VIONGOZI wa Chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT), juzi walijikuta wakizomewa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Mbugani, Jimbo la Nyamagani, jijini Mwanza.
Mbali ya kujikuta katika wakati mgumu wa kuzomewa, baada ya mkutano huo kumalizika, viongozi hao waliondolewa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mkutano huo ulilenga
Viongozi wa Chama cha ACT-Tanzania WAZOMEWA jukwaani baada ya kuifananisha CHADEMA na Nguruwe pori....
↧
↧
Sumaye akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye
amekata rufaa Kamati Kuu ya CCM kupinga adhabu ya onyo kali aliyopewa na
chama kutokana na madai ya kuanza kampeni za urais mapema kwa ajili ya
Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza na Mwananchi mjini Dodoma jana,
Sumaye alisema kwa ufupi hakuridhishwa na adhabu hiyo na kuthibitisha
hilo, tayari amekata rufaa.
Hata hivyo, alisema hadi jana hakuwa
↧
Polisi wanne wafukuzwa kazi kwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu.......
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewafukuza kazi kwa fedheha askari wanne wa Jeshi la Polisi kutokana na makosa ya kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Askari waliofukuzwa wanatoka katika vikosi mbalimbali kama ifuatavyo:
. E.6396 CPL RAJABU MKWENDA @ UGORO wa Makao Makuu ya Polisi.
· F.9412 PC SIMON wa Kituo cha Polisi Kati.
· F.9414 PC ALBERNUS KOOSA wa
↧
Bunge maalumu la katiba lasitishwa kwa muda kutokana na vurugu zilizotokea bungeni....Nini Chanzo cha vurugu hizo??..BOFYA hapa
Jumatatu ya leo, Machi 17, 2014 Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mhe.
Sammuel Sitta amelazimika kukiahirisha kikao kilichokuwa kinaendelea
jioni baada ya kutokea kutoelewana bainaa ya wajumbe na wabunge wa bunge
la katiba.
Vurugu zilitokea pale Mhe. Sitta alipomruhusu Jaji Joseph Sinde Warioba
(Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba), awasilishe Rasimu ya
Katiba hiyo Bungeni.
↧
Taarifa Muhimu kuhusu kuendelea kwa kikao cha bunge maalumu la katiba kesho Jumanne tarehe 18 March 2014 baada ya kusitishwa kutokana na Vurugu za Wajumbe
Baada ya kutokea vurugugu zilizosababishwa na baadhi ya wajumbe wa Bunge
Maalum na kupelekea Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Jaji
Joseph Warioba kutokuwasilisha rasimu ya pili ya Katiba kwa wajumbe hao,
Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta aliitisha kikao cha
maridhiano na baadhi ya wajumbe wanaowakilisha makundi mbalimbali
yaliyopo katika Bunge hilo ili kupata
↧
↧
Serikali yatakiwa kukataa kuruhusu USHOGA nchini.....
Serikali
imeombwa kufuata nyayo za serikali ya Uganda chini ya Rais Yoweri
Museveni kwa kuktaa kuruhusu ushoga licha ya kuziudhi nchi za magharibi
zinazokingia kifua vitendo hivyo.
Ombi hilo limetolewa na Imamu wa Msikiti wa Mwembechai, Sheikh Mohammed
Muhenga, alipokuwa akiwahutubia waumini kabla ya swala ya Ijumaa
iliyoswaliwa msikiti hapo, jijini Dar es Salaam.
Imamu Muhenga
↧
Yatokanayo na uchaguzi wa Kalenga, Madai ya CHADEMA kuibiwa kura na Matarajio yao katika uchaguzi wa CHALINZE.....
Akiwa ameambatana na mkewe, Robby Mgimwa, Jumatatu ya Machi 17, 2014 Godfrey Mgimwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alitangazwa mshindi wa ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga baada ya kuvibwaga kwa kura za kishindo vyama vingine viwili vilivyoshiriki uchaguzi huo.
Katika uchaguzi huo uliofanyika Jumapili ya Machi 16, mwaka huu, Mgimwa alizoa kura 22, 962 ambazo ni sawa na asilimia
↧
Mahakama leo kutoa uamuzi wa pingamizi la DPP dhidi ya Sheikh Ponda
Mahakama
Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa uamuzi wa
pingamizi la awali la Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) la kupinga maombi
ya kufanya marejeo kuhusu kuliondoa shitaka la kukaidi amri halali
iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Katibu wa
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda.
DPP aliwasilisha pingamizi la awali dhidi
↧
Usafi wa Kigali nchini Rwanda wamshawishi Rose Ndauka kuanzisha kampeni ya usafi jijini Dar
Msanii wa filamu Rose Ndauka ambaye ni balozi wa usafi wa kampeni ya
‘Amka na Badilika Ng’arisha Tanzania’ amesema alijisikia wivu baada ya
kuona usafi wa jiji la Kigali nchini Rwanda hali ambayo imemfanya
aanzishe kampeni yake ya usafi nchini.
Akizungumza nasi, Rose amesema baada ya kutembelea jiji la
Rwanda nakuona hali yake,aliamua aanzishe kampeni itakayoihamasisha
jamii juu ya
↧
↧
Ombi la Sheikh Ponda latupiliwa mbali na Mahakama....Arudishwa Segerea akiwa chini ya ulinzi mkali
Ombi la
marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
Tanzania, Sheikh Issa Ponda limetupiliwa mbali na Mahakama Kuu Kanda ya
Dar es Salaam leo ilipotoa
uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mkurugenzi wa
Mashitaka (DPP), akidai kuwa ombi hilo halikuwa na msingi kisheria.
Kesi hiyo iliyosikilizwa kwa saa 1 na dakika 40 ilitolewa uamuzi na Jaji
↧
Hotuba ya mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba , Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba akiwasilisha Rasimu ya Katiba bungeni leo
Iliyowekwa hapo chini ni hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya
Katiba, Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba alipowasilisha Rasimu ya Katiba
Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge Maalumu la Katiba,
leo Jumanne, Machi 18, 2014.
<< BOFYA HAPA KUISOMA >>
Bofya hapo juu Kuiosoma au Kuidownload
↧
Habari kuhusu hili kanisa jipya lililofunguliwa Kigoma linalokataza watoto kwenda shule na watu kwenda hospitali kutibiwa
Licha
ya serikali kulipiga marufuku dhehebu lililoibuka katika kijiji cha
Rumashi wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma liitwalo Sabato matengenezo,
mwanzilishi wa dhehebu hilo amejitokeza na kusisitiza kuendelea na imani
hiyo.
Baada
ya kupata taarifa za kuwepo kwa dhehebu hili ambalo linakataza watoto
kwenda shule na wagonjwa kutibiwa hospitalini, Serikali ilimkamata
kiongozi wake
↧
Baraza la Sanaa na Idara ya Uhamiaji wazungumzia biashara ya ngono inayofanywa na wasanii wanaotoka nje ya nchi
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), limekiri kuwepo kwa baadhi ya
wasanii wa nje wanaokuja nchini kufanya kwa madai ya kufanya shughuli za
Sanaa lakini hutumia vibali vyao vibaya kwa kujihusisha na biashara ya
'ngono' katika kumbi mbalimbali za starehe zinazojulikana kwa jina la
'Mujra Club'.
Hali hiyo imebainika baada ya Idara ya uhamiaji kubaini kuwa kuna
baadhi ya maofisa wa
↧
↧
"Sina mpango wa kuolewa na mwanaume wa kibongo, lazima niolewe nje ya nchi"....Jackline Wolper
Star mkubwa wa filamu nchini Jacqueline Wolper
ameibuka na kudai kuwa, atafanya kila njia ili aolewe na mwanaume wa nje
ya nchi na siyo Wabongo ambao hawathamini mastaa.
Akizungumza
na Uwazi, Wolper alisema, amefikia uamuzi huo kwa sababu ana uchungu
moyoni unaotokana na dhana waliyonayo wanaume wa Kitanzania juu yao,
wakiamini kuwa ni wahuni tu hivyo kuwashusha thamani.
“
↧
Snura Majanga anaswa kwa Sangoma ( Mganga wa Jadi ) akiwa amebebeshwa vibuyu ......
↧
Shilole afungua mgahawa, unaitwa "CHUNA BUZI"
Star wa filamu na muziki nchini Shilole anatarajia kufungua mgahawa wake
wa chakula utakaoitwa "Chuna Buzi " ambao utakuwa maeneo ya
Mwananyamala....
Akizungumza kwenye 255 ya XXL, Clouds FM,Shilole amesema ameamua kufungua mgahawa kwakuwa ana taaluma ya Hotel Management na pia mama yake alikuwa mama Ntilie.
“Mgahawa wangu ambao natarajia kuufungua hivi karibuni utakuwa naeneo ya
↧
Huddah Monroe akana kutoka kimapenzi na Colonel Mustafa, adai alitafuta ‘kiki’ kupitia jina lake
Mwezi uliopita aliyekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye BBA, Huddah
Monroe na Colonel Mustafa walitangaza uhusiano wao wa kimapenzi kwenye
kipindi cha ‘Kiti Moto’cha KTN.
Hata hivyo, Huddah ameibuka na kusema interview hiyo ilikuwa
imepangwa. Kwenye interview hiyo, wawili hao walidai kuwa wanapendena na
wanaweza kufunga ndoa.
Hata hivyo kwenye mahojiano na mtandao wa
Ghafla, Huddah
↧
↧
Picha tatu za muonekano wa Wema Sepetu akiwa amenyoa UPARA, na akiwa bila Make-Up
↧
Madereva wa daladala mkoani Morogoro wagoma kuingia barabarani....Chanzo cha mgomo ni kukamatwa hovyo na matrafiki
Madereva wa
daladala Manispaa ya Morogoro wamegoma asubuhi hii wakidai kukamatwa
hovyo na matrafiki na hakuna daladala linalofanya safari yoyote katika
manispaa hiyo.
Madereva
hao wanadai wameamua kugoma kutokana na kamatakamata ya askari wa
usalama barabarani, ambapo wamesema daladala moja kwa siku linaweza
kukamatwa hadi mara nne na wakihoji wanaambiwa ni makosa tofauti.
↧
Habari kuhusu watu wanne waliouawa na wananchi wenye hasira kali mkoani Mwanza wakituhumiwa kuiba Ng'ombe
WATU wanne wameuawa mkoani Mwanza kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe Katika eneo la Igwambiti kata ya Buhongwa Wilaya ya Nyamagana.
Akizungumza
na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Valentino
Mlowola amesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa
11 alfajiri ambapo wananchi walipata taarifa ya kuwepo kwa wizi wa
ng’ombe katika kitongoji cha Mtende.
↧
More Pages to Explore .....