Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Serikali haijazuia matumizi ya barakoa

 Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo ameungana na Waumini wa Parokia ya Mtakatifu Petro, Oysterbay Jijini Dar es Salaam kusali Misa Takatifu ya Jumapili (Dominika ya 1...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Februay 22

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso Aagiza Kukamilishwa Kwa Mradi Wa Maji Mabokweni

 Serikali imesema itahakisha miradi ya maji inakamilika kwa wakati kwa kuwezesha upatikanaji wa rasilimali fedha ili jamii iweze kunufaika na huduma ya maji safi na salama kupitia mradi wa maji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maji Ya Kufua Umeme JNHPP Kujazwa Novemba 2021

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani jana  tarehe 21 Februari, 2021 katika ziara yake kwenye mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere megawati 2115, amesema zoezi la kujaza maji ya kufua umeme katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndege Kudhibiti Nzige Longido Na Simanjiro- Waziri Mkenda

Serikali imesema imechukua hatua za kutumia ndege kunyunyiza viuatilifu (sumu) ili kuua makundi ya nzige wa jangwani ambao wamevamia maeneo ya wilaya za Simanjiro na Longido na kuhatarisha ustawi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Bashungwa Atoa Onyo Kwa Wanaotumia Vibaya Mitandao Ya Kijamii

Na Eleuteri Mangi- WHUSM, ArushaWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ameonya watumiaji wa mitandao ya kijamii kinyume na Kanuni ya Maudhui Mtandaoni za 2018 ambazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Stendi Mpya ya Mabasi Mbezi Luis kuanza kutumika February 25

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Aboubakar Kunenge amesema kituo Kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi cha Mbezi Luis kitaanza rasmi kutoa huduma Februari 25, 2021, na kituo mabasi cha Ubungo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waalgeria waomba kuutumia Uwanja wa Mkapa kuwakabili Mamelodi Sundowns

 Timu ya CR Belouizdad ya Algeria imeomba kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchi Tanzania kuutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar Es Salaa kama kiwanja chake cha nyumbani kwaajili ya mechi ya Ligi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msimamo Wa Ligi Kuu Bara Upo Hivi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gavana mstaafu Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Benno Ndullu afariki Dunia

 Gavana mstaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu (71) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 22 katika hospitali ya Hubert Kairuki Memorial University alipokuwa amelazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Akabidhi Magari Mawili Polisi Mkoa Wa Lindi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekabidhi magari mawili kwa ajili ya matumizi ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi yatakayowezesha askari kutoa huduma katika maeneo ya mkoa huo.Amekabidhi magari hayo jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daraja La Mwasonge Kuunganisha Misungwi Na Nyamagana - Mwanza

Na. Erick Mwanakulya, Mwanza.Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), mkoani Mwanza umedhamiria kuunganisha Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Nyamagana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Programu Rununu ya Anwani za Makazi na Postikodi Kunufaisha Sekta Mtambuka

Na Faraja Mpina, WMTHWizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imewakutanisha wadau mbalimbali wa Anwani za Makazi na Postikodi ili waweze kutoa maoni kuhusu ujenzi wa Programu Rununu ya Anwani za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara Ya Afya Yawataka Wananchi Kuendelea Kuchukua Tahadhari Dhidi ya Virusi...

 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewasihi na kuwasisitiza zaidi wananchi kuzingatia tahadhari zote ikiwemo uvaaji wa barakoaTaarifa hiyo iliyotolewa  Jumapili, Februari 21,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu Wanne Watiwa mbaroni kwa Kueneza Uvumi Na Kutia Hofu Wananchi Kuhusu Corona

 Jeshi la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi wa vifo vya watu wakidai wamefariki kwa maambukizi ya virusi vya Corona.Kamanda wa Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Wilayani Songea Yatoa Saa 24 Kwa Wafanyabiashara Waliogoma Kurudisha...

 SERIKALI wilayani Songea mkoani Ruvuma imewaagiza wafanyabiashara na wasafirishaji abiria waliogoma kurudisha huduma zao ndani ya saa 24 kuanzia saa tisa alasiri Februari 22,2021.Kaimu Mkuu wa Wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu : Watanzania Tuendelee Kushikamana

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wendelee kushikamana katika kipindi hiki ambacho dunia inamahangaiko makubwa na magonjwa mbalimbali ya maambukizi.”Tuendelee kumtegemea Mwenyezi Mungu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo February 23

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askofu Malekana: Matamko na nyaraka yanatengeneza taharuki katika jamii.

Samirah YusuphBariadi. Imeelezwa kuwa matamko na nyaraka zinazotolewa na viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini inapaswa yatolewe na wizara ya afya kwa sababu matamko hayo yanatengeneza taharuki na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi Nne Kuchunguza Shule Ya Don Bosco – Tanga

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu kutoka Taasisi nne kuchunguza athari za vumbi linalodaiwa kuathiri wanafunzi wa Shule...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>