Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Infinix mbioni kuja na TOLEO Jipya la Infinix HOT -HOT 10 Lenye Kioo Kipana...

Betri yenye ujazo mkubwa kwa matumizi mbalimbali kama vile kucheza games, kuangalia video pasipo hofu ya kuzima ndio mategemeo makubwa tulionayo wadau wa Infinix HOT 10 na hii ni baada ya picha kuvuja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa October 2

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu atakiwa kuripoti kituo cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro - IGP...

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amemtaka mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Tundu lissu kuripoti kituo cha Polisi Moshi Kilimanjaro kutokana na kitendo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trump na Mkewe wakutwa na virusi vya corona

Rais Donald Trump wa Marekani amesema kwamba yeye na mke wake Melania Trump wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye karantini. Ametoa tangazo hilo kwenye mtandao wa Twitter.Tangazo hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TARURA yatekeleza ahadi za Magufuli

Na. Erick Mwanakulya, Kagera.Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), unaendelea kutetekeleza miradi ya Ahadi za Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kukamilisha ujenzi wa Barabara zenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea ubunge jimbo la Bariadi Mhandisi Andrea Kundo aahidi kumaliza...

Samirah Yusuph,MwananchiBariadi, Mgombea ubunge jimbo la Bariadi Mhandisi Andrea Kundo, Ameahidi kumaliza kero ya wanyama( tembo ) kuvamia makazi ya wakazi wa kata ya Gilya na Gibeshi katika wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Dar es Salaam wasitisha wito wa kumuita Tundu Lissu

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya DSM leo October 2, 2020, limesitisha wito wa kumtaka mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania CHADEMA Tundu Lissu kufika kituo cha polisi na badala yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mradi wa Umeme waPamoja wa Tanzania, Burundi, Rwanda Wafikia Pazuri

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu Asimamishwa Kufanya Kampeni Za Uchaguzi Kwa Siku Saba

KAMATI ya Maadili ya Kitaifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Octoba 03

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Marekani Donald Trump Apelekwa Hospitali Baada ya Kupata Corona

Rais wa Marekani Donald Trump jana amepelekwa katika hospitali ya kijeshi kupatiwa matibabu baada ya kukutikana na ugonjwa wa Coreona. Trump amehamishiwa katika hospitali ya Walter Reed saa 17 baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jela Miaka 7 Kwa Kutumia Jina la Waziri Mkuu Kujipatia Fedha

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Issa Mohhamed (27) miaka saba jela katika makosa 11 ikiwemo la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kujitambulisha na kutumia jina la Waziri Mkuu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Bashungwa Akagua Ujenzi Wa Kiwanda Cha Maziwa Karagwe, Aagiza Katibu...

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Riziki Shemdoe kufika kwenye kiwanda cha maziwa kinachojegwa kihanga, Karagwe ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa: Jiandaeni Kutumia Fursa Ya Reli Ya Kisasa Na Bandari Kavu

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amewakata wakazi wa Isaka, wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wawe tayari kutumia fursa ya ujenzi wa reli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Hatuwezi Kuwaacha Wasanii - Majaliwa

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Serikali ijayo ya CCM itaendelea kuwaunga mkono na kuwaendeleza wajasiriamali wakiwemo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sampuli 30,040 Za Udongo Zapimwa Mikoa 18 Kujua Afya Ya Udongo

 Wizara ya Kilimo imefanikiwa kukusanya sampuli za udongo kutoka mikoa 18 ya Tanzania bara kwa lengo la kupima ili kujua tabia za udongo katika maabara ya kituo cha Utafiti wa Kilimo (TARI) Selian hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wamuagiza Mgombea ubunge jimbo la Bariadi kutimiza ndoto ya watoto...

 Samirah YusuphMgombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Bariadi mkoani Simiyu kwa tiketi ya CCM Mhandisi Andrea Kundo amesikitishwa na hali ya watoto wa kike kushindwa kufikia ndoto zao kwa changamoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu Atoa Kauli Baada ya NEC Kumsimamisha Kufanya Kampeni Kwa Siku...

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, uamuzi uliofanywa na Kamati ya Maadili ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kumsimamisha kufanya kampeni siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Maadili - NEC Yasisitiza Adhabu Aliyopewa Tundu Lissu ni SAHIHI na...

Kamati ya maadili ya taifa imesisitiza kuwa adhabu iliyotolewa na kamati hiyo kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe.Tundu Lissu ni sahihi na haruhusiwi kupanda kwenye jukwaa lolote la siasa hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chama Tawala Nchini Kenya Chapendekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto...

Chama cha Jubilee kimependekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto kuondolewa katika nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama hicho.Katibu Mkuu wa Jubilee, Raphael Tuju amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>