Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mbunge wa Arumeru Mshariki , Joshua Nassari aumbuka bungeni

$
0
0
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joshua Nassari, juzi alijikuta akiumbuka bungeni baada ya kushindwa kutaja kanuni aliyoitumia, kuomba mwongozo.    Hali hiyo ilitokea muda mfupi kabla ya wajumbe kupiga kura za kumchagua Mwenyekiti wa Bunge hilo.   Kuumbuka kwa mjumbe huyo ambaye pia ni Mbunge wa Arumeru Mshariki, kulitokana na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho,

Mgombea wa CHADEMA ajitetea....Apinga pingamizi la mgombea wa CUF chalinze,asema anajua kuandika Kiswahili na Kiingereza

$
0
0
  MAJIBU/MAELEZO YA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA BWANA FABIAN L.SKAUKI DHIDI YANGU MIMI MATAYO M.TORONGEY MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE KUPITIA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).    UTANGULIZI  Kwa mujibu wa ibara ya 67 (1) ya Katiba ya Jamhuri Muungano wa Tanzania (1977) inaeleza wazi kuwa ili mtu ateuliwe kuwa mgombea ubunge ni lazima awe na sifa zifuatazo;  (i)-Awe raia wa

Sitta awaonya WAPAYUKAJI....Asisitiza nidhabu Bungeni, wakaidi kukiona....Jaji Warioba kutinga bungeni Jumatatu

$
0
0
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.   Sitta ameanza kazi huku wajumbe wengi wakiwa na imani naye kuwa ataliendesha Bunge hilo lenye mchanganyiko wa watu kwa haki na kwa viwango na kasi;

Microsoft yawataka wateja wake waache kutumia Windows XP kutokana na ongezeko la Mashambulizi ya Virusi

$
0
0
KOMPYUTA zinazotumia windows XP hazitoweza kupokea taarifa muhimu na kuongezeka mashambulizi ya virusi vya spyware vinavyoharibu taarifa binafsi na takwimu za kibiashara baada ya mwezi mmoja. Hayo yamebainishwa  jana  na Mkurugenzi wa Microsoft kwa kanda za Afrika Mashariki, Magharibi, Rotimi Olimide.   Alisema kuwa utafiti mpya wa Microsoft umeonyesha kuwa Window XP hushambuliwa kirahisi

"Kuwa Miss Tanzania si lazima uwe Mcharuko"...Hapiness

$
0
0
  Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili. Akizungumza na  gazeti la Ijumaa, Happy alisema kuwa anaamini siyo kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa mcharuko, bali inategemea na uelewa wa mtu na mtu.   “Mimi

Filamu ya maisha ya Nuhu na gharika 'Noah' yapigwa marufuku nchi za kiarabu

$
0
0
Filamu ya Hollywood iliyochukua bajeti kubwa sana ikiwa na jina la ‘Noah’ ambayo imeigizwa na Russell Crowe kama Nuhu imepigwa marufuku kuoneshwa katika nchi wanachama wa Umoja wa nchi/Falme za Kiarabu (United Arab Emirates).   Filamu hiyo imepigwa marufuku kwa madai kuwa kwanza inazua mtazamo tofauti kutokana na utofauti uliopo kati ya Biblia na Quran kuhusu simulizi la Nuhu na gharika

Zoezi la kuapishwa wabunge wa bunge maalumu la katiba laendelea vyema mjini Dodoma

$
0
0
Mhe. Mchungaji Christopher Mtikila, akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya mjini Dodoma leo katika zoezi linaloendelea vyema . Mhe. Emmanueli Makaidi akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya  Mhe Tundu Lisu akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya Mhe Mkosamali  akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya. (

Mbunge wa CHADEMA akamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Iringa akituhumiwa kugawa fedha kwa wapiga kura Kalenga

$
0
0
   Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi Mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Manyara kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh.Rose Kamili amekamatwa jioni ya leo kwenye kijiji cha Kitayawa kata ya Luhota, Iringa Vijijini kwa tuhuma za kugawa Fedha kwa wanakijiji hao, akijua fika Wananchi hao wanatarajiwa kupiga kura kwa

"Kama ni msh**enzi ndo wangu, tahira wangu, hafai ndo tayari wangu"...Hii ni kauli ya Wema Sepetu kuhusu Diamond baada ya kumfuma akiwa na Victoria Kimani

$
0
0
Kupitia You heard ya XXL Clouds FM March 14 2014 zilitoka stori kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio.   Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa na Victoria Kimani studio, msichana ambae amewahi kutajwa kuwa mapenzini nae. Baada  ya  Stori  hizo, Jana Wema Abraham Sepetu alipost picha ( hiyo  hapo juu )  kwenye Instagram ikimuonesha Diamond akiwa

Zoezi la Upigaji Kura Jimbo la KALENGA Laendelea Vizuri.....

$
0
0
Wananchi  wa Nzihi  wakiwa katika  foleni wakisubiri kupiga  kura Wananchi  wa Nyamihuu wakisubiri kupiga  kura  leo Mwananchi  wa Nyamihuu akisubiri kuingia  kupiga kura Wananchi  wa Nyamihuu wakiwa wamepakizana katika  boda boda  kwenda  kupiga kura Wananchi  wa Kidamali  wakiwa katika foleni ya kwenda  kupiga  kura

Wajumbe wa bunge maalumu la katiba wahitimisha zoezi la kuapa kwa muda uliopangwa

$
0
0
Mwenyekiti wa Bunge maalum, Mhe.Samwel Sitt akiahirisha bunge hadi Jumatatu mara baada ya zoezi la kuwaapisha wabunge. Wajumbe ambao hawajaapishwa ni wale waliopo nje ya mkoa wa Dodoma kwa udhuru, na wataapishwa wiki ijayo.  Wajumbe wa Bunge maalum Mhe,Anne Kilango Malecela (shoto) akijadiliana jambo na Mhe.Beatrice Shelukindo wakati wa zoezi la kuapisha wabunge.  Waheshimiwa,

Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIKI) wafutiwa mashitaka

$
0
0
Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIKI) wamefutiwa mashitaka na mahakama ya wilaya ya Mwanakwerekwe dhidi ya kesi ya kufanya mkusanyiko bila ya kibali iliofunguliwa Mei mwaka jana visiwani Zanzibar. Uamuzi huo umetolewa na Hakim Ame Msaraka Pinja baada ya kukamilika kusikilizwa kesi hiyo na washitakiwa kuonekana hawana hatia katika mashitaka yaliokuwa

Rais Kikwete akutana na mjumbe maalumu wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Maite Nkoana-Mashabane leo Ikulu jijini Dar

$
0
0
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mjumbe Maalum wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Maite Nkoana-Mashabane, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nvhi hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mjumbe Maalum wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Maite Nkoana-Mashabane, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam leo. (PICHA NA

Ukweli MCHUNGU: Wapinzani hawana sifa ya kuongoza nchi ( A Comparative Analysis ) .....Paul Makonda

$
0
0
SIASA ama chama chochote cha siasa ni zao la falsafa. Kuwa Mwanasiasa bila kuwa na falsafa ama kuwa na Chama cha Siasa ambacho hakina msingi wa falsafa ni kasoro kubwa ambayo hufanya mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutofanikiwa katika lengo lake kuu.   Kukosa falsafa kunasababisha Mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutokuwa na dira ya kuifuata na matokeo yake ni kufanya siasa inayoegemea

Nyumba za Jeshi la Polisi Mkoani Tanga zateketea kwa Moto.....

$
0
0
  Nyumba za Askari wa jeshi la polisi zilizopo eneo la Chumbageni nyuma ya kituo cha polisi kikuu cha Chumbageni jijini Tanga zikiungua moto. Hahdi sasa chanzo cha moto huo pamoja na athari zake havijajulikana Askari wa kikosi cha Zimamoto wakiwa kazini Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh.Halima Dendegu akiwasili katika eneo la tukio Mh.Halima Dendegu akishuhudia ajali ya

Rais Kikwete kulihutubia bunge maalum la Katiba tarehe 21 March 2014.....

$
0
0
Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maalum na umma kwa ujumla kuwa Mkutano wa Bunge Maalum utaendelea mjini Dododma kesho kwa ratiba ifuatayo:   Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na  kiapo kwa Wajumbe wa Bunge Maalum ambao bado hawajaapishwa. Hivyo Wajumbe wote ambao hawajaapa  kiapo cha ujumbe wa Bunge Maalum wanatangaziwa kufika Idara ya Shughuli

Taarifa ya TAMISEMI: Maagizo ya Ajira Mpya na majina ya walimu wapya kwa shule za msingi, Sekondari na Vyuo

$
0
0
AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14.  A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:- i. Walimu wa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928  ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416  iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari

Matokeo ya Awali kutoka vituo mbalimbali vya Uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Kalenga....

$
0
0
Ipamba no2.  CCM 104, Chadema 10,CHAUSTA 0 TOSA no.1  CCM 98 ,Chadema 20, CHAUSTA 0 Isakulilo  CCM 83,Chadema 8,CHAUSTA 0 Kilindi A  CCM 69 ,Chadema 23, CHAUSTA 0 Ofisi ya Kijiji(Kilindi)  CCM 117, Chadema 53, CHAUSTA0 Zahanati   CCM 117,Chadema 67, CHAUSTA 1 Ifunda Kivalali A  CCM 99 Chadema 19 CHAUSTA 0 Kivalali B  CCM 109 Chadema 14, CHAUSTA 1 Muwimbi  CCM164, Chadema

Matokeo Rasmi ya Uchaguzi katika Jimbo la Kalenga Yametangazwa....CCM imepata kura 22,962 ( Elfu Ishiri na mbili ) , CHADEMA imepata 5,853 ( Elfu tano )

$
0
0
Matokeo ya Uchaguzi Mdogo jimbo la Kalenga Iringa vijijini yametangazwa rasmi  na Tume ya Taifa ya Uchaguzi mjini Iringa,kuwa chama cha CCM kimepata jumla ya kura 22962,na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),kimepada idadi ya jumla kura 5853 na chama cha CHAUSTA kimepata kura 150. Hivyo chama cha CCM kimeshinda kwa asilimia 79.4,CHADEMA asilimia 20.1 na CHAUSTA asilimia 0.5.Matokeo

Mbunge wa CHADEMA amwaga MACHOZI akidai kudhalilishwa na wafuasi wa CCM.....Adai walimpanua Miguu na kumkanyaga sehemu za Siri

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.    Mbunge huyo kwa sasa amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Iringa akitibiwa majeraha yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwa sasa wanasubiri taarifa ya
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images