Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benard Membe Akaribishwa CHADEMA

Waziri wa zamani wa Mamboya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amekaribishwa kujiunga na Chama Cga Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikiwa ni siku chache tangu atoe maoni yake akiikosoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Membe Azungumzia Mpango wa Kustaafu Siasa..... Aanza Kuandika Vitabu Kama...

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema hana mpango wa kustaafu siasa kwa sababu haina mwisho.Pia, amesema kwa sasa anafanya kazi ya uandishi wa vitabu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama Vya Siasa Vyaaswa Kushiriki Uchaguzi Wa Zanzibar

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi ameviasa Vyama vya Siasa kushiriki chaguzi zinazotangazwa na tume za uchaguzi nchini ikiwemo uchaguzi wa Machi 20, mwaka 2016 uliotangzwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Ya Ufafanuzi Kuhusu Malipo Ya Umeme Kwa Askari Polisi

Katika gazeti la Tanzania Daima ukurasa wa 5, toleo namba 4070 la tarehe 25 Januari, 2016, lilichapisha habari yenye kichwa cha habari Polisi “waisoma” namba. Sehemu ya taarifa hiyo inaeleza kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa wanaofanya kazi kinyume na maadili.Akiongea na mwandishi wa habari hii leo Jijini Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema Yaishushia Tuhuma CCM Kwa Udhalilishaji

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani vitendo vya vurugu vinavyochochewa na viongozi wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Kauli hiyo imetokana na kitendo kilichotokea jana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idara Ya Uhamiaji Yaja Na Hati Mbili Za Muda Mfupi Kwa Wageni.

Idara ya Uhamiaji imeanzisha hati mbili ambazo zitatumika kwa wageni wanaoingia na wanaotoka nje na kuondokana na hati ya awali ya muda mfupi (CTA).Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF Kuandamana Kesho

VIJANA wa Chama cha Wananchi kupitia jumuiya yao (JUVI-CUF) wameweka msimamo kuwa ‘iwe iwavyo’ watafanya maandamano kesho visiwani humo kwa kuwa ni haki yao kufanya hivyo licha ya Jeshi la Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe ahoji askari wa Bara kupiga kura Z'bar.

MBUNGE wa Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ), Freeman Mbowe ameibana serikali leo na kutaka ieleze ni kwanini askari wa jeshi kutoka bara wanapelekwa Zanzibar kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 27

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Lake Oil Yakamuliwa Bilioni 8.5 Kwa Kuingiza Mafuta Na Kukwepa...

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), imetoa onyo kwa taasisi nyeti nne hapa nchini ikiwemo wanaohusika na matumizi ya fedha za Umma kufuata sheria, taratibu na kanuni....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakimu Agoma Kujitoa Kesi ya Kulawiti

Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Said Mkasiwa amekataa kujitoa katika kesi ya kulawiti na kutuma picha kwenye mitandao ya kijamii inayowakabili washitakiwa Erick Kassira...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa UKAWA Kutoa Msimamo Wao Juu ya Suala la Zanzibar

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema utatoa msimamo juu ya hali ya siasa ya Zanzibar baada ya kikao cha kamati tendaji kuketi na kutoa msimamo. Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Andrew Chenge Achaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa Bunge.....Asema Suala La Escrow...

MBUNGE wa Bariadi, Andrew Chenge na wabunge wawili wa Viti Maalumu, Dk Mary Mwanjelwa na Najma Giga, wamechaguliwa kuwa Wenyeviti wa Bunge kwa kipindi cha miaka miwili na nusu.Uchaguzi huo ulifanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada Ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa  na  kijana  mwenzake.Akizungumzia  tukio hilo, Kamanda wa Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotel ya Mtoto wa Amani Karume yateketea kwa moto, Vijana wawili wahusishwa

Moto mkubwa umeteketeza hoteli ya kitalii ya Konokono Beach Resort iliyoko Michamvi mkoa wa kusini Unguja, inayomilikiwa na mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, Amina Karume pamoja na wawekezaji wawili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Kitwanga Aanika Siri Ya Kutumbuliwa Kwa Vigogo wa Mamlaka ya...

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) waliokumbwa na ‘operesheni tumbua majipu’, walikutwa na mali nyingi “kupita maelezo”, kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wapambe Wa Wassira Kukata Rufaa Kupinga Hukumu Ya Mahakama Kuu Iliyohalalisha...

Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mwanza, kuipiga chini kesi iliyokuwa ikimkabili mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), Esther Bulaya, wadai katika kesi hiyo wanatarajiwa kupinga uamuzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hausigeli Afariki Kwa Kulawitiwa Na Bosi Wake

Mtumishi  wa nyumbani mwenye umri wa miaka 23, aliyekuwa akifanyakazi katika nyumba iliyo eneo la Mwika-Mrimbo, Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, amekufa kwa madai ya kulawitiwa na bosi wake, Zablon...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio Mbalimbali Ya Bunge Leo Mjini Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majalliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama Buneni mjini Dodoma Januari 27, 2016. Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia)  akimwapisha Waziri wa Elimu ,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>