Mhandisi George Sambali Ateuliwa Kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa Mamlaka ya...
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mh. Profesa Makame Mbarawa amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Mhandisi George Sambali kukaimu nafasi...
View ArticleAndrew Chenge Ateuliwa Kuwania Uenyekiti wa Bunge
Kamati ya Uongozi ya Bunge imepitisha majina matatu ya wabunge watakaowania nafasi ya uenyekiti wa Bunge.Majina hayo yamepitishwa na kamati hiyo iliyoketi jana kuanzia saa 3.00 asubuhi hadi saa 7.00...
View ArticleSakata la ESCROW: Magufuli mkamate Seth wa IPTL
JUMUIA ya Wanazuoni Watetezi wa Rasilimali nchini (JUWARA), imewataka wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania linalotarajia kuanza rasmi vikao vyake vya kujadili hotuba ya Rais aliyoitoa...
View ArticleEsther Bulaya Ashinda Kesi Ya Kupinga Ushindi Wake Iliyofunguliwa na Stephen...
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imetupilia mbali kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na wapambe wa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya CCM, Stephen Wassira kwa madai kuwa waleta...
View ArticleRais Magufuli Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa NIDA......Awarudisha Nyumba...
1.0 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)1.1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, ametengua uteuzi wa Bwana Dickson E. MAIMU, Mkurugenzi...
View ArticleDiamond Platnumz: Baada Ya Nape Nnauye Mimi Ndo Waziri wa Habari Na Michezo...
Diamond Platnumz amesema akiachana na muziki anataka kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana.Akizungumza katika kipindi cha Papaso cha...
View ArticleKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Rwegasira Ataka...
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira amewataka viongozi wakuu wa Jeshi la Polisi nchini kuhakikisha wanawachukulia hatua kali askari polisi wenye tabia ya...
View ArticleTamko La Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini
Tamko La Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini Lililotolewa Na Mhe. Ummy Mwalimu (mb); Waziri Wa Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia, Wazee Na Watoto______________________Wizara...
View ArticleDaraja La Kigamboni Kuanza Kutumika Machi Mosi
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano sehemu ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga amesema daraja la Kigamboni litaanza kutumika kuanzia Machi mwaka huu.Akizungumza mara baada ya kukagua...
View ArticleMbunge wa CHADEMA Atimuliwa Kwenye kikao na Polisi
Mbunge wa Kilombero, Peter Elijualikali jana alijikuta akitolewa nje ya kikao cha Halmashauri ya Kilombero na jeshi la polisi kwa amri ya Mwenyekiti wa kikao hicho kwa madai kuwa sio mjumbe halali wa...
View ArticleWaziri Lukuvi Awapa Manispaa Siku 30 kubomoa Ghorofa Hili Lililojengwa Chini...
Jengo refu lilojengwa chini ya kiwango lililopo katika mtaa wa Indiraghandi jijini Dar,kama lionekanavyo pichani.WAZIRI wa Nyumba, Ardhi na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewaagiza watendaji wa...
View ArticleRais Magufuli Ampongeza Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amempongeza Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Ban...
View ArticleWatumishi wa Umma Wahimizwa Kuvaa Beji Zianazoonesha Majina Yao.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ameagiza na kusisitiza ofisi zote Umma kusimamia na kuhakikisha kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu kila watumishi awe na kitambulisho (beji)...
View ArticleSakata la Vigogo Watatu NEMC Waliosimamishwa na Mh. January Makamba Kazi...
Sakata la maofisa watatu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), waliosimamishwa kazi kwa tuhuma ya kukiuka miiko yao ya kazi, limechukua sura mpya, baada ya Waziri wa Nchi,...
View ArticleBunge la 11 Linaanza Leo.....Haya ni Mambo 8 Yatakayowasha Moto Bungeni
Kikao cha pili cha Bunge la kumi na moja linalotarajiwa kuwa na ushindani mkali wa hoja kati ya wabunge wa vya upinzani vinavyounda Ukawa na wabunge wa CCM kimeanza leo mjini Dodoma huku mambo 8 muhimu...
View ArticleMama Amuua Mwanae Kwa Kichapo Na Kisha Kuitundika Maiti Yake Mtini
Mtoto wa miaka 11, Nchambi Tungu, ameuawa kikatili na mama yake mzazi kwa kuchapwa fimbo kisha kumfunga kamba shingoni na kumning’iniza kwenye tawi la mwembe ili ionekane kuwa amejinyonga...
View ArticleWaziri Simbachawene Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. George Simbachawene amemvua madaraka Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Dodoma, Bw. Augustino Kalinga kufuatia...
View ArticleKampuni Ya UDA Yakanusha Kufilisika
Kumekuwepo na taarifa za uwongo kwenye vyombo vya habari, hasa kijarida cha Dira ya Mtanzania, na mitandao ya kijamii kuhusu uongo kuwa kufilisika kwa Shirika la Usafiri Dar Es Salaam (UDA)...
View ArticleMwanafunzi Wa Chuo Cha IFM Afikishwa Mahakamani Kwa Kumwingiza Mtoto Vidole...
Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Mussa Msafiri (23), alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jana akituhumiwa kumwingizia vidole sehemu za siri mtoto mwenye...
View Article