia mzigo ukifika huko huko ,hapo chini nimewawekea link ya kununulia ukiipenda agiza hapo 

IMEANDIKWA .nicky clemence: muuza saa wa daresalaamshop

Salome ya Diamond ‘yamuweka kifungoni’ Hamisa Mobetto

$
0
0
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefunguka ni kwanini siku hizi hatokei tena kwenye video za muziki.

Hamisa amesema kuwa ili aweze kutokea kwenye video ya wimbo wowote ule ni lazima uwe mzuri zaidi ya Salome ya Diamond ambao video yake ndio ya mwisho yeye kuonekana.

“Sifanyi video tu nimefanya, ninachagua. Ninachagua wimbo, nachagua maudhui, nachagua kila kitu, so for me kutokea kwenye video nyingine inabidi iwe nzuri zaidi ya Salome,” amesema Hamisa.

Video ya Salome kutokwa kwa Diamond Platnumz akishirikiana na Rayvanny ilitoka September 18, 2016 na hadi sasa ina views Milioni 23 katika mtandao wa YouTube.

Tochi Za Trafiki Pwani Zakaguliwa Ubora Wake

$
0
0
Wakala wa Vipimo Tanzania  (WMA),  umekagua vifaa vya kubidhiti mwendo maarufu kama tochi zinazotumiwa na Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, kuhakiki ubora wake.

WMA imefanya ukaguzi huo mapema leo katika Mkoa wa Pwani ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani ambayo hufanyika Mei 20, kila mwaka.

Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ukaguzi huo Mkurugenzi wa Ufundi wa WMA Tanzania, Stella Kahwa amesema hatua hiyo imelenga pia kuhakiki usalama wa vifaa hivyo katika kudhibiti mwendo.

“WMA hapo awali tulikuwa tunapima ubora wa vipimo kama vile mizani lakini sasa tumeendelea kuongeza wigo wa kazi zetu tunapima vipimo vya sekta ya biashara,  afya na mazingira,” amesema.

Amewahakikishia watumiaji wa barabara hususan madereva wasiwe na wasiwasi kwani ubora wa vifaa hivyo ni wa uhakika.

“Wawe makini wanapokuwa barabarani kwa sababu akienda mwendo wowote uwe kasi ama la, kifaa hiki kinaweka taarifa zake, ukienda speed 70 ni 70 na kama ni 80 kinaonesha hivyo hivyo 80 ” amesema.

Naye, Mrakibu wa Polisi na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Makao Makuu, Abel Swai amewahimiza madereva kuendelea kuzingatia na kutii sheria za usalama barabarani.

Wanahisa Wamgomea Dk Kimei .....Wataka Asiondoke CRDB

$
0
0
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa Benki ya CRDB unaofanyika leo Mei 19, 2018 jijini hapa, wamemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk Charles Kimei kuendelea kuitumikia benki hiyo.

Kauli za wanahisa hao waliohudhuria mkutano mkuu wa 23 wameeleza hayo baada ya Dk Kimei kuwajulisha kuwa kwenye mkutano mkuu ujao, atawaaga rasmi.

"Hotuba yangu ya leo si ya mwisho. Tutakutana tena mwakani nitakapowaaga. Mkataba wangu unaisha Mei, 2019,” amesema  Dk Kimei alipokuwa akitoa hotuba ya mwenendo wa benki hiyo ambayo mwaka 2017 imepata faida ya Sh36 bilioni ambayo imepungua kutoka Sh70 bilioni iliyopata mwaka 2016.

Kwenye michango yao, baadhi ya wanahisa hao wamesema kipindi hiki ni kigumu kiuchumi hivyo CRDB inahitaji mtu mwenye uzoefu wa kutosha kukabiliana na changamoto zilizopo.

Mmoja wa wanahisa hao, Lemburis Sirikwa (76) wa Arusha amesema endapo mkurugenzi huyo ataondoka na kuiacha benki hiyo, ndani ya miaka miwili ya kutokuwa naye lazima ufanisi utapungua.

"Kimei shall remain until further notice (aendelee kuwepo mpaka taarifa nyingine itakapotolewa). Kama bodi haitaki kufanya hivyo, tutachagua wajumbe wengine," amesema Sirikwa.

Sirikwa amesema wapo wakurugenzi wenye umri wa miaka 90 lakini wanaendelea kuziongoza taasisi zao hivyo haoni sababu ya Kimei kustaafu.

"Kimei ni mdogo sana. Mimi nina miaka 76, namzidi mbali sana. Asiondoke sasa hivi," amesema.

Mwanahisa mwingine kutoka mjini Sumbawanga, Kapteni mstaafu Noel Nkoswe amesema suala la kumpata mkurugenzi ni gumu.

"Tulipoanza, tulitafuta mtu anayefaa lakini hatukupata. Mwishowe tukaenda kuiomba  Benki Kuu ambayo ilitupatia Dk Kimei. Tunaishukuru Benki Kuu kwa kutupa mtaalamu huyu, napendekeza aendelee kuwepo walau miaka miwili au mitatu zaidi," amesema.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
MAKANGA 3 POWER; DAWA BORA NGUVU ZA KIUME
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.
 
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Gazeti la Mwananchi latakiwa kuomba radhi

$
0
0
Serikali imesema kuwa deni la jumla la taifa liliongezeka kwa Sh trilioni 3 katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Desemba hadi Machi mwaka huu.

Hayo yamejiri mara baada ya Gazeti la Mwananchi kutoa taarifa zisizo sahihi kuhusu deni hilo ambapo Serikali imetaka kupuuzwa kwa taarifa hiyo.

Aidha, Mkurugenzi wa Idara ya Habari-Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi amelitaka gazeti la mwananchi kuomba radhi kwa umma kwa siku mbili mfululizo kuanzia Jumapili kupitia ukurasa wa mbele wa gazeti hilo na kwenye mitandao ya kijamii.

Hata hivyo, Dkt Abbas ameongeza kuwa baada ya gazeti hilo kusisitiza kuwa hawana nia mbaya, serikali imezingatia utetezi huo na inawapa nafasi ya kujirekebisha zaidi.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Waziri Kalemani azindua ujenzi miundombinu ya gesi

$
0
0
Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani amesema mbio za kutatua kero za wananchi kuhusu matumizi mbalimbali ya nishati ikiwamo ya kupikia sasa zimeanza rasmi.

Dk Medard ambaye pia ni Mbunge wa Chato ametoa kauli hiyo leo, Jumapili Mei 20, 2018, wakati akizindua ujenzi wa miundombinu ya kuunganisha bomba la gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.

Uzinduzi huo ulifanyika Ubungo jijini hapa na unatarajia kukamilika Septemba mwaka huu.

Kadhalika bomba hilo la gesi litawaunganisha wananchi 1,000 wa mikoa ya Dar es Salaam na Mtwara watakaonufaika na gesi hiyo.

“Leo nazindua, lakini kazi kubwa ni utekelezaji na kuwafikishia miundombinu Watanzania ili wapate manufaa ya matumizi ya rasilimali hii ya gesi,” amesema Dk Kalemani.

Amesema ujenzi wa miundombinu hiyo utagharimu Sh 4bilioni kwa awamu ya kwanza na maeneo yatakayonufaika ni Mikocheni, Ubungo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sinza, Shekilango na Makongo Juu.

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi Kapuulya Musomba amesema hivi sasa wanafanya usanifu ili kujua watu wangapi watapata huduma ya gesi kwa upande wa Dar es Salaam.

Waziri Mkuu akerwa utitiri wa tozo zao la Kahawa

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Warajis Wasaidizi wa Mikoa na Maafisa Ushirika wa Halmashauri za Wilaya nchini wakutane na wadau wa vyama vya msingi vya zao la kahawa na wapitie upya tozo zilizo kwenye zao hilo.

Amesema tozo nyingi haziko kisheria bali zinawekwa na vyama vya msingi na zimelenga kuwanyonya wakulima badala ya kuwasaidia kuinua vipato vyao.

Ametoa kauli hiyo jana Mei 19, 2018, wakati akizungumza na Warajis Wasaidizi wa Ushirika wa Mikoa 25 na Maafisa Ushirika wa Halmashauri za Wilaya 140 zinazolima mazao makuu ya biashara yaani kahawa, chai, tumbaku, pamba na korosho.

Walikuwa kwenye kikao alichokiitisha jijini Dodoma ili kujadili namna bora ya kuongeza uzalishaji wa mazao hayo na kufanya ufuatiliaji wa maagizo ambayo alikwishayatoa kwenye ziara zake mikoani.

Tangu mwaka jana, Waziri Mkuu ameshafanya vikao zaidi ya sita na wadau wa pamba, korosho, tumbaku na kahawa nchini ili kubaini namna bora ya kufufua mazao hayo makuu.

Akizungumzia kero ya tozo za mazao kwa wakulima, Waziri Mkuu alisema:

 “Kuna tozo nyingi zinazowekwa na vyama vya msingi na hazina uhalali wowote; tozo nyingine si za vyama vikuu, bali ni za AMCOS tu (vyama vya msingi).”amesema
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images