Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Programu za vyuo vikuu ambazo hazijasajiliwa na TCU na NACTE kufutwa

Na: Lilian Lundo -Maelezo Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete Aongoza Kikao Cha Halmashauri Kuu Ya Taifa Ya CCM Mjini Dododma Leo...

JAKAYA Kikwete, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) anayemaliza muda wake amemtahadharisha mwenyekiti mtarajiwa wa Chama hicho John Magufuli kwa kumweleza kuwa uenyekiti ndani ya CCM siyo lelemama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya Jeshi la Polisi Dar es Salaam Baada ya Kumalizika kwa zoezi la...

Jeshi la Polis kanda Maalumu jijini Dar es salaam limekamata watuhumiwa sugu 1,065 kwa makosa mbalimbali yakiwemo unyang’anyi wa kutumia nguvu, wizi wa maungoni, wapiga debe, wavuta bangi, kikosi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi ya July 23

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa dharura Dar es Salaam

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), itakutana kwa dharura, jijini Dar es Salaam, chini ya Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe, ambapo pamoja na masuala mengine, itapokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari Polisi Auawa Kwa Kupigwa Risasi akiongoza magari usiku Kijitonyama Dar...

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Sajenti Mensah wa Kituo cha Polisi Oysterbay ameuawa usiku wa kuamkia leo  kwa kupigwa risasi akiwa kazini eneo la Sayansi Kijitonyama jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uamuzi wa Bodi ya Mikopo kuhusu Wanafunzi ambao hawajarejesha mikopo yao hadi...

Mnamo mwezi Machi, 2016, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilitoa notisi ya siku 60 ikiwataka wanufaika wa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kujitokeza na kuanza kurejesha mikopo yao....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo wote Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Watumbuliwa MAJIPU

SERIKALI imemuondoa katika nafasi yake Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), Gerald Kamwenda na wakurugenzi wenzake, katika jitihada za kufumua na kusuka upya shirika hilo.Waziri wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama...

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi ya Wizara ya Elimu kuhusu wanafunzi Wa Vyuo Vikuu wanaotakiwa kwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kufunguliwa Kwa Mfumo Wa Udahili Wa Pamoja (CAS)...

Baraza linapenda kutoa taarifa kuwa Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) umefunguliwa tena kuanzia tarehe 22 Julai 2016 ili kujaza nafasi za udahili zilizo wazi baada ya Baraza kuchagua waombaji udahili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mo Dewji kugawa nusu ya mali zake kwa Watu Masikini

MKURUGENZI Mtendaji wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL Group), Mohammed Dewji, ameungana na matajiri wakubwa duniani, kutangaza azma ya kugawa nusu ya mali zake kusaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2

Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi. Hiyo Riwaya bado inaendelea na ndo kwanza imefikia patam. Wakati tukiendelea na Riwaya hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Kenya yamtimua Koffi Olomide Kwa kumpiga mnenguaji wake wa kike

Serikali ya Kenya mapema leo imechukua uamuzi wa kumtimua mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Koffi Olomide kufuatia tukio alilolifanya jana la kumpiga mnenguaji wake wa kike katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ntahakikisha Serikali inahamia Dodoma :Rais Dkt.Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  amesema katika kipindi cha uongozi wake atahakikisha Serikali inahamishia makazi yake mjini Dodoma.Amesema hayo leo, wakati alipokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Rais Magufuli Alivyochaguliwa Kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM Kwa Kura Zote

Mwenyekiti aliyemaliza Muda wake Dkt Jakaya Kikwete pamoja na Mwenyekiti mpya wa chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli wakiwapungia mkono Wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokiandika Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli kupewa uenyekiti wa CCM

Jana July 23 2016  Rais John Pombe Magufuli alikabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM   baada ya kupigiwa kura za ndio 2398  kutoka kwa wanachama wa chama hicho ambapo hakuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM

MWENYEKITI wa tano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli, amewaomba wanachama wa chama hicho kumuombea kwa Mungu ili apate uvumilivu wa mtangulizi wake, Mwenyekiti mstaafu, Jakaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana Ajiuzulu..........Achaguliwa Tena mbele ya Mkutano Mkuu Kuwa Katibu...

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo kwa Mwenyekiti mpya wa CCM, Rais John Magufuli, lakini Rais amekataa barua yake hiyo.Badala yake, Rais Magufuli amemtaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa na Sumaye Wapewa MAKAVU Ndani ya Mkutano wa CCM .........Mpendazoe...

VIGOGO mashuhuri wa Chadema waliowahi kuwa mawaziri wakuu; Edward Lowassa na Frederick Sumaye, jana waligeuka gumzo ndani ya Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumchagua Rais John...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>