Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiongozi wa Kundi la Kigaidi la ADF Uganga Aliyekamatwa Tanzania Afikishwa Mahakamani

$
0
0
Kiongozi wa kundi la waasi la Allied democratic forces Jamil Mukulu, amefikishwa Mahakamani Kuu inayohusika na uhalifu wa kimataifa mjini Kampala, Uganda, Jumatatu miaka 3 baada ya kukamatwa nchini Tanzania.

Kikao cha mahakama cha jana Jumatatu  kilikuwa cha kushauriana jinsi kesi dhidi ya Mukulu na wenzake 38 itaendeshwa.

Akiwa amefungwa pingu mikononi na minyororo miguuni, Jamil Mukulu na wenzake 38 walifikishwa mahakamani chini ya ulinzi mkali wa kikosi cha polisi cha kupambana na ugaidi.

Washukiwa hao waliendelea kufungwa pingu na minyororo hata baada ya kuwa tayari wako ndani ya mahakama hiyo.

Kwa mwongozo wa Jaji Eva Luswata, kikao cha jana  Jumatatu kilikuwa cha kutoa fursa kwa wasimamizi wa mashtaka kuishawishi mahakama kwamba Jamil Mukulu na wenzake, wana kesi ya kujibu kuhusiana na ugaidi ndani ya Uganda.

Upande wa mashtaka umeieleza mahakama kwamba kwa mda mrefu, tangu mwaka 1986, Mukulu, akiwa kiongozi wa kundi la allied democratic forces – ADF, alikuwa akisajili wapiganaji, kutekeleza mauaji, wizi wa kimabavu, kutoa mafunzo ya ugaidi na kutekeleza ugaidi, kujaribu kuua, kuteka nyara na kushirikiana na makundi mengine ya kigaidi kutekeleza mauaji katika nchi za Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Washukiwa wamefuatilia kikao cha mahakama kwa msaada wa wakalimani katika lugha ya Kiswahili na lugha zingine asili kama lusoga, lugisu na Luganda.

Jamil Mukulu, anaripotiwa kupokea mafunzo ya moja kwa moja na aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda Osama Bin Laden, upande wa mashtaka umeeleza.

Pia wamesema kuwa , mshukiwa huyu aliwahi kushiriki katika vita nchini Afghanistan. Video iliyotolewa na jeshi la Uganda UPDF inaonyesha kundi la ADF likiwa linafanya mazoezi katika misitu ya DRC kwa kutumia silaha nzito.

Mukulu alikamatwa mnamo mwaka 2015 akiwa nchini Tanzania kabla ya kurejeshwa nchini Uganda, ambako alikuwa akitafutwa kwa mda mrefu na kukwepa mitego ya maafisa wa usalama. Alifanikiwa kuhepa mitego ya maafisa wa usalama kwa kutumia majina bandia Zaidi ya 11 kwenye stakabadhi zake.

Alipokamatwa alipatikana na zaidi ya pasi za kusafiria 10 za nchi tofauti ikiwemo Uganda, Tanzania, Kenya na Uingereza.

Serikali yajibu tuhuma za ubaguzi mikopo vyuoni

$
0
0
Serikali imekanusha kuhusu tuhuma za kwenye sera ya elimu ya mwaka 2014 kuwa ni ya kibaguzi kwa wanafunzi nchini hasa kwa wale wanaosoma kwenye shule za binafsi na kusema kuwa yote wanayofanya ikiwepo kutotoa mikopo kwa wanafunzi wote ni kutokana na ufinyu wa bajeti.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea kuhusu vigezo vinavyotumika na serikali kuwanyima mkopo wanafunzi waliosoma shule za binafsi, huku akieleza kuwa sera ya elimu imefanya ubaguzi.

"Tunachoangalia ni nani mwenye uhitaji zaidi, sio suala la kibaguzi, bajeti ni iliyopo ndogo wahitaji ni wengi. Kwa wanafunzi waliopata bahati ya kusomeshwa na wafadhili shule binafsi serikali haiwanyimi mikopo tutahitaji ushahidi kweli walifadhiliwa". - William Ole Nash

Aidha Mhe. Ole Nasha ameongeza "Kuhusu watoto ambao wamesoma shule binafsi kutoruhusiwa kupata mikopo ni suala la kuangalia kati ya mtu ambaye ameweza kulipa milioni 3 au 4 ya shule ya msingi na sekondari na yule ambaye hakuweza, ni yupi utampa kipaumbele kupata mkopo, sio tunabagua".- William Ole Nasha

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Mke wa Trump afanyiwa upasuaji wa figo

$
0
0
Mke wa Rais Donald Trump, Melania Trump amefanyiwa upasuaji wa figo katika hospitali ya Walter Reed Medical Center.

Kwa mujibu wa msemaji wa Melania, Stephanie Grisham amesema upasuji huo umekuwa wenye mafaninikio makubwa na hakukuwa na matatizo yoyote yaliyojitokeza.

Naye Rais Trump amethibitisha hilo kupitia mtandao wake wa Twitter huku akiwashukuru wote waliokuwa wakimuombea mkewe.

Taarifa za kufanyiwa upauaji huo zilitolewa na Ikulu ya Marekani Jumatatu hii huku ikidaiwa kuwa ataendelea kubakia hospitali kwa wiki yote hii ili kuweza kupata nafuu zaidi.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo dawa na PETE za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
 
Kutana na Sharif Al_noor. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. -SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.
 
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
 
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudisha  alipotea(MSUKULE), kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMA, GARI..), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET) Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
 
+255 746 426 604

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
MAKANGA 3 POWER; DAWA BORA NGUVU ZA KIUME
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.
 
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Rais Magufuli Abaini Madudu Baada ya Kufanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia Dkt. John Pombe Magufuli, leo amefanya ziara ya kushtukiza bandarini jijini Dar es salaam kukagua matanki ya mafuta ya kula, ambayo yameadimika hapa nchini.

Baada ya ziara hiyo na kufanya ukaguzi, Rais Magufuli amebaini kuwa kuna mafuta ambayo yameingizwa nchini huku kukiwa na taarifa za udanganyifu ili kukwepa kodi, yakiwemo mafuta ambayo yameshakamilika (refined oil) na kusema kuwa ni mafuta gahfi (crude oil).

Baada ya kugundua hilo Rais Magufuli amewataka wamiliki wa mafuta hayo kulipa ushuru wake unaostahili, pamoja na fine kutokana na udanganyifu walioufanya.

"Kwenye bidhaa walizosema ni crude kumbe ni refined oil walipe 25% pamoja na fine, hatuwezi tukawa tunaibiwa kila siku tunahitaji kujenga viwanda vetu, haiwezekani crude oil ukachaji sawa na semi refined, na hii sheria yetu inawezekana kulifanyika mchezo, wabunge walipitisha kitu kingine, kinachojadiliwa kingine, kilicholetwa huku ni kingine, kinachokuja kupitishwa kuwa sheria kimebadilishwa kuwa kingine.

 "Hii crude oil ichajiwe bei ya juu ili watu wengi wajenge viwanda hapa ili tujenge nchi yetu ”, amesema Rais Magufuli.

Sambamba na hilo Rais Magufuli amemtaka mkemia Mkuu wa Serikali kufuata maadili ya kazi, ili kuleta weledi na kujenga nchi.

"Mkemia Mkuu nataka sampo zozote mtakazokuwa mnapewa fanyeni kwa utaratibu kwa kuzingatia maadili, mkiletewa mkono wa albino semeni mkono wa albino msije mkasema mkono wa mbwa. 

"Mkiletewa madawa ya kulevya semeni haya ni madawa ya kulevya sio unga wa muhogo, amesema Rais Magufuli.

Apandishwa Cheo Baada ya Ziara ya Kushtukiza ya Rais Magufuli

$
0
0
Rais Dkt. John Magufuli amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kumpandisha cheo Kaimu Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa wa TRA bandari ya Dar es Salaam Ben Usaje na kuwa Kamishna kamili bandarini hapo ndani ya wiki hii.

Dkt. Magufuli ametoa agizo hilo wakati alipokuwa anazungumza na  viongozi mbalimbali kwenye bandari ya Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake ya kushtukiza kwenye bandari na kusema amefanya hivyo kutokana na kazi nzuri aliyoifanya Ben Usaje katika kusimamia maslahi ya nchi vizuri.

"Nawapongeza watu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kazi nzuri mnayoifanya,  Waziri wa Fedha kampeni tu huyu ukamishna kamili kwa sababu amesimamia haki halisi kwaajili ya maslahi mapana ya nchi yetu, najua wanamchukia sana wengine wafanyabiashara lakini waache wakuchukie Mungu anakupenda na watanzania tutaendelea kukupenda kwa hiyo mka-confirm. Katibu Mkuu mkazungumze wote mumpe angalau ndani ya wiki hii msimcheleweshe", amesema Dkt. Magufuli.

Uamuzi huo wa Rais Magufuli umekuja baada ya kumuuliza swali Kaimu Kamishna kuwa anafanya kazi gani TRA na ndipo alipotoa amri hiyo ya kupandishwa cheo haraka kutokana na kuwa ameweza kusimamia haki na maslahi kwa ufasaha.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Magufuli amnyima kijana nauli, amtaka akalime

$
0
0
Rais John Magufuli amemnyima fedha kijana mmoja aliyemuomba kiongozi mkuu huyo wa nchi nauli, wakati alipokwenda kwa mamantilie  eneo la Bandari Dar es Salaam kunywa chai muda mfupi, baada ya kumaliza ziara yake ya kushtukiza katika bandari hiyo.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Mei 15, 2018 wakati akinunua mapapai na ndizi baada ya kukuta chai ikiwa imekwisha katika genge la mamantilie huyo, huku kijana aliyekuwa akimsaidia mama huyo kupiga hesabu za matunda hayo, kuchomekea suala la nauli.

“Nataka mapapai nikale na wenzangu pale. Wewe mama jumlisha bei ninunue tena wewe mhehe si ndio, unaona sasa mtani wangu wewe. Haya haya hapa shilingi ngapi?,” amesema Magufuli akiuliza bei ya mapapai na kujibiwa kuwa ni Sh22,000.

“Na hizi ndizi ni kiasi gani, sawa kwa hiyo hizi ndizi zote pamoja na mapapai ni Sh23,000 si ndio. Sasa mimi nakuongeza nakupa Sh30,000 kabisa, au hutaki hela yangu mama.”

Baada ya mama huyo kupokea kiasi hicho cha fedha, kijana huyo alimuomba Rais nauli, “mheshimwia rais naomba nauli.”

“Hakuna nauli hapa nenda kalime,” amesema Rais Magufuli na kuwafanya waliokuwepo eneo hilo kuangua kicheko.

Ni kama kijana huyo alirudia tena kuomba nauli kwani rais alisikika tena akisema, “hakuna cha nauli hapa.”

Wanafunzi wazuiwa kwenda shule baada ya mto kujaa maji

$
0
0
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkoga, Kitongoji cha Tambani wilayani Mkuranga, Amiri Mbamba ameagiza wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaolazimika kuvuka Mto Kizinga, kutokwenda shule baada ya mto huo kujaa.

Mbamba alitoa tangazo hilo jana jioni Mei 14, 2018 kwa kupita katika nyumba za eneo hilo na kuwasihi wazazi wasiwaruhusu watoto wao kutoka majumbani kwa ajili ya usalama wao.

Mto Mzinga ulianza kujaa maji jana saa tatu asubuhi jambo lililowalazimu wavushaji eneo la Bonde la Mkoga kusitisha kazi hiyo.

Hata hivyo, hali ya kujaa maji iliongezeka jana Jumatatu jioni na kusababisha sehemu ya daraja iliyokuwa ikitumika kufunikwa na maji hayo.

Tangazo hilo pia liliwagusa wavushaji ambao wametakiwa kutovusha mwanafunzi yeyote hadi maji yatakapopungua.

Watu wazima ambao walikuwa wanavuka kwenye mitumbwi walilazimika kulipa gharama ya Sh1,500 hadi Sh2,000.

Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume....Huna Sababu ya Kuaibika Tena

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MALUNA:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUPER MORISIS:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr LALIMBO mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR LALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0653182109, 0744391089.

Serikali yabanwa Bungeni migogoro ya wakulima na wafugaji

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imeitaka Serikali kuwasilisha bungeni taarifa ya Tume iliyochunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji ili chombo hicho cha Dola kiweze kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba.

Akisoma taarifa ya kamati hiyo leo bungeni Mei 15, 2018, Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Christine Ishengoma amesema migogoro baina ya wakulima, wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi ina athuri uzalishaji  katika sekta ya kilimo.

Amesema migogoro hiyo imesababisha hofu, uvunjifu wa amani, vifo na uharibifu wa mali na mazingira.

Dk Ishengoma amesema uchambuzi wa kamati umebaini migogoro ya matumizi ya ardhi ni mtambuka hivyo suluhu yake inaweza kupatikana kupitia jitihada za pamoja miongoni mwa sekta husika.

“Kwa kutambua hivyo na kuzingatia malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge bungeni ambao kimsingi ndio wawakilishi wa wananchi, yalipelekea Serikali kuunda Tume inayohusisha wizara tano zinazohusika na ardhi,” amesema Dk Ishengoma.

“Kamati inashauri ni vyema taarifa ya Tume hiyo ikawasilishwa bungeni ili Bunge liweze kutekeleza wajibu wake wa kuishauri Serikali.”

Dk Ishongoma amesema Serikali iongeze kasi ya kutekeleza kwa vitendo Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi kama ilivyoainishwa kwenye Sheria ya Ardhi ya Vijiji namba 5 ya mwaka 1999, pamoja na kuhuisha sheria nyingine zinazosimamia matumizi, umiliki, uhifadhi ili kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu ardhi.

Mtumbwi wazama, wanafunzi wawili wafariki dunia

$
0
0
Wanafunzi wawili wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wanatumia kuvuka kupinduka na kuzama eneo la Chulwi kitongoji cha Tambani Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani jana Mei 14, 2018. Katika ajali hiyo, watu wanane waliokolewa.

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Filberto Sanga amesema  leo Mei 15, 2018 kuwa mtumbwi huo ulikuwa na watu 10, wakiwamo wanafunzi hao, kwamba mwili wa mwanafunzi mmoja umepatikana na mwingine unaendelea kutafutwa.

“Wanafunzi hawa mmoja alikuwa anasoma darasa la awali na mwingine darasa la pili,” amesema Sanga.

Amesema kutokana na mvua kuendelea kunyesha maeneo mbalimbali wilayani humo, amezuia wanafunzi kwenda shule kwa kuwa pia mito imejaa maji jambo linalosababisha uvukaji kuwa mgumu.

Amesema kuwa mvua hizo zilimfanya ashindwe kufika eneo la tukio jana baada ya gari yake kukwama na amehakikisha leo kufika maeneo yote ambayo yamepata madhara ya mvua.

“Leo nitatembelea maeneo yaliyopata madhara ya mvua eneo la Magawa, Kata ya Kisiju huko kuna nyumba zimeezuliwa na idadi kamili nitatoa baadaye,” amesema Sanga.

Serikali Yatoa Ufafanuzi Malipo ya Ada ya Mitihani Kwa Shule Binafsi

$
0
0
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema wanafunzi wanaosoma katika shule binafasi wataendelea kutozwa ada ya mitihani ya taifa kwa kuwa programu ya elimu bila malipo haizihusu shule hizo hivyo wazazi na walezi ni jukumu lao kugharamia huduma hizo.

Kauli hiyo imetolewa leo Mei 15, 2018 na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha Bungeni Jijini Dodoma kwenye kikao cha 29 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu la Mbunge Viti Maalum Ester Mahawe aliyetaka kujua ni lini serikali itafuta ada ya mitihani ya Taifa kwa shule za msingi na sekondari kwa wanafunzi wanaosoma katika shule binafsi ?.

"Serikali inatambua umuhimu wa sekta binafsi katika utoaji elimu nchini. Ili kuhakikisha mazingira rafiki katika utoaji wa elimu serikali imekuwa ikifanya majadiliano na sekta binafsi kwa lengo la kuondoa changamoto mbalimbali zinazowakabiri. 

"Katika utekelezaji wa mpango wa elimu bila ya malipo, serikali ilifuta ada na michango ya lazima katika shule za umma ngazi ya elimu msingi hadi kidato cha nne", amesema Olenasha

Pamoja na hayo, Naibu Waziri Olenasha ameendelea kwa kusema "ada na michango hiyo iliyokuwa inalipwa na wazazi au walezi kwasasa inagharamiwa na serikali, mpango huu haujazihusisha shule binafsi pamoja na umma ngazi ya kidato cha tano na sita. Hivyo shule hizo zitaendelea na utaratibu wa wazazi au walezi kulipa ada za mitihani ya Taifa".

Kwa upande mwingine, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha amesema serikali itaendelea kuboresha mazingira ya utoaji elimu nchini kadri uwezo wa kifedha utakaporuhusu kufanya hivyo.

Lulu Michael Keshaanza Kutumikia Kifungo chake cha Nje kwa Kufanya Usafi Wizarani ya Mambo ya Ndani

$
0
0
Mwigizaji Elizabeth Michael maarufu Lulu ameanza kutumikia kifungo  chake cha nje kwa kufanya usafi katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani zilizopo katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Probesheni na Huduma za jamii, Charles Nzase amesema Lulu anaungana na wafungwa wengine 10 wanaofanya usafi wa mazingira wizarani hapo.

Amesema kila siku mwigizaji huyo atatumia saa nne kusafisha mazingira kisha ataendelea na shughuli zake nyingine za ujenzi wa Taifa.

Ameongeza kuwa tayari msanii huyo alianza kutekeleza adhabu hiyo tangu jana na kwamba ataendelea mpaka atakapomaliza kifungo chake Novemba, mwaka huu.

“Atapumzika siku za Jumamosi na Jumapili au siku za sikukuu, hatakuwa peke yake kwa kuwa tayari hapa wapo wafungwa wengine tisa wanaofanya kazi za usafi wa mazingira,” amefafanua Nzase.

Bulaya, Halima Mdee Wakwama Kufika Mahakamani

$
0
0
Wabunge Esther Bulaya pamoja Halima Mdee ambao ni washtakiwa katika kesi ya jinai namba 112 ya mwaka 2018 ikiwamo kula njama, kufanya mkusanyiko usio halali kinyume cha sheria wameshindwa kufika mahakamani leo kutokana na usafiri waliokuwa wakitumia kupata matatizo.

Hayo yamebainishwa na Wakili wa utetezi, Peter Kibatala  mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, kuwa sababu ya washtakiwa hao kutokuwapo mahakamani imetokana na usafiri waliokuwa wanatumia kutoka bungeni mjini Dodoma kuelekea Dar es Salaam, kuwa na tatizo na kusababisha wachelewe kufika.

Katika kesi hiyo ya jinai namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabili viongozi tisa wa CHADEMA, akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe Halima Mdee , ni mshtakiwa wa saba,  na Ester Bulaya ni mshtakiwa wa tisa.

Mbali na Bulaya pamoja na Mdee washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji , Mbunge wa Iringa Mjini Mch. Peter Msigwa, Naibu makatibu wakuu Salum Mwalimu (Zanzibar) na John Mnyika (Bara), Mbunge wa Tarime Mjini Esther Matiko, na Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche.

Viongozi hao wa CHADEMA wanakabiliwa na mashtaka 12 katika hiyo ya  kufanya mkusanyiko na maandamano yasiyo halali  Februari 16, 2018 yaliyosababisha kifo cha aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline.

Pingamizi kesi ya Mbowe, Viongozi CHADEMA latupiliwa mbali

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali pingamizi la awali la upande wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe ya kutaka kesi yao isikilizwe Mahakama Kuu.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya Wakili wa serikali Mkuu, Faraja Nchimbi kueleza kuwa shauri hilo limeitishwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi.

Hakimu Mashauri amesema kuwa amepitia hoja zote za utetezi na upande wa mashtaka, ambapo ameona hoja za upande wa mashtaka hazina mashiko.

“Natupilia mbali hoja za upande wa mashtaka kwamba kesi iende Mahakama Kuu,” amesema ambapo ameahirisha kesi hiyo hadi May 16,2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa Ph.

Miongoni mwa hoja za utetezi kutaka kesi hiyo ipelekwe Mahakama Kuu ni kwa sababu kuna uvunjifu wa haki ya msingi ya Kikatiba.

Pia shtaka la pili linalowakabili washtakiwa katika hati ya mashtaka linakiuka haki ya msingi ya washtakiwa ya kufanya shughuli za kisiasa za chama wanachotoka cha CHADEMA.

Katika kesi hiyo, washtakiwa wanakabiliwa na jumla ya mashtaka 12 ikiwamo kula njama, kufanya mkusanyiko usio halali kinyume cha sheria na kuendelea kufanya mkusanyiko usio halali ama maandamano yaliyosababisha kifo cha Akwilina Akwiline.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images