Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahamiaji Haramu 32 Wakamatwa Wilayani Pangani

 ASKARI wa Hifadhi ya Taifa ya Saadani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wilayani Pangani wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 32 waliokutwa wakiwa karibu na hifadhi hiyo wakisafirishwa kupelekwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sumaye aishukia CHADEMA, asema hawawezi kuongoza nchi

Na John Walter-Hydom, MbuluWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema vyama vya Upinzani nchini haviwezi kuongoza nchi kwa sababu hawana sera.Ameyasema hayo Leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kusimamisha Mishahara Ya Maafisa Utumishi Watakaosababisha Watumishi...

 Na. James Mwanamyoto-DodomaMaafisa Utumishi watakaozembea na kusababisha Watumishi wa Umma nchini kutolipwa mishahara yao kwa wakati, watasimamishiwa mishahara na Serikali mpaka watakapohakikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana Kagera Watakiwa Kutosubiri Ajira kutoka Serikalini.

Na Avitus Benedicto Kyaruzi,Kagera.Vijana katika halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera wameaswa kutosubiri ajira kutoka  serikalini bali wajikite katika kujiajili haswa katika kilimo,uvuvi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dr Magufuli ahutubia...

PICHA: Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dr Magufuli ahutubia wananchi wa Mbeya mjini 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara za juu kutoka Mwenge kwenda Buguruni katika makutano za barabara ya...

Barabara za juu kutoka Mwenge kwenda Buguruni katika makutano za barabara ya morogoro,Nelson Mandela na Sam Nujoma zaanza kutumika rasmi leo( Picha- MAELEZO) 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HESLB Yatoa Siku Tano (05) Kwa Wahitimu Mafunzo Jkt Kuomba Mikopo

Na Mwandishi Wetu, HESLBBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa siku 5 kuanzia Oktoba mosi hadi 5 mwaka huu ili kuwawezesha wanafunzi waliomaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi October 1

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliokamatwa Kwa Mauaji ya Kada wa CCM Njombe Wakiri Kutenda Kosa

WATU wanne ambao wametiwa mbaroni kutokana na mauaji ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Njombe, Emmanuel Mlelwa, wamedaiwa kukiri kutenda mauaji hayo  kwa mujibu wa upelelezi wa polisi.Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yashinda Kesi Kupinga Muungano wa Tanzania

Mahakama ya Jumuiya Afrika Mashariki imetupilia mbali madai ya kupinga uhalali wa Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yaliyofunguliwa na baadhi ya wanaharakati. Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Tanzania Ni Nchi Kubwa, Inataka Kiongozi Mahiri’

“TANZANIA ni nchi kubwa inazidi kilometa za mraba 947,000. Ina makablia zaidi ya 120 na wakazi wake wanakaribia milioni 60. Inahitaji kiongozi mahiri na mwenye hofu ya Mungu.”Hiyo ni kauli ya Mjumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaridhia kutoa hekari 1,625 kwa wananchi

SERIKALI imeridhia kutoa hekari 1,625 kwa wananchi kutoka katika ardhi inayomilikiwa na Jeshi la Magereza Kijiji cha Ilagala Wilaya Uvinza mkoani Kigoma kwa lengo la kuendeleza kilimo cha zao la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama adaiwa kumchinja mwanae wa miaka saba

 Mtoto wa miaka saba  mwanafunzi wa dasara la tatu Shule ya Msingi Ihumwa ameuawa kwa kuchinjwa shingo na mtu anayedaiwa kuwa ni mama yake mzazi, Grace William (45) kisha kutokomea kusikojulikana.Tukio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bil 5.26/- zatumika kujenga barabara Ngara

 SHILINGI bilioni 5.26 zimetolewa kupitia Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) kwa ajili ya ujenzi na  matengenezo ya barabara katika wilaya ya Ngara, mkoani Kagera.“Kati ya hizo, shilingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili Avionya Vyama vya siasa vinavyotaka kuungana siku ya Oktoba 3 mwaka huu

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini Sisty Nyahoza, ameviasa vyama vya siasa vinavyotaka kuungana siku ya Oktoba 3 mwaka huu, kuacha mara moja mpango huo kwani wanakiuka utaratibu wa sheria na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Usichelewe .....Pakua sasa hivi App Ya Mpekuzi Ikiwa na Maboresho Mapya. Ipo...

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka Usikubali kupitwa na taarifa muhimu zinazoendelea hapa nchini na Duniani  kwa Ujumla . Tumejipanga vizuri sana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa: Tupeni Kiongozi Atakayekuza Mahusiano Na Jirani

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Tanzania inahitaji kuwa na kiongozi ambaye atakuza mahusiano na nchi jirani.“Tanzania inazungukwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Maadhimisho Ya Siku Ya Chakula Duniani

Dodoma, 01 Oktoba, 2020Wizara ya Kilimo inapenda kuwataarifu wananchi na wadau wote wa sekta ya kilimo nchini kuwa Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani yatafanyika kitaifa mkoani Njombe kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Bashungwa Ameruhusu Uuzaji Wa Ethanol Nje Ya Nchi

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Dodoma Yaokoa Zaidi Ya Tsh Bilioni 1

Na Faustine Gimu, DodomaTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Dodoma imeokoa zaidi ya shilingi bilioni moja pamoja na kuzirejesha Serikalini  na kwenye vyama vya Ushirika.Katika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>