Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Idadi Ya Maambuki ya Corona Nchini Kenya Yafika 42

Watu wanne zaidi wameambukizwa virusi vya Corona nchini Kenya na kufikisha idadi ya wagonjwa kufikia 42, wakati huu serikali nchini humo ikiendelea kutekeleza amri ya watu kutotoka nje, ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda Yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya Virusi Vya...

Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona  siku ya Jumapili na kufikisha 70 jumla ya watu wanaougua corona, Wizara ya afya Rwanda imetangaza.Katika hotuba yake kwa taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Idadi ya wagonjwa wa Corona Tanzania Yafika 19

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumia Mwika Kujitibu Busha, Nguvu za Kiume

Mwika ni dawa  ya asili ya nguvu za kiume yenye kutibu matatizo kwa wakati mmoja ;(1)Nguvu za kiume (2) Kunenepesha Maumbile(3)Kuchelewe kufika kileleniYajuwe matatizo yanayosababisha upungufu wa nguvu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meya Manispaa Ya Iringa Ang'olewa Madarakani

Baraza la Madiwani la Manispaa ya Iringa limemwondoa Meya wa Manispaa ya iringa-Chadema Alex Kimbe baada ya kupiga kura ya kutokuwa na imani nae kufuatia tuhuma mbalimbali za matumizi mabaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Yakanusha Kusambaratisha Mkutano wa Katibu mkuu wa Wizara ya Maji,...

TAASISI ya kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na Mamlaka hiyo kusambaratisha mkutano wa Katibu mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara Nne Zaunda Kamati Mzee Kisangani kuwa Bilionea

Issa Mtuwa – DodomaTimu ya wataalam 9 kutoka wizara ya Madini, Wiziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, wizara ya Viwanda na Biashara na Wiziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni...

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) leo tarehe 30 Machi, 2020 amepokea kifaa maalumu cha kunawia mikono kilichotengenezwa na mjasiriamali wa kitanzania ndugu. Jonas Urio (Ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagonjwa Wa Corona Nchini Kenya Wafika 50

Waziri wa Afya wa Serikali ya Kenya Mutahi Kagwe leo Jumatatu Machi 30 ametangaza wagonjwa nane zaidi wa ugonjwa wa virusi vya corona COVID-19 na kufanya idadi ya wagonjwa nchini humo kufikia 50.Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tahadhari Ya Corona: Ratiba Ya Bunge Litakaloanza Kesho Yabadilika

Na.Faustine Gimu Galafoni,DodomaVikao vya Bunge  la bajeti  kuu  vinatarajia kuanza kesho huku utaratibu mpya  ukiwekwa juu ya tahadhari ya Corona ambapo wataruhusiwa kuingia wabunge 150 pekee ukumbini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne March 31

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Mgonjwa Mmoja wa Corona Tanzania Afariki Dunia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzia: Katibu mkuu wa CUF Khalifa Suleiman Khalifa afariki dunia

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Khalifa Suleiman Khalifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne Machi 31 2020 akipatiwa matibabu katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam. .Mwanaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mabula Aridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Hospitali Ya Rufaa Mkoa Wa Mara

Na Munir Shemweta, WANMM, MUSOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyoko Kwangwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 ili...

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametagaza masharti zaidi ya kukabiliana na kuenea kwa virusi vya corona wiki mbili baada ya kupiga marufuku usafiri wa Umma.Katika hotuba yake kwa taifa iliyopeperushwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi Ya Ardhi Mara Kuwezeshwa Vifaa Vya Upimaji

Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaipatia ofisi ya ardhi mkoa wa Mara vifaa vya upimaji ili viweze kutumiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elimu juu ya Ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona itolewe katika...

SALVATORY NTANDUWakazi wa mkoa wa Shinyanga wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria baadhi ya wananchi wanaokaidi maagizo ya Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii,Wazee na Watoto juu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa Dini Rukwa waazimia kupunguza muda wa ibada kujihadhari na Corona

Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Rukwa wamekubaliana kuwa kila dhehebu kulingana na imani zao kuona namna ya kupunguza muda wa kufanya ibada katika misikiti na makanisa mbalimbali ili kukabiliana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halima Mdee Ashauri Wabunge Wote Wapimwe Virusi Vya Corona

Na.Faustine Gimu Galafoni,DodomaMbunge wa jimbo la Kawe jijini  Dar Es  Salaam Mhe.Halima  Mdee ameishauri  Serikali kufanya mchakato wa kupima Corona wabunge wote na watakaobainika wawekwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumia Mwika Kujitibu Busha, Nguvu za Kiume

Mwika ni dawa  ya asili ya nguvu za kiume yenye kutibu matatizo kwa wakati mmoja ;(1)Nguvu za kiume (2) Kunenepesha Maumbile(3)Kuchelewe kufika kileleniYajuwe matatizo yanayosababisha upungufu wa nguvu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live