Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Maneno ya Nape baada ya Sugu kutoka gerezani

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amemkaribisha uraini Mbunge wa Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ baada ya kutoka gereza la Ruanda alipokuwa akitumikia kifungo chake .

Nape amesema kuwa anakumbuka Mbunge huyo ambaye pia ni msanii aliwahi kuimba juu yake wakat alipoanza siasa.

“Karibu tena Uraini brother!{nakumbuka uliwahi kuimba juu yangu wakati huo nilipoanza siasa},” ameandika Nape kupitia ukurasa wake Twitter.

Sugu na katibu wa Chadema kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga walitiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela February 26, 2018 kwa kutoa lugha ya fedhea dhidi ya Rais John Magufuli kwenye mkutano wa hadhara walioufanya Desember 30, 2017 katika uwanja wa shule ya msingi Mwenge, Mbeya

Kama Dalili Hizi Unazo Upo Kwenye Hatari Ya Kuishiwa Nguvu Za Kiume Kabisa

$
0
0
Una dalili zifuatazo?
1: Kushindwa kurudia tendo la ndoa
2: Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa
3: Maumivu ya kiuno mgongo
4: Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
5: Uume kusinyaa, kuingia ndani na kuwa mdogo au mfupi
6: Korodani moja kuvimba

KAMA DALILI HIZI UNAZO UPO KWENYE HATARI YA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME KABISA

Kwa matibabu tumia OZYMIX POWER-dawa bora ya nguvu za kiume ya miti shamba ambayo haina kemikali ambayo itakuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha.
Pia tunatoa huduma hizi:>

1.Dawa ya Kuondoa michirizi
2.Kumrudisha mwanaume aliyekuacha 
 
Tunapatikana KAWE UKWAMANI karibu na kituo cha mabasi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI ; 0716096205 /0756726865 FIKA OFISIN AU PIGA SIMU NA UTALETEWA DAWA POPOTE ULIPO DAR ES SAALAM NA KWA MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA MABASI.

TEMBELEA KATIKA BLOG YETU HAPA>>>;

Okoa Ndoa Yako Sasa : Je Umepungukiwa Na Nguvu Za Kiume Au maumbile Au Mpenzi Wako Hakutimizii Utakacho?

$
0
0
Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sabubu ya kutokuwa na nguvu za kiume au uume wako mdogo dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA;
 1 KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA YA MWENZI WAKO
2 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA 
3 UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE 
4 KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

MAKAKANUA; HII NI dawa ya maumbili madogo...hufusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba, dawa za uzaz,Mi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU. KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA. piga simu 0743362017. 0789234653 DR AGU

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE; 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO 0754372325/ 0689013109/ 0620806813 

HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0766340868

Wakili alalamika mke wa Seth kuzuiwa kumuona mume wake

$
0
0
Wakili wa Harbinder Seth, Dora Mallaba amelalamika kuwa, mke wa mteja wake, amezuiwa kumuona mume wake mahabusu.

Akizungumza leo Mei 10, mbele ya  Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Huruma Shahidi, Wakili  Mallaba amesema kibali cha mke wa Seth kumuona mume wake gerezani kiliombwa tangu Februari mwaka huu lakini hadi leo hakijatoka.

 Ameiomba Mahakama  kutoa maelekezo ili mke wa Seth, akamuone mume wake gerezani.

Pia wakili huyo, amelalamika kuwa Sethi alipelekwa hospitali ili apimwe na kupewa majibu ya vipimo kutokana na hali yake ya kiafya kuwa mbaya, lakini hajapewa majibu hayo mpaka sasa.

Baada ya Dora kueleza hayo, Shaidi alidai kuwa amri ya Mahakama imetekelezwa kwa kumpeleka Seth hospitali na kwamba suala la matibabu halipaswi kuingiliwa na mahakama liachwe baina ya mgonjwa na madaktari.

Kuhusu mke wa Seth kuzuiwa kumuona mumewe, Shaidi amedai kuwa sheria ya magereza ipo wazi na kwamba imetoa utaratibu wa kumuona mtu aliyekuwapo mahabusu.

“Ni rai yetu wafuate utaratibu za Magereza walizoelekezwa ili mke apate nafasi ya kumuona mumewe," ameeleza Shaidi.

Baada ya kusikilizwa hoja hizo, Hakimu Shaidi amesema suala la kuonana na mtu aliyekuwepo magereza ni la kibinadamu kwani hao ni mtu na mkewe na wanapendana hivyo alishauri wapewe nafasi ya kuonana.

Hakimu Shahidi ameiahirisha kesi hadi Mei 25, 2018 kwa ajili ya kutajwa.

Seth ni mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independe Power Tanzania Ltd(IPTL) na James Rugemarila, Mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering and Marketing.

 Wanakabiliwa na mashtaka  12 ya  uhujumu uchumi  kwa kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu , kughushi,  kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu,  kutakatisha fedha  na kuisababisha serikali hasara .

Rais Magufuli Abaini Tatizo Kubwa Wizara ya Maji na Wizara ya Ardhi.....Atoa Maagizo Mazito

$
0
0
Rais Dkt. John Magufuli ameagiza wataalamu wote wa idara za maji katika halmashauri zote nchini kusimamiwa moja kwa moja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili kuimarisha usimamizi wa shughuli zinazofanywa na idara hiyo na kuwawajibisha wahusika pale miradi isipotekelezwa.

Rais Magufuli pia amewataka wataalamu wa ardhi na mipango miji katika halmashauri zote nchini kusimamiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ili kuimarisha usimamizi wa shughuli zinazofanywa na idara hiyo na kuwawajibisha wahusika pale mradi unapotekelezwa visivyo.

Dkt. Magufuli ametoa agizo hilo Mei 10, 2018 wakati alipokuwa anazungumza mara baada ya kumaliza zoezi la kumuapisha Mhe. Alphayo Japani Kidata kuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada na Bw. Msalika Robert Makungu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora na kusema hajaridhishwa na utendaji katika sekta maji na ardhi kutokana na usimamizi mbaya wa miradi mingi ya maji na usimamizi mbaya wa masuala ya ardhi na mipango miji.

"Sasa hivi kila mahali watu wanalalamikia maji, Wabunge wanalalamika, wananchi wanalalamika, serikali imetoa fedha lakini miradi haitoi maji, ukichunguza miradi hii inasimamiwa na wahandisi wa maji wa halmashauri ambao Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji ambaye ana wataalamu wa maji hana uwezo wa kuwawajibisha, wahandisi wanawajibika kwa madiwani, sasa hatuwezi kwenda kwa mtindo huo", amesema Rais Magufuli.

Pamoja na hayo, Rais Magufuli ameendelea kwa kusema "kwenye ardhi kuna matatizo mengi ya ardhi na mipango miji, watu wanadhulumiwa ardhi, ugawaji wa viwanja ni matatizo, maafisa ardhi  na mipango miji wanachelewesha vibali vya ujenzi, huku nako Katibu Mkuu wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi hana mamlaka ya kuwachukulia hatua, hili nalo tatizo".

Kwa upande mwingine, Rais Dkt. Magufuli amemtaka Waziri wa TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo kukutana na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Isack Kamwele na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi, kwa kushirikiana na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi kutengeneza muundo utakaozingatia maelekezo aliyoyatoa leo.

Serikali yafunguka sakata la ugonjwa wa Ebola

$
0
0
Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyehisiwa au kuthibitishwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola hapa nchini na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari kubwa dhidi ya ugonjwa huo ambao umeripotiwa hivi karibuni katika nchi jirani ya Demokarasia ya Kongo (DRC).

Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.

Waziri Ummy amesema kuwa hata hivyo taarifa hiyo haiizuii Tanzania kuchukua hatua thabiti dhidi ya kujikinga na ugonjwa wa Ebola kwa kuwa inapakana na nchi ya DRC ambapo kuna mipaka mingi ambayo watu huwa wanaingia na kutoka kwa njia zisizo za halali.

"Tanzania imepokea taarifa ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini DRC uliotangazwa na shirika afya Duniani Mei 8 mwaka huu ambapo vipimo vya maabara vimethibitisha baada ya kupokea wagonjwa 21 ambapo kati yao 17 wamepoteza maisha", amesema Waziri Ummy.

Aidha, Waziri Ummy amewataka watu wanaoishi katika mikoa inayopakana na nchi ya DRC kuchukua tahadhari pale wanapohisi kupata magonjwa yenye dalili za Ebola kwa kuwahi kufika kwenye hospitali zinazotoa huduma ili wafanyiwe vipimo vya kina kuonyesha kama wameathirika au la.

Waziri Ummy ameitaja mikoa ambayo inapakana na nchi ya DRC kuwa ni Mwanza, Kagera, Kigoma, Katavi, Rukwa na Songwe na kuwataka wananchi wanaoishi katika mikoa hiyo kuchukua tahadhari kubwa ya kujikinga na ugonjwa wa Ebola.

“Nimeitaja mikoa hiyo kwa sababu ina njia nyingi ambazo siyo rasmi zinazowawezesha watu kuvuka kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine na hivyo kama kutakuwa na mtu ambaye ameambikizwa ugonjwa huo itakuwa ni rahisi kuusambaza tofauti na mtu nayeingia nchini kwa kutumia mipaka rasmi kama vile uwanja wa ndege”,  amesema Waziri Ummy.

Kwa upande mwingine, Waziri Ummy amesema Wizara imechukua hatua mbalimbali ili kudhibiti ugonjwa huo ikiwemo kutoa taarifa ya tahadhari ya ugonjwa wa Ebola kupitia kwa makatibu tawala na waganga wakuu wote wa mikoa kwa kujumuisha na namna mgonjwa anavyoweza kutambuliwa, namna ya kuchukua sampuli na namna ya kuwahudumia wagonjwa.

Mahakama yapokea vielelezo kesi ya Nondo

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi, Iringa, imepokea vielelezo vya kimtandao vilivyoletwa na upande wa mashtaka dhidi ya Mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (UDSM) Abdul Nondo.

Akizungumza Mahakamani hapo, leo Mei 10, Hakimu Mkazi, wa mahakama hiyo, John Mpitanjia amesema amepokea vielelezo hivyo baada ya kupitia sheria mbalimbali za mitandao ya kijamii.

Mpitanjia amesema, mahakama inawajibu wa kupokea kila kielelezo kinachokuja mbele yake.

Baada ya uamuzi huo upande wa utetezi chini Wakili Chance Luoga uliridhia maamuzi hayo na kuomba kesi hiyo  iendelee tena Mei 14

Nondo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu,(TSN) anakabiliwa  anakabiliwa na mashtaka mawili shtaka la kwanza ni kusambaza taarifa za uongo akiwa jijini Dar es Salaam kuwa ametekwa na kosa la pili ni kutoa taarifa za uongo akiwa mjini Mafinga kwa askari Polisi kituo cha Mafinga Wilayani Mufindi.

Waziri Azitaja Kampuni 4 Zilizoruhusiwa Kuagiza Sukari Nje ya Nchi

$
0
0
Serikali imesema hali ya ukame uliozikumba nchi za ukanda wa Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika mwaka 2017/18 umesababisha Tanzania kushindwa kufikia matarajio ya sukari tani  314,000 na badala yake imezalisha tani 300,399.

Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na uwekezaji ya mwaka 2018/19, waziri wa wizara hiyo, Charles Mwijage amesema takwimu hizo ni za hadi kufikia Aprili 20, 2018.

Amesema mahitaji ya sukari nchini ni takribani tani 630,000 kwa mwaka na kwamba kati ya kiasi hicho tani 485,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na tani 145,000 ni kwa ajili ya matumizi ya viwandani.

“Sukari kwa matumizi ya viwandani haizalishwi hapa nchini. Uwezo wa uzalishaji wa ndani kwa sasa ni wastani wa tani 320,000 kwa mwaka. Pengo la mahitaji takriban tani 165,000 za sukari ya kawaida na tani 145,000 za viwandani huzibwa kwa kuagizwa kutoka nje ya nchi,”amesema.

Amesema kampuni nne zinayozalisha sukari nchini ndizo zilizopewa jukumu la kuagiza sukari  kwa  masharti kuwa hakutakuwa na upungufu wa sukari nchini na ni lazima wapanue mashamba ya miwa ili ifikapo mwaka 2020  Tanzania ijitosheleze kwa sukari.

Amezitaja kampuni zilizopewa jukumu la kuagiza sukari kutoka nje ya nchi kuwa ni Kilombero , TPC, Kagera na Mtibwa.

Taarifa muhimu kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi kuhusu maombi ya mikopo

$
0
0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza kuanza kupokea maombi ya mwaka wa masomo 2018/19 kuanzia leo hadi Julai 15, mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa katika mtandao wa kompyuta wa HESLB jana ilieleza kuwa maombi yote yatapokelewa kwa njia ya mtandao ambao umefanyiwa maboresho na Kituo cha Kompyuta cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC-UDSM).

"Tunawataarifu watarajiwa wanufaika wa mkopo wapya na wa zamani kwa mwaka 2018/19 kuwa mfumo wetu wa maombi kwa njia ya mtandao utafunguliwa kuanzia Alhamisi Mei, 10 (leo) hadi Jumapili Julai 15, 2018," ilieleza taarifa hiyo.

Kadhalika, HESLB iliwataka wanufaika na watarajiwa wa mkopo kuzingatia mwongozo wa utoaji mkopo na ruzuku kwa wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2018/19.

Sehemu ya maelezo ya mwongozo wa utoaji mkopo inasema waombaji wote wanakumbushwa kuhakikisha maelezo wanayoyatoa katika fomu ya maombi ya mkopo, yawe sawa na maombi ya udahili wa chuo.

Pia ilieleza kuwa namba ya mtihani wa kidato cha nne iwe sawa na iliyopo kwenye maombi ya mkopo na udahili wa chuo.

Kadhalika, bodi imewataka waombaji kuhakikisha nyaraka zote za maombi ya mkopo wanazowasilisha zimehakikiwa na mamlaka husika.

HESLB imetaka waombaji kuhakikisha vyeti vyote vya kuzaliwa na vifo na vingine vinathibitishwa na Mamlaka ya Vizazi na Vifo (RITA) au ofisa aliyechaguliwa, ili kuthibitisha uhalali huo.

"Hata hivyo, Ofisa Wilaya Ustawi wa Jamii (DSWO) anaweza kuidhinisha ripoti ya kifo cha mzazi kutoka kwa mamlaka ya kijiji au kata," ilisema taarifa hiyo.

Mwongozo huo pia uliwataka waombaji kuhakikisha taarifa kuhusu wazazi, walezi na mdhamini (kazi, anuani ya mwajiri, namba ya simu, anuani ya posta) ziwe kamili na sahihi.

"Waombaji mikopo ambao wazazi wao ni viongozi waliotajwa katika Kanuni ya Uongozi wa Umma, hawapaswi kuomba kwa Sheria ya Mwaka 1995," taarifa ilifafanua na kueleza zaidi:

"Vilevile waombaji ambao wazazi au walezi ni wamiliki wa biashara, mameneja wakubwa katika mamlaka zinazotambulika zenye usajili, hawaruhusiwi kuomba mkopo."

Sehemu ya mwongozi huo inawataka waombaji kukamilisha fomu zao kwa usahihi na mara wanapowasilisha hawataweza kurekebisha taarifa hizo iwapo huwakujaza kwa ufasaha.

Pia iliwataka waombaji kutunza nakala za maombi ya mkopo waliyowasilisha HESLB kwa matumizi mengine endapo itahitajika, pamoja na kuzingatia muda wa kutuma maombi.

Aprili 17, HESLB ilitangaza kuanza kupokea maombi kwa mwaka wa masomo 2018/19 kuanzia wiki ya kwanza ya mwezi huu.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam na bodi hiyo, mikopo hiyo ilikuwa ikisubiri maboresho ya mfumo wa uombaji mikopo kwa njia ya mtandao.

Katika taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji HESLB, Abdul-Razaq Badru, alisema maombi yote yatapokelewa kwa njia ya mtandao wa www.olas.heslb.go.tz.

Katika taarifa hiyo, Badru alisema kwa uzoefu wa miaka iliyopita waombaji wa mikopo waliwasilisha maombi yao bila kuzingatia mwongozo uliotolewa na kusababisha baadhi ya wanafunzi kukosa mikopo.

"Mwaka jana (2017), kwa mfano, zaidi ya waombaji 10,027 kati ya waombaji zaidi ya 61,000 hawakuambatanisha nyaraka muhimu kama vyeti vya kuzaliwa au hata vile vya vifo vilivyothibitishwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kama tulivyoelekeza," alisema.

Alitaja nyaraka nyingine muhimu ambazo waombaji mikopo wanapaswa kuziandaa ni pamoja na nakala za vyeti vya kitaaluma za kidato cha nne, sita na stashahada ambazo zimethibitishwa na Kamishna wa Viapo - yaani wakili au hakimu.

Aidha, Badru alisema wanafunzi waombaji wenye ulemavu au wenye wazazi wenye ulemavu wanapaswa kuwa na barua zinazothibitisha ulemavu huo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa, Wilaya au Kituo cha Afya cha Serikali.

Pia alisema wanafunzi ambao walifadhiliwa katika masomo yao ya sekondari au stashahada (diploma) wawe na barua za uthibitisho wa udhamini huo kutoka katika taasisi zilizogharamia masomo yao.

Rais Magufuli: Kuteuliwa sio tatizo, ukishindwa tunakurudisha

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa amesikitishwa na vitendo vya Mabalozi kushindwa kutekeleza maagizo yake aliyowapa ya kumpa taarifa juu ya utendaji kazi wao na manufaa ambayo Tanzania imeyapata kwa uwepo wa kila Balozi katika nchi aliyopangiwa kila robo mwaka.

Ameyasema hayo Ikulu Jijini Dar es salaam mara baada ya kumaliza kumuapisha, Alphayo Kidata kuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada na Msalika Robert Makungu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa T abora.

Amewataka viongozi hao kwenda kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa na kwa manufaa ya Taifa na sio kufanya mambo ndivyo sivyo.

“Balozi ameteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika nchi fulani, nchi imenufaikaje na uwepo wake kwenye nchi ile?. Kuteuliwa sawa lakini sio lazima ukae katika ubalozi huo kwa kipindi chote ulichopangiwa, ukishindwa kuleta manufaa unarudishwa na huko anapangiwa mtu mwingine atakayeleta manufaa kwa nchi,”amesema Rais Dkt. Magufuli

Hata hivyo,Rais Dkt. Magufuli ameipongeza Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa kufanya kazi nzuri katika sekta ya Elimu na Afya

Marekani Yalaani Mashambulizi ya Irani Dhidi ya Israel

$
0
0
Marekani  imelaani mashambulizi ya roketi yaliyofanywa na Iran katika eneo linalokaliwa na Israeli –Golan Heights na kuwa halikubaliki na ni hatari kwa maendeleo ya eneo lote la Mashariki ya Kati.

Katika tamko lililotolewa Alhamisi, Ikulu ya Marekani  imesema kuwa walinzi wa jeshi la Mapinduzi la Kiislam la Iran (IRGC) “litawajibika kikamilifu kwa matokeo yoyote ya vitendo vyao vya ovyo” na kuonya kuwa jeshi hilo na “wanamgambo wanaopigana kwa niaba yao” wasiendelee kufanya “vitendo vya uchokozi zaidi.”

Israel imesema Alhamisi ndege zake za kivita zilipiga dazeni ya vituo vya kijeshi vya Iran ndani ya Syria usiku wa Jumatano ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi hayo.

Jeshi la Israeli limesema kuwa shambulizi hilo la anga lililenga vituo vya kijasusi, maghala ya silaha na vituo vya kupanga vita, na kuwa ndege hizo za kivita pia ziliangamiza mifumo ya ulinzi wa anga ya Syria.

Pia Israel imeonya kuwa “haitoruhusu vitisho vya Iran kujikita katika ardhi ya Syria” na wamesema serikali ya Syria itawajibishwa “kwa kila kitu kinachotokea katika ardhi yake.”

Spika ataka Mawaziri wasafiri, awapa kazi wabunge

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kuna haja ya wabunge kuwaombea mawaziri kwenye mamlaka husika ili wapate fursa kusafiri nje ya nchi.

KauIi hiyo ya Spika imekuja kufuatia hoja ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ambapo alisema ni muhimu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage asafiri nje ya nchi, ili kujenga uhusiano ya kidiplomasia na kutafuta masoko ya bidhaa za mbaazi, choroko na giligilani.

Spika Ndugai ambaye alikiri kukubaliana na mchango wa Zitto Kabwe amesema ni kweli mawaziri inabidi wasafiri na wabunge wanapaswa kuwaombea kutoka kwenye mamlaka.

“Waziri wa Biashara hawezi kukaa na sisi hapa, lazima aende, tumuombee popote pale kwenye mamlaka lazima asafiri, maana bidhaa zetu tutauza Kongwa, kuna soko huko?

“Waziri wa utalii lazima asafiri ‘apige mawingu’ huko na wengine huko, ndiyo ukweli jamani, sisi wabunge lazima tuwasemee,” amesisitiza Ndugai.

Sugu ajifananisha na Mandela

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema anajiona shujaa baada ya kufanikiwa kutoka gerezani na kusema kuwa amepata hisia walizopitia viongozi waliofungwa kisiasa duniani.

Sugu amesema hayo jana Mei 10, 2018, wakati akiongea na vyombo vya habari nyumbani kwake Mjini Mbeya muda mfupi baada ya kuachiwa huru, na kusema kuwa yeye alifungwa kisiasa na ndiyo maana anajiona shujaa kwasabau ameingia katika kundi moja la vingozi wa zamani kama Hayati Nelson Mandela wa Afrika Kusini.

"Najisikia shujaa kuingia kundi la wafungwa wa kisiasa duniani, Mandela, Obasanjo, ingawa ni kwa muda mfupi lakini zile hisia alichokua anajisikia Mandela wakati yupo ndani, katikati ya usiku haupo na familia hizo hisia ninazo" amesema Sugu.

Sugu alitumia muda huo kuwapa pole wakazi wa jimbo la Mbeya mjini kwa sababu muda mrefu walimkosa Mbunge huyo na kudai kuwa yeye alifungwa kimwili ila wakazi wa jimbo hilo walifungwa mioyo.

Mbunge Sugu na Katibu wa Chadema kanda ya nyanda za juu kusini Emmanuel Masonga, waliachiwa huru jana Mei 10, 2018 baada ya kuhudumu katika Gereza la Ruanda mkoani mbeya kwa siku 73 ambapo taarifa ya Gereza hilo imedai wawili hao walitolewa kwa msamaha wa Rais John Magufuli alioutoa katika sherehe za siku ya muungano April 26, 2018.

February 26, 2018 Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya iliwatia hatiani Sugu na Masonga na kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli katika mkutano wa hadhara uliofanyika Disemba 30, 2017

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO 0758840958 / 0785687900

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya May 11

Sugu ajifananisha na Mandela

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema anajiona shujaa baada ya kufanikiwa kutoka gerezani na kusema kuwa amepata hisia walizopitia viongozi waliofungwa kisiasa duniani.

Sugu amesema hayo jana Mei 10, 2018, wakati akiongea na vyombo vya habari nyumbani kwake Mjini Mbeya muda mfupi baada ya kuachiwa huru, na kusema kuwa yeye alifungwa kisiasa na ndiyo maana anajiona shujaa kwasabau ameingia katika kundi moja la vingozi wa zamani kama Hayati Nelson Mandela wa Afrika Kusini.

"Najisikia shujaa kuingia kundi la wafungwa wa kisiasa duniani, Mandela, Obasanjo, ingawa ni kwa muda mfupi lakini zile hisia alichokua anajisikia Mandela wakati yupo ndani, katikati ya usiku haupo na familia hizo hisia ninazo" amesema Sugu.

Sugu alitumia muda huo kuwapa pole wakazi wa jimbo la Mbeya mjini kwa sababu muda mrefu walimkosa Mbunge huyo na kudai kuwa yeye alifungwa kimwili ila wakazi wa jimbo hilo walifungwa mioyo.

Mbunge Sugu na Katibu wa Chadema kanda ya nyanda za juu kusini Emmanuel Masonga, waliachiwa huru jana Mei 10, 2018 baada ya kuhudumu katika Gereza la Ruanda mkoani mbeya kwa siku 73 ambapo taarifa ya Gereza hilo imedai wawili hao walitolewa kwa msamaha wa Rais John Magufuli alioutoa katika sherehe za siku ya muungano April 26, 2018.

February 26, 2018 Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya iliwatia hatiani Sugu na Masonga na kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli katika mkutano wa hadhara uliofanyika Disemba 30, 2017
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images