Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Awaasa Watanzania Matumizi ya Simu za Mikononi

$
0
0
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amewataka watanzania kutumia mawasiliano ya simu kwa manufaa ya kujiletea maendeleo na sio kutumika katika masuala ambayo si sahihi.

Kauli hiyo wa Naibu Waziri imetolewa jana wakati akifanya uzinduzi wa dua la simu ambapo ametoa takwimu kwamba asilimia 94 ya watanzania wanatumia mawasiliano kwa njia ya simu.

Aidha Mh. Nditiye alisema kwamba endapo mawasiliano hayo yatatumiwa vizuri yatasaidia nchi kupiga hatua za kimaendeleo.

Aidha Mh. Nditiye amewataka watoa huduma za mawasiliano kuhakikisha kuna kuwa na huduma bora na zinazokidhi mahitaji.

Download Upya Application Yetu Ya mpekuzi .....Ile Ya Zamani Tutaifuta

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya Mpekuzi Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Maboresho Mapya Yamefanyika ili kukufanya upate habari zetu kwa wepesi zaidi kama vile Magazeti kuliko ilivyo sasa.

App ya zamani ilikuwa na tatizo kubwa la kuchelewa kufunguka, kuchelewesha habari na muonekano wake haukuwa wa kiwango kinachostahili.

Chakufanya, Ingia PlayStore, Download Upya Application yetu  MPYA. Ukishaipakua hii Mpya, ya zamani ifute tu.

NB: App mpya ina Icon ya Njano

Tumekurahisishia; 

Wema Sepetu Azua Gumzo Baada ya Kujiachia Nusu Uchi

$
0
0
Msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu amezua gumzo baada ya kuachia sehemu kubwa ya mwili wake  live wakati akiogelea pamoja na kaka yake Diamond Platnumz, Rommy Jones.

Picha  na kipande cha video kinachosambaa kwa kasi mitandaoni kinamuonesha Wema akikata mauno wakati wimbo wa Wowowo ukipigwa

==>Tazama  video hapo chini
A post shared by MPEKUZI (@official_mpekuzi_blog) on

SHINYANGA: Babu wa miaka 90, atiwa mbaroni kwa kubaka wanafunzi watano

$
0
0
Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia mzee mwenye umri wa miaka 90, Kachuka Malongo kwa tuhuma za kubaka wanafunzi watano wa Shule ya Msingi Tinde, Wilaya ya Shinyanga.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Simon Haule alisema kwamba wanafunzi hao walibakwa kwa nyakati tofauti na mtuhumiwa akiwarubuni kwa kuwapa pipi na pesa.

“Tumebaini chanzo cha tukio hilo kuwa ni tamaa na uchu wa mapenzi. Tayari tunamshikilia mtuhumiwa kwa mahojiano zaidi na uchunguzi ukikamilika tutampeleka mahakamani,” alisema Kamanda Haule.

Akizungumzia tukio hilo Kamanda Haule alisema kwamba mkazi wa Tinde, Amada Mganyizi ndiye aliyebaini kubakwa kwa wanafunzi hao Machi 21 saa 2:30 asubuhi. Hata hivyo, hakueleza kwa undani namna gani mkazi huyo alibaini kubakwa kwa watoto hao.

Alisema kwamba wanafunzi hao ambao majina yao yanahifadhiwa wana umri wa kati ya miaka minane na 12 na wanasoma katika shule za msingi Tinde A na B.

“Natoa rai kwa wananchi na wazazi kuwa makini na karibu na watoto wao ili kubaini mabadiliko yao. Lakini kitu kingine kikubwa, nawataka wachukue hatua za haraka wanapobaini watoto wamefanyiwa ukatili kama huu,” alisema Kamanda huyo.

Aliwaonya watu wazima wenye tabia hizo kuacha mara moja.

Polisi Dodoma Waungana na JWTZ Kufanya mazoezi ya pamoja ya Utayari

$
0
0
Vikosi vya ulinzi na usalama vya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Jeshi la Polisi na Magereza vimeungana kufanya mazoezi jana mjini Dodoma kwa lengo la kuwa tayari zaidi kudhibiti uhalifu.

Akizungumza wakati wa mazoezi hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto alisema kuwa mazoezi hayo ya pamoja ni hatua ya kujiweka sawa kukabiliana na uhalifu wa aina yoyote na wakati wowote.

Kamanda Muroto ametahadharisha kuwa mtu yoyote atakayejitokeza kutaka kuharibu amani ya nchi atadhibitiwa kwa mujibu wa sheria.

Naye Kaimu Kamanda wa kikosi cha JWTZ, Ihumwa, Kanali Mtukusya alisema kuwa mazoezi hayo ni endelevu na kwamba ushirikiano huo utasaidia kuthibiti vitendo vya uhalifu.

“Hauwezi ukafanikisha kufanya kazi yako kwenye kitengo chako bila kuwa na mahusiano na chombo kingine. Nina imani kwamba haya mazoezi haitakuwa mwisho, tutaongea na makamanda wenzangu hapa ili tuone ni kitu gani kingine tunaweza kufanya kuendeleza ushirikiano kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama,” alisema Kanali Mtukusya.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani humo, Dkt. Bilinith Mahenge amesema kuwa hatua hiyo itasaidia upatikanaji wa taarifa za uhalifu kwa haraka kwa kuwashirikisha wananchi.

“Kwa sababu kama ataonekana mhalifu ambaye aliyetakiwa kumkamata ni polisi lakini uliyemuona ni wewe afisa magereza basi hakikisha unatoa taarifa kwa anayehusika ili aweze kushughulikiwa mara moja,” alisema.

Breaking News: Watu 24 wamefariki na wengine 10 kujeruhiwa baada ya hiace kugongana na lori

$
0
0
Watu 24 wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Wilaya ya Mkuranga mkoanini Pwani, kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitokea Mtwara kuelekea Dar es Salaam.

Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Jumapili Machi 25, 2018 eneo la Mparanga wilayani Mkuranga.

Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata amethibitisha  kutokea kwa ajali hiyo na kwamba majeruhi wote wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.

PICHA: Lowasa na Mbowe Wasali Ibada Ya Jumapili KKKT Azania Front Posta

$
0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Mhe Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe Edward Lowasssa, leo Wameshiriki ibada ya Jumapili ya Matawi KKKT Azania Front Posta ya zamani Dar es salaam

Ibada ya Jumapili ya Matawi huadhimishwa wiki moja kabla ya Sikukuu ya Pasaka.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota, Mvuto wa Biashara na Mapenzi

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. 

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi 

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Okoa Ndoa Yako, Biashara Yako, Kazi Yak,o Mpenzi Wako..... Onana Na Dr Mfaume Mzee Mwenye Uwezo Wa Kukutatulia Magonjwa Na Matatizo

$
0
0
Je unaupungufu wa nguvu za kiume au maumbile madogo ya kiume?

 SHAFTI POWER; ni dawa itokanayo na mizizi na magamba ya mitishamba. Hutibu matatizo matatu kwa pamoja
 1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni kabla ya mpenzi au mke wako
3 kulegea kwa misuli na uume kusinyaa na mda mwingi uume kuanguka ukiwa bado unaendelea na tendo, DAWA HII ITAKUPA UWEZO WA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU NA UTACHELEWA KUFIKA KILELENI

MWIMALA MIX NO 2 ;ni dawa ambayo hurefusha uume saiz upendayo ...inch 5 , 6,7,8 na unene sm 1-5 .Dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hadhina madhara yoyote

NINI KINACHOCHANGIA KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO?
 1 kufanyia tohara ukiwa na umri mkubwa
3 msongo wa mawazo 
4 ngiri na korodani kuvimba 
5 vidonda vya tumbo 
6 maumivu ya mgongo na kiuno 
7 mfumo wa mahisha 
8 presha, kisukali na magonjwa ya moyo 

TUNATO TIBA YA KISUKALI,KORODANI KUVIMBA VIDONDA VYA TUMBO UZAZI KWA WANAWAKE NA WAUME .Tunarudisha Mali iliyoibiwa, kudhibiti jini chuma ulete kwa wanaopata pesa na ujui ziendako.
 
KWA SHIDA NA MAGONJWA WASILIANA NAMI .Ofisi ipo mbagara Zakhemu .Kwa wateja wa mikoani mtatumiwa huduma utakayo pia tunatibu kwa njia ya simu au piga simu no 0789234653 .WOTE MNAKARIBISHWA

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 61 na 62 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA 

“Mwanamke nani?”  
Nilizungumza katika sauti yangu ya uhalisia, huku nikipandisha mikono yangu kwenye kifua chake na kuendelea kuzitomasa chuchu zake. Nikamgeuza na kuanza kumnyonya denda, taratibu Babyanka akaanza kuvua koti lake la suti, huku mimi nikiwa na kazi ya kumfungua vifungo vya shati lake jeupe alilo livaa. Tukiwa katika mahaba mazito gafla dirishani likaingizwa bomu la machozi lililo anza kutoa moshi mzito ulio tufanya tuanze kukohoa, hata hatujakaa vizuri taa za chumba chetu zikazima na kuanza kusikia vioo vikipasuka na kuanguka kwenye sakafu jambo lililo zidi kutuchanganya mimi na Babyanka
  
ENDELEA  
Kwa haraka tukakimbilia bafuni, kitendo cha kuingia nikawahi koki ya bomba na kufungulia maji mengi na  kuanza kunawa nyuso zetu kukata sumu ya bomu hili la machozi linalo fanya mtu mwagikwe na machozi na hata mbele usione.
“Chukua”
Babyanka alizungumza huku akinipatia basolola, nikaishika vizuri tayari kwa mashambulizo yoyote yatakayo tokea. Tukajibanza kila mtu kwenye kona yake ya ukuta wa mlango tulio uweka kati na upo wazi. Japo kuna giza ila tupoa makini sana kuhakikisha kwamba kila kitu kinacho kuja mbele yetu tunakisambaratisha.
Tukaona miyale myekundu myembaba inayo fungwa kwenye bundiki maalumu, ikikatisha katisha ndani ya chumba. Kutokana hatuonani na Babyanka tukashindwa kabisa kupeana ishara, kitu ambacho tunatakiwa kukifanya sasa hivi ni kuhakikisha kwamba tunashambulia tu.

Mlio wa simu yangu uliyopo chumbani kwenye kipochi changu ndio ulio wapotezea umakini watu hawa wanao tuwinda, tulicho kifanya ni kuaza kufanyatua risasi mfululizo kuelekea walipo watu hawa ambao idadi yao wapo sita.
Miguno ya maumivu ndio ilisikika ikiambatana na vishindo vizito vya watu kuanguka. Ndani ya dakika mbili ukimya mkali ukatawala ndani ya humba huku bunduki zote zenye myale hii myekundu zikiwa zimelala chini.
“Psiii”
Babyanka aliita kwa sauti hiyo ya chini, taratinu nikamuona akiingia kwenye chumba akiwafwata watu hawa tulio waua, hata mimi nikamfwata kwa nyuma. Mlango wa hapa hotelini umefunguliwa, kwa haraka nikaufungua taratibu na kuchungulia kwenye kordo sikumuona mtu yoyote. Babyanka naye akachungulia kwenye dirisha hakumuona mtu wa aina yoyote.
“Ni kina nani hawa?”
Niliuliza huku nikiufunga mlango
“Sifahamu, ila hii sehemu sio salama kabisa”
Nikatafuta kipochi changu na kutoa simu yangu, nikawasha mwanga wa tochi iliyopo kwenye hii simu yangu na kuanza kuwamulika majambazi hawa walio valia vitambaa vyeusi machoni mwao na kubakisha macho tu.

TANGA RAHA- Sehemu ya Arobaini ( 40 )

$
0
0

AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Nikakimbilia ndani na kwenda moja kwa moja nikaingia chumba alipo mtoto,Sikuyaamini macho yangu kwani nilimkuta amekuwa mkubwa na kufikia ukubwa babu mtu mzima mwenye mandevu mengi na anatisha kupita maelezo,akanitazama kwa jicho lake kililo kubwa kama gololi za kuchezea pooltable
“NATAKA DAMU YAKO”

ENDELEA
Nikabaki nikiwa nimesimama kama ninasubiri kupapigwa picha ya mnato,kukimbia ninataka ila miguu inashindwa,Nikajikuta nikitabasamu kama mtu aliye pumua kwa njia ya haja kubwa mbele ya mama mkwe.Likasimama na kuanza kunifwata kwa mendo wa taratibu kuja sehemu nilipo.Nikataka kurudi nyuma ila nikijikuta miguu inazidi kuwa mizito na kubaki nikiwa nimesimama kama mlingoti.Likanisogelea na kuushika mkono wangu wa kulia,akautazama sehemu ya giganja na gafla sehemu ya juu ya kiganja,akaing’ata na kuanza kuinyonya damu.

Kitu kilicho nishangaza,sikuweza kupata maumivu ya aina yoyote japo ninaona damu zinanichuruzika pembeni.Kitu kilicho zidi kunishangaza,kila jinsi anavyozidi kunyonya damu yangu ndivyo jinsi anavyo badilika.kutoka katika uzee kurudi kwenye ukijana zaidi.Akaniachia mkono wangu na kuwa kijana mdogo kama wa umri wa miaka kumi na mbili huku akifanana na mimi kila kitu ambacho mimi ninacho,kuanzia sura
“Nikinyonya zaidi,damu yako nitarudi kuwa mtoto”
Alizungumza na kuzidi kunishangaza.Akanitazama kwa macho makali kisha akarudi na kukaa kitandani,akachukua shuka na kujifunga
“Baba njoo ukae hapa”
Alinionyesha sehemu ya kukaa,pembeni ya kitanda,taratibu nikajizoa zoa hadi kitandani na kukaa pembeni yake.Ukimya wa dakika kadhaa ukakatiza wakati wote nikiwa nikimtazama jinsi alivyo

“Baba,ninaamini kuwa mutakuwa munaniona kuwa mimi ni kiumbe cha ajabu sana kutokea kwenye maisha yanu”
“Hapaana,mwanangu”
Nilijikaza tuu kusema hiyo mwanangu ila kiukweli,sina imani naye kabisa huyu mtoto ambaye kwa sasa ninafanana naye na wala siwezi kupinga kitu cha aina yoyote.
“Baba mimi ni binadamu ila pia ni shetani”
Nikastuska kidogo,japo nimepewa mamlaka yakuwaongoaza viumbe wa aina hii,ila kwa hapa mapigo ya moyo yakapoteza kabisa muelekeo wake
“Usistuke,baba.Kwa jina munaweza kuniita Lusifah”
Kwa mara ya kwanza maishani mwangu kuona mtoto anajichagulia jina la kujiita tena jina lenyewe ni lakishetani.
“Kwa nini nikuite hivyo?”
“Ndilo jina ambalo mimi nimepewa kabla ya kuzaliwa”
“Kabla ya kuzaliwa kivipi?”

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

$
0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kesho Machi 26, 2018 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kupokea magari 181 ambayo yatakuwa yakitumika kusambaza madawa vijijini na mjini.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas imeweka wazi kuwa Rais Magufuli ndiye atakuwa mgeni rasmi na kuzindua magari hayo 181 yaliyopo chini ya Bohari Kuu ya Dawa (MSD).

"Mageuzi Sekta ya Afya yanaendelea, usikose hafla ya kupokea magari mapya 181 kufikisha dawa na vifaa tiba zaidi mijini na vijijini" alisema Dkt Abass

Rais Magufuli Atuma Salamu Kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kufuatia Vifo Vya Watu 26


Boko Haram wamng’ang’ania msichana mmoja kwa udini

$
0
0
Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kumshikilia msichana mmoja kati ya wasichana 111 waliotekwa katika shule ya bweni eneo la Dapchi nchini Nigeria.

Mkuu wa jeshi la polisi nchini humo amesema kuwa wanaendelea kufanya mazungumzo na kundi hilo na kwamba limeahidi kumuachia msichana huyo hivi karibuni.

Leah Sharibu, msichana mwenye umri wa miaka 15 hakuwa miongoni mwa wasichana 105 walioachiwa na kundi hilo Jumatano. 

Imeelezwa kuwa msichana huyo aliendelea kushikiliwa kwa sababu alikataa kubadili dini yake kuwa muislam, kwa mujibu wa mama yake.

Aidha, wasichana wengine watano waliotekwa na kundi hilo wanaaminika kuwa walifariki walipojaribu kutoroka mikononi mwa magaidi hao.

Mkuu wa jeshi la polisi, Jenerali Muhammed Abubakar amesema kuwa ameahirisha ziara yake katika eneo la Dapchi ili asiingilie mpango wa makubaliano ya kuachiwa kwa msichana huyo.

Waziri Mkuu:Wafanyabiashara Tumieni Taasisi Za Kifedha Kukuza Mitaji Yenu

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wafanyabiashara wilayani Ruangwa kutumia taasisi za kifedha kukopa fedha kwa ajili ya kukuza mitaji yao.

Ameyasema hayo leo (Jumapili, Machi 25, 2018) wakati akizungumza na wafanyabiashara wa wilaya hiyo katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chama Cha Walimu, wilayani Ruangwa.

Waziri Mkuu ambaye yuko wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili amesema ni vema wakatumia taasisi za kifedha zilizopo ili kukuza mitaji yao.

”Naamini sekta ya biashara ni muhimu katika mabadiliko ya maendeleo, hivyo wafanyabiashara ni chachu ya maendeleo kokote na Serikali itaendelea kuwaunga mkono.”

Amesema katika kuhakikisha riba zinapungua, Rais Dkt. John Magufuli anaendelea kuzungumza na wamiliki wa taasisi za kifedha ili waone namna ya kupunguza riba hiyo.

Waziri Mkuu amesema lengo la Serikali la kuchukua hatua hiyo ni katika kutekeleza mkakati wake wa  kuwawezesha wafanyabiashara ili waweze kupata mikopo yenye riba nafuu.

Pia Waziri Mkuu amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kwamba Serikali ipo pamoja nao na imedhamilia kuboresha huduma mbalimbali za jamii kama maji na afya.

Naye, Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara wa Wilaya ya Ruangwa, Bw. Said Shea amewaomba wafanyabiashara wenzake watumie fursa za maendeleo zilizoko wilayani humo kwa kupanua wigo wa biashara zao.

Profesa J aamua Kuwasamehe Waliomsaliti Wakati wa Kampeni

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph haule maarufu kama Prof. Jay, amesema kwamba ameamua kuwasamehe wasanii ambao walimsaliti wakati wa kampeni za yeye kuingia Bungeni, kwa kujitol.

Prof. Jay amesema kwamba ameamua kufanya hivyo kwani ameona ni jinsi gani wasanii wamekuwa hawana umoja, hivyo sio vema kwa yeye kuwabagua kwa itikadi za vyama japokuwa walimpinga wakati wa kampeni za ubunge, kwa kuwa wanahitaji umoja ulio thabiti kwa ajili ya maslahi yao.

Prof. Jay ameendelea kwa kusema kwamba matatizo mengi wasanii yanawakuta kwa kuwa hawana umoja thabiti, huku wengine wakiwa na ubinafsi, hivyo ni jambo ambalo linatakiwa kukomeshwa kwa manufa yao wenyewe.

Mrisho Gambo Aumizwa na Godbless Lema Kususia Mwaliko Wake....Azungumzia Maandamano ya Mange Kimambi

$
0
0
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo amefunguka na kuwaomba viongozi wa CHADEMA jijini humo akiwepo Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema pamoja na Meya wa Jiji la hilo, Calist Lazaro kushirikiana na serikali.

Mrisho Gambo amesema hayo baada ya jana Machi 24, 2018 viongozi hao wa CHADEMA ambao anadai walikuwa wamealikwa kushiriki katika zoezi la utoaji wa mikopo kwa kina mama kutotokea kwa kuwa zoezi hilo lilikuwa likisimamiwa na serikali.

"Nipenda kutumia fursa hii kuwaomba viongozi wenzangu bila kujali itikadi ya vyama vyao maana leo tulimualika hapa mbunge, Meya na madiwani lakini wakasema tu sisi hatuendi sababu lile jambo linasimamiwa na serikali.

"Mimi nataka tu niwaombe viongozi wenzangu kwamba masuala ya maendeleo hayana vyama kwa sababu na sisi pia tungeangalia vyama pengine tungewaambia watu wa CCM wawape tu mikopo hiyo wanachama wao lakini tukasema sisi wenye serikali watu wetu ni wote bila kujali itikadi ya vyama vyao hivyo niwaombe wakubali kwamba Rais wa Tanzania ni Dkt. John Pombe Magufuli"

Aidha Mkuu huyo wa mkoa amezungumzia suala la maandamano ya April 26, 2018 kwa namna na kusema kuwa wapo watu wanafanya kazi ya kushawishi watu kuandamana lakini wao kama viongozi wanatoa njia za watu kupambana na maisha.

"Wakati wao wanahamasisha watu waandamane sisi tunawapa mbinu za kupambana na maisha, wakati wao wanahamasisha waandamane sisi tunawagea mitaji ili waweze kupata ridhiki na familia zao, wakati wao wanahamasisha waandamane Dkt John Pombe Magufuli anatoa elimu bure kwa shule zote nchi nzima" alisema Gambo.

Mwanadada Mange Kimambi ni kati ya watu ambao wapo mstari wa mbele kushawishi Watanzania kote nchini kupitia mitandao ya kijamii kuandamana April 26, 2018 ili kudai haki zao.

Waraka wa Maaskofu KKKT Wajibiwa.....Soma Hapa Tamko la Watetezi wa Rasiliamli wasio na mipaka (WARAMI) Wakiupinga Waraka Huo

$
0
0
JANA tuliona katika mitandao ya kijamii waraka wa viongozi wetu wa dini,ukizungumzia masuala mbali mbali ya nchi na mwelekeo wake huku sehemu kubwa ya waraka huo ukijikita katika kuikosoa serikali juu ya namna inavyoendeshwa.

Tunafahamu viongozi wa dini wana wajibu wa kiutumishi katika jamii huku wakilinda dhamira yao ya kuhakikisha umoja wa nchi yetu unabaki kuwa salama kwa namna yoyote ile.

Inapotokea mazingira yoyote ya viongozi wetu wa dini kushindwa kusimamia wajibu huo jamii inayoongozwa na viongozi hao inapaswa ijisimamie yenyewe na kuwakumbusha wajibu wao huo

Sisi  Watetezi wa Rasiliamli wasio na mipaka (WARAMI) tunaamini kuwa moja wa wajibu wetu ni kuhakikisha  Jamii inapatiwa haki hiyo pasipo upendeleo wa aina yoyote ule wa kiimani, kisiasa kanda au hata kiukabila

Kwa vyovyote vile tunaona ni sahihi kwa sasa nasi kupaza sauti yetu kwa jamii ili pamoja na viongozi wetu hawa wa dini wakiwemo maaskofu wa KKKT tuone ni namna gani bora ya kuishi katika jamii ambamo watu wake wamechanganyika kwa utofauti tofauti  baina ya dini, kabila, jinsia, ufuasi wa kiitikadi na kadharika

Tunatumia nafasi hii kuwakumbusha viongozi wetu wa dini wajitafakari kwa umakini na kuanza kuchagua aina ya maneno ama kauli sambamba na njia wanazotumia ili kutokuleta taharuki kwa jamii hasa wakizingatia ukweli kwamba mara nyingi sio kila maoni wanayoona wao yanafaa basi kwetu sisi waumini wao pia yanafaa kwa maana tuyafuate kama yalivyo.

Miongoni mwa masuala yaliyoandikwa katika waraka ule wa maaskofu wetu ni malalamiko kuhusu Katiba Mpya, Uhuru wa kutoa maoni, Usawa katika elimu, mauaji ya watu, uchumi Demokrasi, kodi kwa wafanyabiashara na ajira kwa vijana kwa kuyataja kwa uchache.

WARAMI, tunashangaa ni kwanini waraka huu wa salamu za PASAKA haukujikita zaidi katika kuwasisitiza waumini wake kujikita katika kuabudu, kumnyenyekea Mungu, kusoma bibilia na maandiko mengine ya dini na badala yake wakajikita katika maoni yanayong’ata na kupuliza

Watanzania wote ni mashahidi kuwa kwa sasa nchi yetu imejitanabaisha katika kutatua changamoto zilizokuwa zinaimbwa kila siku na wanasiasa hasa wa upinzani na kwa kweli tumeanza kuyaona matunda ya serikali kujikita katika kutatua changamoto hizo

Sote ni mashahidi kuwa Kuilazimisha Serikali kuitisha mchakato upya wa katiba ni jambo ambalo haliingii akilini kwa sasa kutokana na ukweli kwamba ni wanasiasa wenyewe hususan wa vyama vya upinzani ndio waliosusia na kukwamisha mchakato wa katiba kwa kutaka kulazimisha mawazo yao yawe bila kuzingatia msingi mama wa Demokrasia kuwa wachache wanasikilizwa wengi wanashinda.

Maaskofu wetu wamekazana kulalama kuhusu katiba mpya huku waumini wake wanaotuongoza hawana ufahamu kuhusu BIBILIA

Aidha, tumeona hivi karibuni namna Rais wa nchi alivyozungumza na jumuiya ya wafanyabiashara na kuweka wazi changamoto zote zinazowakabili wafanyabiashara ikiwemo suala la kodi na kuweka mkakati wa pamoja kulitatua, sasa kuendelea kulalamika kwenye hili hakuna tofauti na nongwa kwa kuwa hata muda alioutoa Rais kwa watendaji wake haujakwisha.

Maaskofu wetu wamezungumzia kuhusu utekwaji na mauaji ikiwemo utiaji wa hofu lakini hawajajikita kuelezea kwa kina hasa ni yepi?,

Sisi tunafahamu kuwa wapo watu walioathirika moja kwa moja na matukio ya kutekwa na kuteswa kwa vijana kama Mussa tesha wa Igunga, Joseph yona wa Temeke, Halidi Kagenzi wa CHADEMA na wengineo yalipaswa kukemewa tangu siku ya kwanza ya kutokea kwake na si kuyasubiri mpaka leo.

Tunawashangaa maaskofu wetu hawa kusema kuhusu usawa wa elimu huku wakifahamu kuwa wanamiliki chuo kikuu ambacho hivi karibuni kilipandisha ada ya masomo na Askofu mkuu alipoombwa kushusha ada akamwamuru mlinzi afungue geti na anayetaka alipe asome asiyetaka mlango uko wazi atoke, nafikiri Usawa wa elimu ulipaswa kuanza katika chuo kinachomilikiwa na KKKT na si vinginevyo.

Maaskofu wetu wanajaribu kutuaminisha kwamba wao ni wasafi na kila wanachozungumza ni sahihi je wanadhani wapo wasafi kiasi cha kuwa tayari kuchunguzwa na kuwekwa hadharani kuhusu Uhalali wa makanisa yao?.

Je maaskofu wetu hawa ni wasafi kiasi cha kuwa tayari kuchunguzwa matumizi ya mabilioni ya sadaka wanayokusanya kila siku?.

Ama maaskofu hawa wanaweza kuueleza umma kuhusiana matumizi ya misaada, misamaha ya kodi wanayopaswa kulipa na matumizi ya kodi hizo walizosamehewa na serikali.

MAASKOFU WETU WANATUMIKA?
Hatutaki kuamini kwamba viongozi wetu hawa wanatumika na wanasiasa kwa maslahi yao ama ya wanasiasa lakini nafikiri tunapaswa kufikiri sawa kwenye hili kwa kujijibu maswali machache yafuatayo?
  1. Ikiwa waraka huu wa Maaskofu wetu umesainiwa tarehe 15-03-2018, kwanini umetoka leo na si kipindi ulipoandaliwa ama siku ya ibada kama inavyokuwa kawaida ya siku nyingine?
  2. Kwanini waraka huu umetolewa siku moja baada ya waraka wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe ambao kimsingi maudhui yanafanana kiasi cha kutia shaka kuwa umeandaliwa na mtu mmoja na maaskofu kushirikishwa kuweka majina yao tu?
  3.  Kwanini waraka huu wa Maaskofu umesambazwa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa CHADEMA ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu wa chama hicho mheshimiwa LEMA ambaye ndiye aliusambaza Waraka wa Mbowe katika muda unaofanana na njia zinazofanana?.
Ukijijibu maswali hayo hapo juu unaweza kupata picha halisi

WITO
  1. Tunatoa wito kwa Maaskofu wetu kujikita katika masuala mahsusi yanayohusu Dini, watuelimishe kwenye dini, wamuachie Kaisari yaliyo yake nay a Mungu yaliyo yake
  2.  Tunawaomba maaskofu wetu wachague njia sahihi ya kupita kama walivyofanya wenzao waliowatangulia. Wapo viongozi wa dini walipoona wana wito wa kushiriki Siasa waliamua kuachana Upadri na Uaskofu na kujikita kwenye siasa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images