Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Okoa Ndoa Yako, Biashara Yako, Kazi Yak,o Mpenzi Wako..... Onana Na Dr Mfaume Mzee Mwenye Uwezo Wa Kukutatulia Magonjwa Na Matatizo

$
0
0
Je unaupungufu wa nguvu za kiume au maumbile madogo ya kiume?

 SHAFTI POWER; ni dawa itokanayo na mizizi na magamba ya mitishamba. Hutibu matatizo matatu kwa pamoja
 1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni kabla ya mpenzi au mke wako
3 kulegea kwa misuli na uume kusinyaa na mda mwingi uume kuanguka ukiwa bado unaendelea na tendo, DAWA HII ITAKUPA UWEZO WA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU NA UTACHELEWA KUFIKA KILELENI

MWIMALA MIX NO 2 ;ni dawa ambayo hurefusha uume saiz upendayo ...inch 5 , 6,7,8 na unene sm 1-5 .Dawa hizi zipo za kupaka na kunywa na hadhina madhara yoyote

NINI KINACHOCHANGIA KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO?
 1 kufanyia tohara ukiwa na umri mkubwa
3 msongo wa mawazo 
4 ngiri na korodani kuvimba 
5 vidonda vya tumbo 
6 maumivu ya mgongo na kiuno 
7 mfumo wa mahisha 
8 presha, kisukali na magonjwa ya moyo 

TUNATO TIBA YA KISUKALI,KORODANI KUVIMBA VIDONDA VYA TUMBO UZAZI KWA WANAWAKE NA WAUME .Tunarudisha Mali iliyoibiwa, kudhibiti jini chuma ulete kwa wanaopata pesa na ujui ziendako.
 
KWA SHIDA NA MAGONJWA WASILIANA NAMI .Ofisi ipo mbagara Zakhemu .Kwa wateja wa mikoani mtatumiwa huduma utakayo pia tunatibu kwa njia ya simu au piga simu no 0789234653 .WOTE MNAKARIBISHWA

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 59 na 60 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA    

‘Sekunde nne’
Nilijiseme moyoni huku nikiingiza tena namba ya siri ambayo Marim aliniambia. Polisi walio kuwa wakinikimbiza nao wakasimama mbali na mimi kwa maana katika kufa hakuangalii kama wewe ni polisi au laa. Nikaiingiza tena namba ya siri aliyo niambia Marima ila nayo ikagoma jambo lililo nifanya nikate tamaa na nikabaki nikitazama sekunde mbili ziishe na tulipuke na kufia katika eneo hili

ENDELEA
Wazo moja likanijia kichwani mwangu, kwa haraka sikuhitaji kuweza kulizembea kirahisi. Nikaandika jina la nchi ya Somalia kwenye batani za hili bomu, nikayafumba macho yangu kusubiria kulipuka kwa bumu hili huku nikisali sala yangu ya mwisho. Sekunde ambazo nilikuwa ninazisubiria ili bumu kuweza kulipuka zikapita pasipo chochote kutokea. Taratibu nikayafumbua macho yangu nikakuta bomu hili limezima. Jasho mwili mzima linanishuka, watu wote uwanjani walibaki wakinitazama mimi huku wengi wao wakiwa wamekaa umbali mkubwa kutoka sehemu nilipo hata mpira ulisimamishwa kutokana na taharuki hiyo iliyo jitokeza hapa uwanjani.
Nikamuona Mariam kwa mbali akinipunga mkono huku akininyooshea kidole gumba cha mkono wa kulia. Polisi wakaanza kunisogelea huku wakiniomba ninyooshe mikono juu, siwezi kukimbia kwa maana karibia polisi wote wamenizunguka.

Mashabiki walipo ona polisi wanataka kunifunga pingu mikononi, wakaanza kupiga kelelele huku wakikimbilia eneo nililopo na polisi hawa.
Hiyo ndio ikawa nafasi kwangu kuwatoroka polisi huu kwa maana umati mkubwa wa mashabiki umewazuia wasinikamate. Moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya magari, nikiwa ninalitafuta gari langu sehemu nikastulia risasi ikipiga kwenye moja ya gari la pembeni hadi kioo cha gari hilo kikapasuka, kwa haraka nikachuchumaa chini, na kujibanza kwenye gari hilo. Nikamuona Yudia akiwa na vijana wawili wenye bastola wakinyata kwa uangalifu wakija sehemu nilipo. Kitendo cha kuchungulia nikastukia risasi nyngine ikipiga kwenye gari hili na kujikuta nikirudi kukaa chini sehemu nilipo jificha huku nikihema sana kwa wasiwasi.
“Wewe malaya jitokeze huwezi kuharibu mipango yetu”

Yudia alizungumza kwa ukali jambo lililo nifanya nizidi kukaa chini nikifikiria nini cha kufanya kwa manaa, sina silaha yoyote ambayo inaweza kuniwezesha kupambana nao. Wakaendelea kufyatua risasai mfululizo ambazo zinatoka kimya kimya kutokana na  viwambo vya kuzuia sauti walivyo vifunga kwenye risasi zao.
“Wewe malaya toka hapo chini lazima tukuue ku**ko”
Yudia akaendelea kurupoka, kwa bahati nzuri nikasikia milio ya risasi, katika kuchungulia nikaona polisi wakishambuliana na kina Yudia wakihakikisha kwamba wanawaweka kati. Sehemi nilipo sikuweza kujitoa kutokana na mirindimo hiyo ya risasi ambayo sikufahamu zinaelekea wapi.
“Wekeni mikono juu na bunduki pembeni”
Niliisikia sauti ya kiume ikizungumza kwa kuamrisha, taratibu nikajinyanyua na kuchungulia sehemu inapo tokea nikamuona Yudia pamoja na jamaa mwengien wakinyoosha mikono yao juu, huku mmoja akiwa amelala chini akivunjwa na damu.

“Heii na wewe nyanyuka”
Nilistuka sauti ya askari ikizungumza pembeni yangu, taratibu nikanyanyuka huku nikinyoosha mikono yangu juu. Yudia na mtu wake wakafungwa pingu, huku mimi nikiombwa kuongozana na askari wanne kuelekea katika chumba cha mahojiano ndani ya uwanja huu. Kutokana hakuna askari aliye weza kugundua kwamba mimi ni mwanaume, sikuweza kubisha nikaongozana nao hadi kwenye chumba cha mahujiano. Hapo nikakutana na mkuu wa askri wa upepelezi ambaye ninamfahamu vizuri japo yeye hanifahamu mimi. Askari walio niingiza kwenye chumba hichi wakatoka na kuniacha na mkuu  wao huyu.
“Binti unaitwa nani?”
“Lissa”
“Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa kuweza kusaidia kuokoa maisha ya Watanzania wengi katika huu uwanja. Pia…..”
Akanyamaza kimya baada ya simu yangu kuita, nikatazama ni nani anaye piga na kukuta ni mama ndio anaye piga, ikanibidi kupokea mbele ya mkuu huyu wa polisi  kitengo cha upelelezi.

Ni Dr. Chief Malunde Pekee Anaetibu Nguvu Za Kiume Na Kumtuliza Umpendae Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

TANGA RAHA- Sehemu ya Thelathini na Tisa ( 39 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Olvia alizungumza huku akiwa amemshika mtoto mchanga ambaye sikuweza kumuona vizuri sura yake.Olvia Hitler akanyoosha mkono wake kwenye  moja ya lango kubwa,ukafunguka na yakatoka majitu mawili yakutisha yakiwa na vishoka vikubwa na kuwafanya watu waliopo hapa kuanza kushangilia

ENDELEA
Nikabaki nikiwa nikiyatazama majamaa yanayo kuja kwa mwendo wa taratibu ulio jaa vishindo.Nikatazama vishoka walivyo vishika na kujikuta mwili mzima ukiingiwa na hufu

“NIMERUDI”
Nikaisikia sauti ambayo mara kwa mara huwa inanielekeza nini cha kufanya,
“Muda wote ulikuwa wapi hadi umeniacha nimekuja huku chini?”
“NILIKUWA NINAMANA YANGU”
“Maana gani?”
“MANAA KUU NI KWAMBA UJE KUICHUKUA DAMU YAKO KABLA HAWAJAKUDHURU ZAIDI”
“Sasa nitamchukuaje?”
“USIJALI KWA HILO”
Sauti ninayo zungumza nayo kidogo ikanipa matumaini ya kuweza huku kizimu nilipo.Nikastukia  kuona watu watu wapatao sita,walio valia mavazi meupe wakiwa wamenizunguka.Mwanga mkali mweupe ukaanza kumulika katika eneo zima lililo kaa watu wanaoshangulia.Mwanga ukasababisha miili ya watu hao kuanza kupasuka vipande vipande.Majiu yaliyokuwa yakinifwata nayo yakaanza kupasuka vipande vipande.Olvia Hitler akabaki akiwa amenitazama kwa macho makali.Sikuweza kujua ni kwanini mwanga haukuweza kumdhuru,
“Mbona yule msichana audhuriki na huu mwanga”
“TUNAUA KWANZA WATU WAKE”
Watu walio nizunguka,wakaanza kazi ya kukimbia huku wakinizunguka kwa kasi kubwa,Nikajashangaa nikianza kupanda kwenda juu hadi nikafika sehemu alopo Olvia Hitler,
“USIMUOGOPE MSOGELEE”

Nikaanza kupiga hata za taratibu huku nikiwa ninajiamini sana,Olvia Hitler akabaki akinitazama kwa macho makila
“MCHUKUE HUYO MTOTO,HAWEZI KUKUZUIA TUMEMFUNGA MWILI WAKE”
Nikaupeleka mkono wangu wa kulia alipo mtoto,Olvia hakuweza kunifanya kitu chohote zaidi ya kubaki akinishanga,Nikamchukua mtoto wangu,Jambo ambalo linaniogopesha juu ya huyu mtoto ni jinsi alivyo.Sura yake haijaendana kabisa na mimi hata mwili wake si wakawaida kama watoto wengine
“Hivi huyu ni mwanangu kweli?”
“WEWE MCHUKUE HUYO MTOTO TUONDOKE”
Sikuwa na lakuuliza zaidi ya kumchukua mtoto,Nikajistukia nikivutwa nyuma,watu walio nizingira kwakanishika na kuanza kwenda juu.Tukiwa katikati kuna sehemu nikaiona ikiwa na moto mwingi sana
“Pale ni wapi?”
“NI KWENYE ZIWA LA MOTO,WALE WOTE AMBAO WANAFANYA MAOVU WANAPELEKWA KULE.NA SIKU YA MWISHO WA DUNIA MOTO UTAONGEZEKA MARA DUFU”
“Mmmmm naweza kwenda kupaona?”

Nape Nnauye: Mungu Aliniokoa na Mdomo wa Bunduki ya Wanyama Wasiopenda Haki Tanzania

$
0
0
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amezungumzia tukio la kutishiwa bastola wakati akitaka kuzungumza na waandishi wa habari nje ya Hoteli ya Protea lililotokea baada ya kuachwa katika mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.

Katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Nape amekumbushia tukio hilo la Machi 23, 2017 na kuandika,“mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo Mwenyezi Mungu aliniokoa na mdomo wa bunduki wa wanyama wasiopenda haki! Mungu mkubwa, mbegu ya haki haifi.”

Katika ujumbe huo Nape aliweka picha yake ya video akizungumza na waandishi wa habari nje ya hoteli hiyo kueleza masuala mbalimbali, huku akiwataka vijana kudai haki zao bila woga.

Mtu aliyemtishia bastola Nape alikuwa pamoja na wenzake wawili ambao kwa pamoja walikuwa wakimlazimisha arudi kwenye gari lake na kuondoka, lakini mbunge huyo aligoma na ndipo (mtu huyo) aliporudi nyuma na kuchomoa bastola kutoka kiunoni  kisha kumtishia kabla ya kutulizwa na mwezake.

Baada ya tukio hilo watu hao walitoweka eneo hilo muda mfupi baadaye.

Kufuatia tukio hilo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba alisema mtu aliyemtishia bastola Waziri huyo wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hakuwa askari wa Jeshi la Polisi.

Soma: Mwigulu: Aliyemtishia Nape bastola si polisi

Mwigulu alieleza hayo baada ya kufungua mkutano wa kazi wa mwaka wa maofisa waandamizi wa polisi, makamanda wa mikoa na wakuu wa vikosi wa Jeshi la Polisi  uliofanyika mjini Dodoma.

Hata hivyo, Mwigulu alikataa kueleza kwa undani kuhusu mtu huyo kwa kubainisha anatoka taasisi gani wala jina lake.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya March 25

Waziri Mkuu Awataka Vijana Wafanye Kazi Kwa Bidii Na Maarifa........Asisitiza kwamba kazi ndiyo msingi wa maendeleo

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wafanye kazi kwa bidii na maarifa kwa sababu kazi ndiyo msingi wa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.

Pia amewasihi wananchi wanaoishi katika maeneo ya mipakani wahakikishe suala la kulinda mipaka hiyo linapewa kipaumbele ili kuimarisha amani na utulivu nchini.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo jana (Jumamosi, Machi 24, 2018) wakati akizungumza na wananchi alipowasili katika uwanja wa ndege wa Nachingwea.

Waziri Mkuu ambaye yuko wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili amesema ili vijana waweze kupata maendeleo lazima wafanye kazi kwa bidii.

Pia Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwakumbusha wananchi wanaoishi katika maeneo ya mipakani washirikiane na Serikali katika kuimarisha ulinzi na usalama.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amekagua ukarabati wa kituo cha afya cha Kata ya Mbekenyera na kuwaeleza wananchi dhamira ya Serikali ya kuwahudumia.

Amesema Serikali imetoa sh. milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya kujifungulia, maabara, wodi ya wanawake na wanaume na chumba cha upasuaji.

 “Serikali imeamua kuimarisha sekta ya afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya afya ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya karibu na makazi yao.”

Aidha, Waziri Mkuu amewataka wananchi hao waendelee kuiunga mkono Serikali yao, ambayo imedhamiria kuwatumikia ili waweze kupata maendeleo.

Pia, Waziri Mkuu amekabidhi gari la kubeba wagonjwa katika kituo hicho. Gari hilo limetolewa na Rais Dkt. John Magufuli ili kuimarisha huduma za afya kituoni hapo.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, MACHI 24, 2018.

Mamilioni waandamana kutaka udhibiti wa bunduki Marekani

$
0
0
Mamilioni ya watu waliandamana katika miji mbalimbali ulimwenguni kote siku ya Jumamosi kushinikiza mageuzi katika sheria zinzohusu umiliki wa bunduki.

Kilele cha maandamano hayo yaliyopewa jina la March for our lives, ulikuwa ni mkutano uliohudhuriwa na takriban watu nusu milioni katika mji mkuu wa Marekani, Washington DC.

Maandamano hayo yalipangwa na shule ya upili ya Marjorie Stoneman Douglas mjini Parkland, jimbo la Florida, ambako watu wapatao 17, wakiwemo wanafunzi 14 walipoteza maisha yao kufuatia shambulizi la bunduki kwenye shule hiyo mapema mwaka huu.

Zaidi ya maandamano 800 yalikuwa yamepangwa kufanyika katika miji kadhaa ya Marekani na sehemu nyingine duniani kote, sambamba na yale ya mjini Washington DC.

Mashambulizi ya kutumia bunduki zenye nguvu, hususan kwenye shule Marekani yamezua mjadala mkali, huku wanasiasa wakitofautiana kuhusu hatua za kudhibiti matukio hayo.

Wanaharakati na wasanii maarufu walihudhuria maandamano hayo, wakiwemo wanamuziki Jennifer Hudson, Ariana Grande, Demi Lovato na Miley Cyrus.

Mjukuu wa mtetezi maarufu wa haki za binadamu Martin Luther King Jr, alishangiliwa kwa shangwe na vigelegele aliposimama kuhutubia mkutano wa Washington. Yolanda Renee King III alisema kizazi cha sasa ndicho kitaleta mabadiliko yanayohitajika.

"Na itoshe! Na itoshe!" alisema msichana huyo.

Kundi kubwa la waandamanaji baadaye lilionekana nje ya ikulu likibeba mabango licha ya kuwa rais Donald Trump hakuwemo wakati huo. Baadaye waliyaweka mabango yao chini na kuyaacha nje ya uzio wa ikulu kama ishara kwamba walitaka rais Trump asome ujumbe wao.

Waziri Kalemani Aipa TANESCO Miezi Mitatu Ianze Kununua Mita za Luku za Wazalishaji wa Ndani

$
0
0
Waziri wa Nishati, Dk Merdard Kalemani amesema Serikali itafanya tathmini ya mahitaji ya mita za luku kabla ya kupiga marufuku uagizaji mita hizo kutoka nje ya nchi.

Amesema tathmini hiyo itafanyika kwa siku 90 kuanzia jana Jumamosi Machi 24, 2018 baada ya hapo hakutakuwa na uagizaji wa mita hizo kutoka nje kutokana na uzalishaji ulioanza kupitia viwanda vya ndani.

Ametoa kauli hiyo jana  Machi 24, 2018 wakati wa ziara katika kiwanda cha kutengeneza mita za umeme wa luku cha Baobab Energy System Tanzania (Best).

Kiwanda hicho kimeanza kutengeneza mita za aina hiyo Machi 15, 2018 kikianza na uzalishaji wa wastani wa mita hizo 1000 kwa siku zinazotumika kwa wateja wa kawaida.

Polisi Afariki Dunia Baada ya kumgonga Mtembea kwa Miguu

$
0
0
Askari polisi wa Kituo cha Babati mkoani Manyara, Boniface Masunga (32) amefariki dunia baada ya baiskeli aliyokuwa akiendesha wakati akielekea kazini kumgonga mtembea kwa miguu.

Baada ya kumgonga mtu huyo, askari huo aliangukia  kichwa na kufariki dunia papo hapo.

Akizungumza jana Jumamosi Machi 24, 2018, Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Manyara, Agostino Senga alisema tukio hilo limetokea Ijumaa katika barabara kuu ya Babati-Singida.

Alimtaja aliyegongwa kuwa ni Awadhi Ashraf (20) mkazi wa mjini Babati na kwamba, chanzo cha ajali hiyo ni Ashraf ambaye ni fundi ujenzi kuingia barabarani bila kuchukua tahadhari.

"Huyo fundi alikuwa anaingia kwenye barabara kuu ya lami bila kuchukua tahadhari, hivyo akagongwa na baiskeli aliyokuwa anaendesha polisi huyo," alisema Kamanda Senga.

"Tukio hilo lililotokea ghafla sana kwani alivyomgonga aliangukia kichwa na kuanza kutokwa damu masikioni.”

Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo walishangazwa na ajali hiyo kwani hawajawahi kuona mtu akagongwa na baiskeli na mwendeshaji kufa.

Brown Kaamua Kuifuta tattoo ya Jacqueline Wolper mwilini mwake

$
0
0
Brown pamoja na muigizaji Jacquline Wolper walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa muda mfupi na baadae wawili hao waliachana ila katika mahusiano hayo kabla ya kuvunjika Brown alichora tattoo ya jina la Jacqueline Wolper na kuandika“I Love Wolper” katika kifua chake

Ila kwa sasa ameonekana kuifuta tattoo hiyo yenye jina la Wolper na kuchora kitu kingine hii ni kutokana na tetesi ambazo zimekuwa zikiendelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa muigizaji Nisha Bebe ana mahusiano ya kimapenzi na Brown.

Kupitia Instagram account ya Nisha Bebe amepost picha ya kifua cha  Brown na kuonyesha tattoo yake mpya na kuandika caption inayosomeka

"😢 hakuna kitu kinauma kama kufuta tatoo he said nataka kumwakilisha mwanamke anayetoka machozi kila siku kabla hajakutana na soldier na yeye ni tofauti na wengine wote, soldier atafuta machozi hayo 😢i told him acha tu sitaki uumie #BACHELA"

Wajasiriamali Wanawake 600 Wapata Mikopo Isiyo na Riba

$
0
0
Na Ferdinand Shayo,arusha.
Serikali mkoani Arusha kwa kushirikiana na wafanyabiashara, wametoa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya milioni 120 Kwa wajasiriamali wadogo wanawake 600 hatua ambayo itawasaidia kujikwamua kiuchumi.

Waziriwa Sera, Bunge, Kazi, Vijana,Ajira na Walemavu  Jenister Muhagama, akikabidhi mikopo hiyo jana jijini Arusha alisema serikali itaendelea kuwakwamua wanawake kiuchumi, hii inatokana na asilimia kubwa ya utafiti kuonyesha wanawake ndio wengi wanakabiliwa na changamoto zakutokuwa na ajira .

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alisema kuwa huo ni mwendelezo wakuwasidia wananchi wa hali ya chini wasiokopesheka na benki kutokana na uwepo wamasharti magumu hivyo mkopo huo utawasaidia kujikwamua kiuchumi.

Baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo Marrygoreth Leonard alisema itawainua kutoka hatua moja hadi nyinge na kujikwamua kiuchumi,

Wadau waliofanikisha mikopo hiyo akiwemo Mfanyabiashara Willbard Chambulo,  waliahidi kuendelea kuwasaidia wanawake hao ili kupunguza umasikini katika kaya nyingi za wakazi wa jiji la Arusha.

Mikopo hiyo ni sehemu ya marejesho ya zaidi ya milioni mia tatu zilizotolewa kwa waendelesha bodaboda katika mkoa wa Arusha ambazo wameshazirejesha.

Jeshi la Polisi Mwanza Latoa ONYO Kali kwa Wanaohamashana Kuandamana

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza  limewaonya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaotumia vibaya mitandao hiyo kufanya uhalifu ikiwemo kuhamasisha maandamano haramu
 
Kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Naibu Kamishina Ahmed Msangi ametoa onyo hilo hii  jana wakati akizungumza na askari waliokuwa kwenye mazoezi mbalimbali yaliyofanyika katika uwanja wa polisi Mabatini Jijini Mwanza.

RPC Ahmed Msangi alisema; "Kuna watu wanapeana vihabari vya kwenye mitandao ya kijamii wafanye uhalifu na uhalifu wenyewe ni wa kufanya maandamano au mkutano usiokuwa na taarifa na kiukweli imepigwa marufuku"

Aidha, RPC Msangi wamewataka Polisi kufanya uchunguzi ili kuwabaini wanaoshinikiza hayo na kisha kuwahoji na kujua nia yao ya kutaka kufanya hivyo ni ipi

Baadhi ya askari walioshiriki mazoezi hayo wameeleza kwamba yanawasaidia kuwa imara wakati wote na hivyo kutimiza vyema majukumu yao.

Serikali: Tanzania ni ya pili Soko la filamu baada ya Nigeria

$
0
0
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo amewataka Watanzania kutumia vizuri fursa za masoko ya filamu kwaajili ya kujiingizia kipato kwasababu Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa filamu Africa ikitanguliwa na Nigeria.

Akiongea kwenye kikao na wadau wa filamu mkoani Shinyanga Bi. Fissoo amesema ni lazima waigizaji watumie fursa zinazotengenezwa na Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo kwenye eneo la masoko ya filamu.

''Tunapozungumzia filamu Tanzania ni ya pili baada ya Nigeria, na ukizungumzia Tanzania pia Shinyanga ipo ndani yake kwahiyo hii ni fursa kwenu ambapo bodi ya filamu na Wizara zinashirikiana kuhakikisha kazi za sanaa zinapata masoko'', amesema.

Aidha Katibu Mtendaji huyo wa bodi ameweka wazi kuwa Bodi hiyo imekuwa ikifuatilia kila hatua ya wasanii ndio mana siku za hivi karibuni ilimlipia tiketi ya ndege msanii mkongwe wa filamu Monalisa kwenda kwenye sherehe za Tuzo huko nchini Ghana.

Monalisa alichaguliwa kuwania tuzo ya mwigizaji bora wa kike Afrika kwenye tuzo za The African Prestigious Awards zinazotolewa nchini Ghana. Msanii mwingine ni Vicent Kigosi maarufu Ray ambaye naye alikuwa anawania kipengele cha mwigizaji bora wa kiume.

Donge Nono Latangazwa kwa Watao Waanika Wanaong'oa Alama za barabarani

$
0
0
Serikali imetangaza kutoa zawadi kiasi cha fedha kwa wananchi watakaosaidia kutoa taarifa za siri za kuwafichua watu wanaong’oa alama za barabarani na kuisababishia hasara kutokana na urejeshaji wake.

Ofa hiyo imetangazwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa, baada ya kukagua ukarabati wa eneo la Nyahua ambalo lilikuwa limekatika kutokana na maji ya mvua na kukata mawasiliano kati ya Itigi na Tabora.

“Meneja wa TANROADS nafikiri tuanze kutoa kiasi fulani cha fedha kwa mtu anayetusaidia kutoa taarifa za siri kwa watu wanaong’oa alama za barabarani ili tukomesha tatizo” alisema Naibu Waziri kwenye hotba yake akiwa Nyahua Uyui.

Waziri Kwandikwa amesema lengo la kutoa fedha ni kukomesha vitendo hivyo ambapo Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kuweka alama za barabara ili kuepuka ajali kwa watumiaji lakini baadhi ya watu wamekuwa waking’oa alama hizo kwa ajili ya kwenda kuziuza kama vyuma chakavu.

Takribani alama zipatazo 78 zenye thamani ya shilingi milioni 27 katika kipande cha barabara ya urefu wa kilometa zipatazo 80.6 kutoka Tabora hadi Nyahua wilayani Uyui zimeng’olewa.

Maalim Seif Amlipua Profesa Lipumba

$
0
0
Mgogoro wa uongozi ndani ya CUF unaendelea kukitikisa chama hicho baada ya jana katibu mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad kusema Profesa Ibrahim Lipumba hana uwezo wa kumfukuza uanachama huku akimwambia, “Sifukuziki.”

Maalim Seif alitoa kauli hiyo jana katika kongamano la kujadili mwenendo wa CUF lililofanyika Tandale jijini Dar es Salaam, kumjibu Profesa Lipumba ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Kauli ya makamu huyo kwa kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) mwaka 2010 hadi 2015, imekuja siku mbili baada ya Profesa Lipumba kusema Maalim Seif atajadiliwa na kamati ya maadili na nidhamu ya chama hicho kwa utovu wa nidhamu na kudhoofisha CUF.

Katika kile kilichoonekana kumjibu Profesa Lipumba, katibu mkuu huyo alisema kamwe hatakwenda kuhojiwa kwenye kamati hiyo aliyodai ni haramu akisema ipo kinyume cha sheria na taratibu za chama hicho.

“Nitabaki kuwa katibu wa chama hiki hadi uchaguzi wa CUF utakapofanyika mwakani. Kamati ya maadili inamwita Seif, Seif yupi? Siwezi kuungana na wasaliti hata siku moja na wasijisumbue,” alisema.

Alidai kwamba kuna mipango inaratibiwa ya kumfukuza katika wadhifa wake ili nafasi hiyo apewe kiongozi mmoja wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ).

“Kiongozi huyo akiwa katibu mkuu, atapata fursa ya kugombea urais wa Zanzibar lakini ninawaeleza kamwe hawawezi kufanikiwa,” alisema Maalim Seif.

Akijibu madai hayo, mkurugenzi wa habari na mawasiliano kwa umma (CUF Lipumba), Abdul Kambaya alisema anachokifanya katibu mkuu huyo ni sawa na kupiga ramli akisema kitendo chake cha kutofika ofisi za chama hicho, sawa na kujifukuza.

“Maalim Seif alishajifukuzisha CUF kwa sababu hafiki ofisini Buguruni. Kwa hiyo hatuwezi kufukuzana na kulumbana na kivuli chetu wenyewe,” alisema.

Katika kongamano hilo, Maalim Seif pia aligusia jinsi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ulivyompokea aliyekuwa mgombea urais wa Chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Edward Lowassa na kubainisha kuwa Profesa Lipumba alishiriki kumleta, jambo ambalo mara kadhaa msomi huyo amekuwa akilikanusha.

Pia, Maalim Seif alisema hivi karibuni atafanya ziara kisiwani Pemba na kusema anataka kujihakikishia kama kweli Profesa Lipumba ana wafuasi wengi kisiwani humo kama alivyodai baada ya ziara yake mwezi uliopita.

“Ninawataka wanachama wa CUF kuendelea na mshikamano maana haki itapatikana. Mjitokeze kwa wingi katika kesi zinazoendelea mahakamani. Tuamini kuwa haki itatendeka,” alisema Maalim Seif.

Kongamano hilo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CUF (upande wa Maalim Seif), akiwemo mkurugenzi wa uchaguzi, Sheweji Mketo na naibu katibu mkuu, Joran Bashange na madiwani.

Katika kikao cha baraza la uongozi kilichofanyika Machi 22, Profesa Lipumba alidai kuwa Maalim Seif ameidhoofisha CUF kwa kuwakumbatia viongozi wa Chadema na kutotekeleza azimio la Baraza Kuu la kufungua kesi Mahakama Kuu ya Zanzibar kupinga kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa wawakilishi na madiwani ambao alisema walikabidhiwa hati za ushindi wa majimbo na Shehia zao katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

PICHA:Rais Magufuli Ashiriki Ibada Ya Jumapili Ya Matawi Kanisa La Mtakatifu Petro Oysterbay Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakipeana amani na Masista wa Kanisa Katoliki walipojumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli akishukuru baada ya kupokea Sakramenti takatibu wakati wa Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images