Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Irene Amtupia Dongo Zito Wema Inadaiwa Kisa ni Diamond

$
0
0
Video vixen aliye jizolea umaarufu baada ya kuonekana kwenye video ya ‘Kwetu’ ya msanii Rayvanny Irene, amemtolea povu zito staa wa Bongo movie Wema Sepetu huku ikidaiwa kisa ni penzi la Diamond.

Tangu Zari aweke wazi kuwa kaachana na Diamond na kuwa single Kumekuwa na tetesi nyingi sana kwenye social media juu ya nani hasa anayechukua nafasi ya Zari na moja kati ya Wanawake waliotajwa kuwa na uhusiano na Diamond kwa sasa ni Irene na Wema.

Kuna stori ili trend sana kwenye mitandao ya kijamii siku za nyuma kidogo ambapo ilisemekana kuwa Irene na Wema wamepeana kichapo cha maana baada ya kugongana Madale nyumbani kwa Diamond.

Stori hiyo ilidai kuwa Diamond anatoka na Irene na Wema kwa wakati mmoja na wikiendi hii Irene kamtupia dongo Wema ambapo amemcheka kuwa anajiita African beauty wakati hata kiwanja hana!.

African beauty ni wimbo mpya wa Diamond na siku wimbo huo ulipotoka wasanii mbali mbali wa WCB akiwemo Harmonize alimtunuku Wema jina la African beauty jambo ambalo lilimfanya Wema ajitambe kuwa ni African beauty.

Fununu za Irene kuwa na Mahusiano na Diamond zilianza siku nyingi sana wakati bado Diamond yuko na Zari ingawa Diamond alikuwa anakataa kuwa hana Mahusiano naye.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Okoa Ndoa Yako, Biashara Yako, Kazi Yak,o Mpenzi Wako..... Onana Na Dr Mfaume Mzee Mwenye Uwezo Wa Kukutatulia Magonjwa Na Matatizo

$
0
0
Je unaupungufu wa nguvu za kiume au maumbile madogo ya kiume?

 SHAFTI POWER; ni dawa itokanayo na mizizi na magamba ya mitishamba. Hutibu matatizo matatu kwa pamoja
 1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni kabla ya mpenzi au mke wako
3 kulegea kwa misuli na uume kusinyaa na mda mwingi uume kuanguka ukiwa bado unaendelea na tendo, DAWA HII ITAKUPA UWEZO WA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU NA UTACHELEWA KUFIKA KILELENI

MWIMALA MIX NO 2 ;ni dawa ambayo hurefusha uume saiz upendayo ...inch 5 , 6,7,8 na unene sm 1-5 .Dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hadhina madhara yoyote

NINI KINACHOCHANGIA KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO?
 1 kufanyia tohara ukiwa na umri mkubwa
3 msongo wa mawazo 
4 ngiri na korodani kuvimba 
5 vidonda vya tumbo 
6 maumivu ya mgongo na kiuno 
7 mfumo wa mahisha 
8 presha, kisukali na magonjwa ya moyo 

TUNATO TIBA YA KISUKALI,KORODANI KUVIMBA VIDONDA VYA TUMBO UZAZI KWA WANAWAKE NA WAUME .Tunarudisha Mali iliyoibiwa, kudhibiti jini chuma ulete kwa wanaopata pesa na ujui ziendako.
 
KWA SHIDA NA MAGONJWA WASILIANA NAMI .Ofisi ipo mbagara Zakhemu .Kwa wateja wa mikoani mtatumiwa huduma utakayo pia tunatibu kwa njia ya simu au piga simu no 0789234653 .WOTE MNAKARIBISHWA

VIDEO: Serikali Yatoa Sababuza Kuzuia Maandamano

$
0
0
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuwa wanazuia kuwepo kwa maandamano ili kutoruhusu watu wachache wanaotamani Tanzania wavurugane  na kuharibu taswira ya nchi.

Akizungumza jana katika harambee iliyoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Masaka dayosisi ya Pare, wilayani Same, alisema kuwa katika maandamano hayo wapo watu watakaofanya vitendo vya uhalifu ikiwemo wizi na hata kufyatua risasi ili ionekane kwamba nchi inaua watu.

‘’Wapo wanaotamani tuvurugane na tunapowaeleza wananchi wanaweza kujiuliza kwanini tunazuia maandamano wakati wapo watu wanaofanya mazoezi na ni kwa sababu hatutaki kuruhusu watu watuvuruge.

“Tunaangalia sura ambayo adui anaweza kupitia, wasione majira haya ni ya kawaida kuna mahali tumegusa hivyo hawafurahi na ndio sababu haya mambo yanatokea hivyo tunaomba msichukulie kuwa ni vitu vyepesi vyepesi bali mpanue mitazamo yenu mnapoona masuala haya yanapojitokeza.”’alisema Dk Mwigulu.

==>Msikilize hapa akifafanua zaidi
A post shared by MPEKUZI (@official_mpekuzi_blog) on

CUF watoa maazimio manne Mazito....Tamko Lao Liko Hapa

$
0
0
MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAWAIDA CHA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) KILICHOFANYIKA TAREHE 25 MACHI, 2018-DAR ES SALAAM:

1. Kamati ya Utendaji ya Taifa ilikutana Tarehe 25 Machi katika Ukumbi wa Ofisi ya Wabunge wa CUF uliopo Magomeni, Dar es Salaam chini ya Uenyekiti wa Katibu Mkuu.

2.     Kikao kilijadili ajenda kadhaa, zikiwemo:
a)    Hujuma zinazopangwa na Profesa Ibrahim H. Lipumba na genge lake dhidi ya CUF.
b)    Maandalizi ya Uchaguzi wa Chama ndani ya Chama.
c) Taarifa ya Maendeleo ya kesi za CUF zilizoko Mahakamani.
d)    Hali ya kisiasa nchini.

Maamuzi ya Kamati ya Utendaji ya Taifa yalikuwa kama ifuatayo:-
  1.Kuhusu HUJUMA zinazopangwa na kutekelezwa na Lipumba na genge lake wakishirikiana na Msajili wa Vyama vya Sasa nchini:-

Kamati ya Utendaji ya Taifa ilipokea taarifa za kina za hujuma dhidi ya CUF na kuazimia ifuatayo:-
(i) Chama kiendelee kufuatilia hujuma hizo kwa lengo la kudhibiti.
(ii) Imewaagiza viongozi na wanachama wa ngapi zote kuwa makini na kufuatilia hila zote za kukihujumu Chama na kuwafichua wale wote watakaogundulikana kuwa na nia ya kukihujumu Chama.
(iii) Wanachama wasikubali kuchokozeka, lakini hapo hapo kuwadhibiti wale wote ambao wamekusudia na kufanya njama za kukivuruga Chama.
(iv)Wanachama waimarishe umoja,  mashirikiano na mshikamano, wakitambua kuwa umoja ni silaha mujarabu ya kuwashida maadui wa Chama.
(v)Wanachama wanatakiwa kumpuuza Lipumba, genge lake na propaganda zao za kijinga.
(vi)Wanachama wanatakiwa kuwatenga na kutowapa mashirikiano mtu yeyote atakayebainika ni muasi wa Chama anayemuunga mkono Lipumba na genge lake.

2. Kuhusu Maandalizi ya Uchaguzi ndani ya Chama, Kamati ya Utendaji ya      

   Taifa, imeamua ifuatavyo:
(i) Wanachama wanatanabahishwa kuwa Baraza Kuu Halali  la Uongozi la Taifa la CUF lililochaguliwa June, 2014 bado halijakaa na kutoa maagizo ya Maandalizi ya Uchaguzi wa Chama ndani ya Chama. Wala Baraza Kuu halijatoa agizo lolote kwa Kamati ya Utendaji ya Taifa kuanza jambo lolote linalohusu Maandalizi hayo.

(ii)  Viongozi wa CUF katika ngapi za Wilaya,  Majimbo, Kata na Matawi  pamoja na Wanachama wote kwa jumla wanatakiwa  kupuuza yote yaliyotangazwa na Lipumba juu ya Maandalizi ya Uchaguzi wa Chama ndani ya Chama.

  (iii) Wanachama wanaombwa kuwa wastahamilivu juu ya hili, na wakati utapofika wa Kamati ya Utendaji Halali ya Chama Taifa kufanya maamuzi juu Maandalizi ya Uchaguzi wa Chama ndani ya Chama taarifa rasmi itatolewa kwa viongozi wa ngazi zote na wanachama wa kawaida.

3. Kuhusu Taarifa ya Maendeleo ya kesi za Chama, Kamati ya Utendaji ya Taifa;

(i)Inawapongeza kwa dhati mawakili wanaokiwakilisha Chama katika kesi hizo kwa kuzisimamia kwa dhati na kwa weledi wa hali ya juu na kuwaomba waendelee na moyo huo huo wa kuyatetea kwa nguvu zao zote masilahi ya Chama chetu.

(ii) Inawapongeza kwa dhati Kaimu Naibu Katibu Mkuu (B), Mhe. Joran Bashange, kwa kujiltolea kwa hali na Mali kufuatilia kesi za chama kwa karibu na kuwapa mashirikiano ya hali ya juu mawakili wetu.

(iii)Inawaomba wanachama na wapenzi wa Chama hasa wanaoishi Dar es Salaam na viunga vyake waendelee kujitokeza kwa wingi mahakamani kila siku ambayo kesi zetu zimepangwa kusikilizwa.

4. Kuhusu Hali ya kisiasa nchini, Kamati ya Utendaji ya Taifa baada yamjadala wa kina imeamua kuwa :
(i) Kuendelea kufuatilia kwa makini malalamiko ya baadhi ya wananchi juu ukiukwaji wa haki za binadamu na kisha kushauriana na wadau wote, ikiwemo Serikali , juu ya kubaini ukweli wa malalamiko hayo, kujua chanzo chake na kuweka mikakati ya kuikomesha hali hiyo.

(ii)Kuikumbusha Serikali kuwa jukumu lake la msingi ni kulinda usalama wa raia na Mali zao. Hivyo Jeshi la polisi na vyombo vyenginevyo vya ulinzi vijiimarishe kutimiza wajibu huo kwa weledi wa hali ya juu.

(iii)Kuwa kumbusha wananchi watimize wajibu wao wa kutetea haki na  kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kuwa na amani kwa kutofumbia macho vitendo vyote viovu vinavyoweza kuitikisa msingi madhubuti ya Taifa letu, ikiwemo Umoja na Mshikamano. Kila mwananchi kutendewa haki bila ya kujali kabila lake, dini yake, itikadi yake ya kisiasa na wala mahala alipozaliwa.

Mwisho:
Kamati ya Utendaji ya Taifa inatoa wito kwa Watanzania wote kuwa kitu kimoja katika kutetea maslahi mapana ya nchi yetu na watu wake, na kuendelea na utamaduni wetu wa kuhurumiana na kushirikiana katika wakati wa majaribu na wakati wa furaha.

AHSANTENI.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa na Kamati ya Utendaji ya Taifa;
SEIF SHAIRF HAMAD
KATIBU MKUU
26 Machi, 2018

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

MSD Waipongeza Serikali Baada ya Rais Magufuli Kuzindua Magari 181 Mapya

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa MSD Laurian Bwanakunu amesema baada ya kuongezewa bajeti yao kufikia bilioni 250 kwa sasa MSD wanasambaza dawa zenye thamani ya bilioni 18 na lengo ni kufikia bilioni 21 ikifika mwezi Julai.

Bwanakunu ameyasema hayo leo Jumatatu, Machi 26 katika hafla uzinduzi wa magari mapya 181 ya MSD kwa ajili ya kusambaza dawa na vifaa tiba.

Aidha amefafanua kwamba licha ya usambazaji huo wa dawa bado changamoto imekuwa katika makadirio ambapo kituo cha afya kinaweza kusema "wanahitaji makopo 20 ya panadol wakati mahitaji ni makopo 60, dawa zikiisha tunalaumiwa MSD."

Pamoja na hayo Mkurugenzi wake amepongeza na kushukuru kwa magari yaliyotolewa ambapo amkiri kwamba ni kiwango kikubwa kuwahi kupokelewa tangu kuanzishwa kwa MSD.

"Tangu MSD ianzishwe mwaka 1994 hatujawahi kupokea magari mengi kiasi hiki, gharama yake ni bilioni 20.7. Sasa tutakuwa na jumla ya magari ya kusambaza dawa na vifaa tiba 213, hii ni hatua kubwa sana katika kutanua wigo na uharaka wa kazi zetu," amesema Bwanakunu.

Rais Magufuli Awamwagia Sifa MSD......"Ninyi ni Wazalendo wa Kweli na Mnachapa Kazi"

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa pongezi kwa Bohari ya dawa Tanzania (MSD), baada ya kufanikisha ununuzi wa dawa kwa pamoja na moja kwa moja bila kutumia 'middle men'.

Pongezi hizo amezitoa leo jijini Dar es salaam wakati akizindua magari 181 ya Bohari ya dawa, ambayo yatakuwa yanasambaza madawa na vifaa tiba nchini na kurahisisha upatikanaji wa dawa na vifaa hivyo katika hospitali zote nchini.

''Nawapongeza sana MSD nyinyi mnatekeleza uzalendo vizuri, nasema kwa dhati mmeanza vizuri, mimi ni mgumu kupongeza kwahiyo kama nawapongeza mjue ukweli mnafanya kazi, nakumbuka Mkurugenzi wa MSD na Waziri wa Afya waliniomba fedha ili wawe wananunua dawa wenyewe bila 'Middle men' na wamefanikisha hilo'', amesema.

Aidha Rais Magufuli ametoa ruhusa kwa MSD kufungua maduka yao ya dawa sehemu mbalimbali nchini, lakini wasiyakabidhi kwa halmashauri bali wayasimamie wenyewe hata kama wataongeza wafanyakazi ni sawa tu.

Kwa upande mwingine Rais Magufuli amewalilia wafanyabiashara nchini kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba ili kuokoa kiasi cha zaidi ya bilioni 500 ambazo zinatumika kununua dawa nje ya nchi kila mwaka.

Rais Magufuli: Msikubali kuwa Vilaza, Atakayewakwamisha Nambieni Nimshughulikie

$
0
0
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwaambia viongozi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuwa wasikubali kuwa vilaza baada ya kugundua Mamlaka ya Chakula na Dawa, TFDA imekuwa kikwazo kwa Bohari Kuu ya Dawa (MSD).

Rais Magufuli amesema hayo leo Machi 26, 2018 wakati akizundua magari 181 ya Bohari Kuu ya Dawa (MSD) ambayo yanategemewa kuanza kusafirisha dawa mijini na vijinini

Akiwa kwenye uzinduzi huo Rais Magufuli alipokea malalamiko kuwa zipo baadhi ya taasisi za serikali zimekuwa zikichangia kukwamisha ucheleweshwaji wa dawa ambazo zinaletwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD).

"Nimesikia saa zingine kunakuwa na ucheleweshwaji kati ya taasisi fulani fulani ndani ya serikali taasisi ya vyakula TFDA, mnaleta madawa halafu mnashindwa kupata kibali bandarini, madawa yanacheleweshwa inawezekana 'expire date' yake inafika madawa bado yamezuiliwa pale bandarini.

" Mimi atakae zuia madawa haya niambieni ili nijue chombo gani cha serikali, niambieni tu huyo aliyezuia nione ili na mimi nimzuie yeye moja kwa moja,kuna mambo mengine ni rahisi sana wala msilalamike bali mwambie Waziri au Katibu Mkuu" alisema Rais Magufuli

Magufuli aliendelea kuweka wazi kuwa watu ambao wanakwamisha na kuchelewesha dawa kutoka ni watu ambao pia wanatoka katika wizara hiyo hiyo wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

"Hata aliyempa nguvu ya kuzuia dawa wapo chini ya wizara yenu yaani ni nyinyi wenyewe, basi nyinyi vilaza sasa mtu yupo chini yenu, yaani mtu anayezuia yupo kwako anayezuiliwa yupo kwako bado mnakaa mnaimba nini. 

"Mimi nataka haya niyashughulikie unajua mambo mengine mnakwamishana nyinyi wenyewe kama ni TRA mwambie Katibu Mkuu, mwambie Waziri wa Afya, mwambie Waziri wa Fedha tufike mahali tusikwamishane, kwa sababu anaweza akawa amekwamisha madawa yenu lakini madawa ya mtu binafsi anayaruhusu siku hiyo hiyo sasa hili ni lenu wala halihitaji kufika kwangu" alisisitiza Magufuli

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Maalim Seif asema Waraka wa Maaskofu KKKT Umemfariji

$
0
0
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amelipongeza Baraza la Maaskofu la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwa kutoa waraka mzito wa ujumbe wa Sikukuu ya Pasaka.

Waraka huo ulitolewa mwishoni wa wiki iliyopita ambao mbali na kuzungumzia masuala ya kiroho, umetaja changamoto tatu na kuzifikisha kwa waumini wake “ili ziongeze mzigo wa kuliombea taifa letu na viongozi wake.”

Changamoto zilizotajwa katika waraka huo uliopewa jina la “Taifa Letu Amani Yetu” na kusainiwa na maaskofu 27 wa kanisa hilo nchini ni hali ya kijamii na kiuchumi, maisha ya siasa na masuala mtambuka likiwamo suala la Katiba Mpya.

Akizungumza leo Machi 26, 2018 jijini Dar es salaam wakati akisoma maazimio manne ya Kamati ya Utendaji ya Taifa ya chama hicho iliyokutana leo, Maalim Seif amesema anafarijika kuona  viongozi wa dini  wanakemea mambo ambayo hayaendi sawa nchini.

"Nimefarijika kuona viongozi wa taasisi za dini wakizungumza pale ambao wanaona mambo hayaendi sawa. Tusitafsiri  kwamba wanafanya siasa, hapana ni haki yao kukemea, "amesema Maalim Seif.

Amesema angetamani kuona viongozi wengine wa dini  wakionyesha misimamo kama maaskofu hao.

Kauli ya Kwanza ya Abdul Nondo Baada ya Kuachiwa kwa Dhamana

$
0
0
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) Abdul Nondo kwa mra ya kwanza amefunguka na kuwashukuru watanzania baada ya kuachiwa kwa dhamana katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Mkoa wa Iringa leo Machi 26, 2018

Nondo ameweka wazi hayo baada ya kuachiwa huru na kusema kuwa sasa anaweza kuendelea na masomo yake pamoja na kesi hiyo ambayo itakuwa ikiendelea mkoani Iringa.

"Namshukuru sana wakili Jebra Kombole na wakili wangu mwingine wa Iringa mbali na hapo napenda kuwashukuru wadhamini wangu kwa sababu masharti ya dhamana yalikuwa yanahitaji wadhamini kutoka mkoa wa Iringa kwa hiyo nimepata wadhamini mkoa wa Iringa Mungu awabariki sana.

"Saizi nipo huru naweza kwenda kuendelea na chuo huku nikiendelea na kesi mkoa wa Iringa. 

"Pia nawashukuru Afisa Magereza kwenye eneo ambalo nilikuwa nikiishi katika kusubiria dhamana wamenitunza vizuri kwa upendo na ushirikiano mkubwa hivyo nawashukuru wazazi wangu na Watanzania Mungu awabariki sina zaidi ya zaidi ya hayo" alisema Nondo

Kesi ya Abdul Nondo itatajwa tena tarehe 10 mwezi wa nne mwaka huu mkoani Iringa ambapo wataanza kusikiliza hoja za awali, wakili wa Nondo amewataka watanzani kuwa na subira juu ya jambo hilo kwa kuwa tayari lipo mahakamani hivyo litafahamika.

UVCCM Waapa Kupambana na Yeyote Anayeichafua Nchi

$
0
0
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Taifa UVCCM, Kheri James amewataka vijana wa umoja huo kuwa tayari kulinda heshima ya nchi kwa gharama yeyote dhidi ya vibaraka ambao wanataka kuchafua taswira ya nchi kwa lengo la kuwanufaisha mabeberu.

Kheri ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na vijana wa umoja huo mjini Dodoma na kusema lengo la kufanya hivyo ni kutokana na kuwepo na matumaini makubwa ya kiuchumi yaliyorejeshwa na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli hivyo hawapo tayari kuona kikundi cha watu wachache wanaotaka kuwarudisha nyuma kimaendeleo.

"Kuanzia sasa endapo akiibuka mtu mwenye ujasiri wa kutukana, vijana hawatotukana bali watafanya litakaloonekana linafaa kwa maslahi ya taifa kwani wapo wanaojipambanua wazi kusifu viongozi wa ulimwengu mzima lakini kamwe hawawezi kuwapongeza na kuwasifu kwa chochote viongozi wa nchi", amesema Kheri James.

Naye Kaimu Katibu UVCCM, Shaka Hamdu Shaka amesema serikali imeona uwepo wa vijana makao makuu na kuthamani uwepo wao kutokana na kuendesha mambo kisasa zaidi.

Kwa upande wake mbunge wa viti maalum vijana, Mariam Mzuzuri amesema maamuzi na tamko la mwenyekiti wa uvccm taifa watalifanyia kazi ili vijana waweze kutambua fursa walizonazo hususania mkoani Dodoma ambako hivi sasa ni makao makuu ya nchi.

Kiongozi wa mtandao wa kuiba fedha kwenye mabenki duniani atiwa mbaroni

$
0
0
Kiongozi wa kuiba kwa kutumia mtandao duniani amekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Hispania kwa kutuhumiwa kuiba Paundi milioni 870 ambayo ni sawa na Shilingi trilioni 2.49.

Mtu huyo anasemekana kuwa kiongozi wa kundi kubwa la wezi hao wa mtandao duniani ambao walikuwa wanaendesha kampeni za software za Carbanak na Colbat ambazo zilikuwa zinaibia mabenki.

Mamlaka zinaeleza kuwa kundi hilo lilianza mwaka 2013 na liliibia benki takribani 100 kwa wakati huo. 

Pesa hizo ziliibwa kwa kupitia njia za benki za kuhamisha fedha ambazo zinatolewa moja kwa moja kwenye mashine za kutolea fedha (ATM).

Taarifa Kuhusu Ufafanuzi Juu Ya Raia Wa Tanzania Wanaoishi Nchini Oman

$
0
0
Kuna kipande cha video kinasambaa mitandaoni kikiwa na maelezo kuwa raia wa Tanzania wanaoishi nchini Oman wamekusanyika ofisi ya Ubalozi kushinikiza kurejeshwa nyumbani kutokana na mateso na adhabu kali wanazopata kutoka kwa mabosi wao.

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, baada ya kutazama kipande hicho cha video iliwasiliana na Ubalozi wa Tanzania nchini Oman kwa madhumuni ya kujua usahihi wa jambo hilo.

Ubalozi ulitoa ufafanuzi kuwa uliandaa mkutano wa Watanzania wote wanaoishi Oman na ulipangwa kufanyika katika hoteli ya Golden Tulip jijini Muscat tarehe 23 Machi 2018. Matangazo ya mkutano huo yalitaka Watanzania watakaopenda kushiriki wajisajili kabla ya siku ya mkutano. Watanzania takriban 200 walijisajili na ubalozi ulifanya maandalizi ya ukumbi, vyakula na vinywaji kwa ajili ya watu 300 kwenye hoteli ya Golden Tulip.

Siku ya mkutano ilipowadia, Watanzania zaidi ya elfu moja walijitokeza na kusababisha ugumu wa kuendelea na mkutano kutokana na maandalizi yaliyofanywa yalilenga watu 300.

Kamati ya maandalizi ilipoona ukumbi umejaa na watu walio nje ni weng mara mbili zaidi ya watu waliokuwemo ndani ya ukumbi iliamua kufunga milango na kuwaomba waliochelewa warejee nyumbani.

Uamuzi huo haukuwafurahisha watu waliochelewa, hivyo walishinikiza waingizwe kwenye ukumbi wa mkutano, kitendo ambacho kiliashiria uwezekano wa kutokea vurugu kubwa.

Kutokana na uhalisia huo, Kamati ya maandalizi ambayo ilijumuisha pia viongozi wa Watanzania wanaoishi nchini humo ilishauriana na kuamua kuwa mkutano huo uahirishwe na maandalizi yaanze upya kwa madhumuni ya kupata ukumbi na huduma nyingine zitakazokidhi idadi kubwa ya watu.

Kutokana na ufafanuzi huo, Wizara inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania kuwa kipande hicho cha video kimechukuliwa wakati Watanzania wanashinikiza kuingia kwenye ukumbi wa mkutano na sio kwamba wamekusanyika kwenye ofisi ya ubalozi wa Tanzania kushinikiza kurejeshwa nyumbani kutokana na mateso wanayoyapata.

Mwalim Mkuu Kakonko Ajinyonga Akiwa Ofisini Kwake,aandika Ujumbe Mzito

$
0
0
MKUU wa Shule ya Sekondari Kakonko wilayani Kakonko mkoani Kigoma,Peter Rubonya amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kamba ofisini kwake mapema leo asubuhi.

Akielezea tukio hilo,Mwalim wa zamu wa shule hiyo Isaac Japhet amesema yeye alifika shuleni hapo saa 12:30 asubuhi ili kuwafundisha wanafunzi wa kidato cha nne masomo ya ziada baada ya kufunga shule wiki iliyopita na baada ya kufika aligundua kuwa hana chaki ambapo mkuu huyo wa shule alimpatia chaki mlinzi ili awape wananfunzi.

Amesema baada ya muda,Mratibu elimu kata pamoja na mmoja wa wazazi walifika ofisini hapo wakiwa na shida na mkuu wa shule na baada ya kuelezwa yupo ndani ofisini lakini baada ya kugonga mlango hawakuweza kujibiwa na ndipo wakaamua kufungua mlango na kukuta mwili wa marehemu ukining’inia dalini.

Mwalim Isaac amesema Mwalimu aliyejinyonga alikuwa akifundisha masomo ya Kemia na Fizikia shuleni hapo hawakuwahi kusikia mgogoro wowote wa kifamilia au kijamii, na mkewe ambaye ni mkufunzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM),alifika nyumbani kwake juzi akitokea Dodoma.

Kwa upande wa Mlinzi wa Shule hiyo Kajolo Kajabojabo amesema alikutana na Mkuu wa shule mapema asubuhi akiingia ofisini na kumuomba chaki ambazo alipewa na kuziwasilisha kwa walimu.

"Nilimuona kabisa tukasalimiana, nikamuuliza kama anaweza kuwa na chaki, akaingia ofisini akanipatia boksi moja la chaki.Nikachukua na kisha nikampelekea mwalim aliyehizihitaji, alikuwa kwenye hali nzuri tu, lakini baada ya muda ndo tukio hilo likatokea,"amesema Kajoro.

Akizungumza baada ya kufika shuleni hapo Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala amesema Polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo kujua sababu ikiwa marehemu aliacha ujumbe wowote au laa.

"Hatujajua sababu lakini ni muhimu jamii ikajenga utamaduni wa kueleza matatizo ya ndani yanayoyasibu.Hiyo inasaidia kupunguza msongo wa mawazo na kuepusha madhara kama haya,"amesema.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Martin Otieno amesema baada ya kupekuliwa kwa mwili wa marehemu walikuta karatasi imeandikwa ujumbe kuwa Mkurugenzi wa halmashauri ya Kakonko Lusubiro Mwakabibi asipodhibitiwa ataua wengi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya March 27

Wananchi Wafanya Vurugu Jijini Mbeya Wakiwatuhumu Polisi kwa Mauaji

$
0
0
Kifo cha kutatanisha cha kijana anayejishughulisha na uuzaji wa machungwa jijini Mbeya, kimeibua vurugu kubwa za vijana wenzake kutokana na kuhusishwa na Jeshi la Polisi.

Kijana huyo aliyefahamika kwa jina la Allen Mapunda (20), alifariki dunia, siku moja baada ya kukamatwa na kukaa mahabusu kisha kupelekwa hospitali.

Alifia hospitali alikopelekwa kupatiwa matibabu ya majereha baada ya kukamatwa kwa tuhuma za uhalifu ambazo hazijawekwa wazi.

Mapunda alifariki dunia katika Hospitali ya Rufani ya Kanda ya Mbeya, baada ya kukaa kituo cha polisi kwa siku moja.

Inadaiwa kuwa kijana huyo mkazi wa Mtaa wa Iyela II anayefanya shughuli zake za ujasiriamali katika Soko la Sido jijini Mbeya, kabla ya mauti kumkuta alikamatwa Machi 24, mwaka huu majira ya saa nne usiku katika eneo la kucheza ‘pool’ Mtaa wa Maendeleo na kumpeleka hadi Kituo Kikuu cha Polisi.

Inadaiwa Mapunda alikuwa na vijana wenzake wakicheza mchezo huo na baada ya kuwaona polisi aliwaambia wenzake wakimbie, lakini wote walitiwa mbaroni.

Habari zaidi zinaeleza kuwa Mapunda alikaa kwa siku moja na kesho yake alidhaminiwa na ndugu ambao waliamua kumpeleka hospitali kwa ajili ya matibabu kutokana na majeraha aliyoyapata.

Kwa mujibu wa mama yake mlezi, Alice Mapunda, marehemu alionekana na majeraha mkononi na kichwani ambako alikuwa akivuja damu huku akilalamikia maumivu.

Baada ya hali ya marehemu kuwa mbaya katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa, walimpa rufani ambapo alihamishiwa Hospitali ya Rufani ya Kanda ya Mbeya ambapo, alifariki dunia muda mfupi wakati akiendelea kupatiwa matibabu.

Kufuatia kifo cha kijana huyo, baadhi ya vijana wa Iyela waliamua kuandamana kupinga tukio hilo, wakidai kuwa linahusishwa na polisi, hivyo walianza kuwatafuta polisi wanaoishi eneo la kata hiyo na viongozi wa mtaa kwa nia ya kulipa kisasi.

Miongoni mwa viongozi waliokumbwa na kadhia hiyo ni Mwenyekiti wa Iyela II, Boaz Kyejo, ambaye alivunjiwa dirisha la nyumba yake wakimtuhumu kuhusika kuwaita polisi kwa ajili ya kufanya doria ya kuwakamata vijana wa kata hiyo baada ya kifo cha Mapunda.

Hata hivyo, Kyejo alisema hahusiki na tukio la kuwaita polisi wala doria na hata kifo cha kijana huyo hakuwa na taarifa nacho.

“Vijana wameharibu mali nyingi za mtaa huu, ikiwamo kuvunjwa kwa meza za soko na mali nyingine zilizokuwa sokoni hapo,” alisema Kyejo.

Kutokana na vurugu hizo, polisi wanadaiwa kuingilia kati kutumia nguvu ikiwamo kulipua mabomu.

Kwa upande wake mama mdogo wa marehemu, Justina Kilasa, alisema marehemu hakuwa na tabia mbaya, hivyo kitendo cha kukamatwa kwa madai ya kuhusika na uhalifu sio cha kweli, kutokana na marehemu kuwa na tabia njema.

“Mwanangu hakuwa mgomvi, alikuwa hajihusisha na tabia zozote mbaya, akitoka kwenye kibarua chake cha kuuza machungwa kule Sido anaenda ibadani na kurudi nyumbani,” alisema na kuongeza:

“Kwa kweli kifo hiki kimetushtua, mbaya zaidi Jeshi la Polisi limepiga mabomu ya machozi hapa msibani.”

Kilasa alisema kuwa mwili wa marehemu unahifadhiwa hospitali na wanasubiri kukabidhiwa kwa ajili ya maziko.

Mtendaji wa Kata ya Iyela, Anna Supalika, alisema amesikitishwa na uharibifu uliofanywa na vijana hao na kwamba hasara iliyopatikana haijabainika na kwamba shughuli za kiofisi zimesimama.

Alipoulizwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohammed Mpinga, alikiri kutokea kwa tukio hilo na kwamba taarifa rasmi ataitoa baada ya uchunguzi kukamilika.

Aliyemnajisi mtoto wake hadi kifo, apewa shtaka la mauaji

$
0
0
Mtoto Mase Denis kutoka Kabwana wilayani Rorya mkoani Mara aliyedaiwa kunajisiwa na baba yake wa kufikia Machi 3, mwaka huu alifariki dunia wakati akiwa njiani kwenda kutibiwa katika Hospitali ya Rufani Bugando jijini Mwanza juzi.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Tarime-Rorya, Henry Mwaibambe aliwaambia waandishi wa habari kuwa awali mtuhumiwa Denis Ondigo alishitakiwa kwa kunajisi lakini kutokana na kifo hicho amebadilishiwa kuwa shtaka la mauaji.

Mtuhumiwa anadaiwa kutenda kosa hilo majira ya saa 6 mchana wa Machi 3 akiwa nyumbani kwake Kabwana  baada ya mama wa mtoto kuwa amekwenda dukani kununua mahitaji ya nyumbani.

Kamanda huyo alisema Ondigo (26) mkazi wa Kabwana alifikishwa Mahakama ya Wilaya Tarime mkoani Mara kwa mara ya kwanza Machi 13.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images