MKURUGENZI
wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa
Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake
11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika mtaa wa Indira Gandh,
yaliyotokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16.
Mbali
na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed
maarufu kama Kisoki, Raza Ladha,
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala na wenzake 11 wanaohusika na jengo la ghorofa 16 lililoanguka na kuua watu jijini Dar wafutiwa mashitaka ya kuua kwa bahati mbaya na kushitakiwa kwa kuua kwa makusudi
↧
↧
"Atakaye Nioa Atafaidi MAPISHI yangu"...Maya
Msanii mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa
bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi
wa kupika.
Maya alifunguka hayo juzikati wakati mwandishi wetu alipombananisha
juu ya uwezo wake kwenye ‘sekta’ ya mahanjumati ndipo alipofunguka kuwa
yeye ni hodari katika eneo hilo.
“Wee… mi noma katika mapishi, siwezi kuachika kwa sababu ya
↧
CCM yahoji uwepo wa Helikopta ya CHADEMA siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimehoji matumizi ya helikopta ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga, Jumapili ijayo.
Mratibu wa Kampeni za CCM katika jimbo hilo, Miraji Mtaturo, aliitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kutoa msimamo kuhusu tangazo la Chadema kuwa watatumia helikopta siku ya kupiga kura.
“Mwenyekiti, wenzetu
↧
Picha KALI za muonekano wa msanii Rose Ndauka miezi kadhaa baada ya Kujifungua
↧
Mh. Samia Suluhu arudisha fomu ya kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa bunge maalumu la Katiba mjini Dodoma leo
Kina
Mama wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimsindikiza Mjumbe wa Bunge
Hilo na Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba
Bi. Samia Suluhu Hassan(Aliyenyanyua fomu)kurudisha fomu kwa Katibu wa
Bunge Mapema Leo asubuhi Mjini Dodoma.
Katibu
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Thomas Kashilila akitoa
maelekezo kwa wapambe wa mgombea Nafasi ya Makamu
↧
↧
IKULU Yamtaka Askofu Kakobe aache Porojo.....Yadai kuwa ofisi ya Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu haifanyi kazi za porojo kama sehemu ya kuendesha utawala wake
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu imesema haina muda wa kujibu porojo zilizotolewa na Askofu wa kanisa la Full Gospel Fellowship, Zachary Kakobe kwani ina kazi kubwa ya kuwatumikia watanzania....
Imesisitiza kuwa ofisi ya Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu haifanyi kazi za porojo kama sehemu ya kuendesha utawala wake, badala yake iko makini kutatua
↧
Wema Sepetu akesha ukiomba na yeye apate mtoto....
Kilio kikubwa cha Wema Isaac Sepetu ni kupata mtoto, Habari
zilieleza kuwa Wema amekuwa na kiu ya mtoto kwa muda mrefu na kwamba
alishakuwa na wanaume tofauti lakini hawakumpatia mtoto.
Ilisemekana kwamba katika msururu wa wanaume aliominyanao kimalavu,
iliwahi kuripotiwa kuwa ni mwanaume mmoja tu aliyefanikiwa kumpa
ujauzito lakini kwa bahati mbaya mimba ilichoropoka.
Mwanaume
↧
Taarifa ya PINGAMIZI dhidi ya mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo jimbo la CHALINZE
Mimi FABIAN L. SKAUKI, mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo jimbo la
CHALINZE kwa Ticket ya THE CIVIC UNITED FRONT (CUF) ninamwekea Pingamizi
mgombea wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba amepoteza
sifa za kuwa mgombea kwa sababu zifuatazo.
Ndugu MATHAYO. M. TORONGEY amejaza Taarifa za uongo kwenye Fomu yake kwamba kazi anayoifanya ni BIASHARA. Sio kweli, kwa sababu
↧
Taarifa za Mtumbwi uliozama Mtwara leo na kuua akina mama watatu.....
Taarifa kutoka Mtwara ambazo zimethibitishwa na jeshi la Polisi zinaarifu kuhusu Mtumbwi ambao umezama wakati ukivuka kutoka kitongoji cha Ng’wale
kwenda ng’ambo ya pili ambapo ndiyo sehemu waliyokuwa wanashukia abiria
waliokuwepo.
Tayari watu 21 wamefikishwa katika hospital ya mkoa wa Mtwara kwa
matibabu ambao wote ni wakina mama pamoja na mtoto mmoja wa kiume wa
mwaka 1 huku
↧
↧
Picha: Juhudi zinazofanywa ili kumaliza tatizo la maji jijini Dar
Mafundi
wakiendelea kulaza mabomba yatakayotumika kusafirishia maji kutoka
Mitambo ya Maji ya Ruvu Chini mpaka kwenye Tanki la kuhifadhia maji
lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa mafundi
hao wameshasambaza mabomba kwa umbali wa kilomita takribani 29 kati ya
kilomita 55. Kazi hii inatarajiwa kukamilika mwezi Juni, mwaka huu.
Timu ya mafundi ya ukarabati
↧
Rais Kikwete apokea ripoti ya mgawanyiko wa watu kwa Umri na Jinsi leo Ikulu jijini Dar
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Kamishna wa Sensa Hajjat
Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za
sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014 Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho
(kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina
Chuwa baada
↧
Ridhiwani Kikwete arudisha fomu za Ubunge Chalinze.
MGOMBEA
Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,
Ridhiwani Kikwete leo amerudisha fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la
Chalinze kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi, akisindikizwa na washindani wake katika kura za maoni, Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhan Maneno pamoja na Imani Madega.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,
↧
Mhe.Samia Suluhu Hassan achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge maalumu la Katiba baada ya kumshinda mpinzani wake Amina Abdalla Amour
Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.
Hii
inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe
Hassan alichaguliwa kwa kura 390 sawa na asilimia 74.6 na kumshinda
mpinzani wake Amina Abdalla Amour. Kura 7 ziliharibika - kama jana.
Katibu
wa Bunge hilo Maalum
ataapishwa na Rais
↧
↧
Mh.Yahya Khamis Hamad ateuliwa kuwa katibu wa Bunge maalumu la Katiba....Dkt. Thomas Didimu Kashililah ateuliwa kuwa naibu wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete asubuhi ya kesho, Ijumaa, Machi 14, atamwapisha Katibu wa Baraza la Wawakilishi Bwana Yahya Khamis Hamad kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba.
Aidha, katika sherehe fupi itakayofanyika Ikulu Ndogo, Dodoma, Rais Kikwete atamwapisha Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Thomas Didimu Kashililah kuwa
↧
Jeshi la Polisi labuni mkakati mpya utakao komesha AJALI nchini
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi-Dodoma
Jeshi
la Polisi nchini limebuni mikakati itakayosaidia kukomesha ajali za
barabarani kwa kuvishirikisha vikosikazi vya Polisi Jamii
vilivyotawanywa katika kila kata na tarafa nchini kote.
Mikakati
hiyo imetangazwa na Kamishna wa Polisi Jamii CP Mussa Ali Mussa, wakati
wa mafunzo ya maadili awamu ya pili yanayotolewa kwa Askari Polisi
↧
Helikopta ya CHADEMA yapigwa marufuku siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga mkoani Iringa.....
Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumizi ya
helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo
ni sawa na kupiga kampeni.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ramadhani Mungi
alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama tangu
kampeni zilipoanza hadi sasa kwa vyombo vya habari.
Mungi alisema
↧
Picha ya Rais Kikwete na viongozi wa bunge la katiba baada ya kuwaapisha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea kwa furaha na Waziri Mkuu Mhe.
Mizengo Pinda, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
pamoja na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe John Sitta, Makamu
Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samia Suluhu Hassan, Katibu wake Mhe.
yahaya Khamis Hamad na Naibu Katibu Dkt Thomas Kashilia na Mawaziri Mhe
John Lukuwi na Mhe. Aboud, baada ya zoezi
↧
↧
"Sichagui dini wala Kabila, Ninachoangalia ni Penzi la dhati la huyo mwanaume anayenitaka"...Iene Paul
Msanii maarufu Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa
kwenye suala la uhusiano, hana kipingamizi sana kwani anachoangalia ni
mtu anayempenda haijalishi dini wala kabila.
Akizungumza na Gpl jijini Dar, Irene alisema
licha ya kuwa bado hajamuanika mpenzi wake lakini suala la dini, kabila
kwake siyo ishu ya msingi zaidi anaangalia mapenzi ya dhati.
“Naangalia tu, mtu
↧
"Nikipigwa MIMBA sitaitoa tena, Lazima nizae tu"...Lulu Michael
STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kama
siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena,
atazaa tu. Katika mahojiano maalum na gazeti la Ijumaa, Lulu alisema
kwa sasa yuko tayari kuolewa ili awe na familia yake ila si kwa sharti
la mwanaume husika kumwambia amzalie kisha ndiyo amuoe.
Ijumaa: Kwani kwa sasa si una mpenzi?
Lulu: Ndiyo ila
↧
Sakata la Wema Sepetu kufanya fujo studio baada ya kuwakuta Diamond na Victoria Kimani wakiwa pamoja.....
U heard ya XXL Clouds FM alizipata stori
kutoka kwa shuhuda kwamba juzi March 13 2014 kulitokea ugomvi studio
baada ya Ommy Dimpoz kupost picha akiwa studio na Diamond na mwimbaji
Mkenya Victoria Kimani ambae amewahi kuingia kwenye kashifa kwamba ana
uhusiano wa kimapenzi na Diamond.
Shuhuda anasema tatizo lilikuja baada ya video hiyo kusambaa na kumbe
Diamond hakumuaga mpenzi wake
↧
More Pages to Explore .....