Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Mmoja Nchini Kenya kufunguliwa mashitaka kwa kudaiwa kushirikiana na...

Jaji mmoja nchini Kenya anayejulikana kwa jina la Sankale Ole Kantai atafunguliwa mashtaka Mahakamani kufuatia madai kwamba alishirikiana na mshukiwa wa mauaji.Jaji huyo wa Mahakama ya rufaa, Sankale...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tyson Amtwanga Deontay Wilder raundi ya 7 na kuwa bingwa mpya wa WBC

Tyson Fury ameshinda pambano lake la leo Februari 23, 2020 la uzito wa juu dhidi ya Deontay Wilder kwa TKO raundi ya 7 na kuwa bingwa mpya wa WBC Tyson alionyesha umahiri wake katika ulingo baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Wa UVCMM Kata ya Hananasifu Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela Baada ya...

Katibu wa Umoja wa Vijana CCM Kata ya Hananasifu, Mohamed Nyandu amehukumiwa kulipa faini ya Sh1.5 milioni au kwenda jela miaka mitatu baada ya kukutwa na hatia ya kuishi nchini bila kibali.Nyandu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Awataka Watumishi wa Umma Watenge Muda wa Kusikiliza Kero za...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametaka watumishi wa umma nchini kote kutenga muda wa kusikiliza kero za wananchi.Alitoa maagizo hayo jana mjini hapa wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

K-lyinn Adai Kuzuiwa Kuingia Kwenye Kaburi La Reginald Mengi

Takriban mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamba amenyimwa kuona kaburi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba

==>>Kwa Nafasi Zingine Nyingi Zikiwemo za Mabenk, Makampuni Binafsi <<BOFYA HAPA>>

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu February 24

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Sekta Ya Madini Kuchangia Asilimia 10 Ya Pato La Taifa Ifikapo 2025

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hatua iliyofikiwa ya kuzuia uvunaji haramu wa rasilimali kwa utaoji wa cheti cha uhalisia kwa madini ya bati, kutaiwezesha sekta ya madini nchini kuchangia kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Israel Yadai Kuishambulia Syria Kwa Makombora

Israel inadai kuwa imevishambulia vituo vya kijeshi vya kundi lijiitalo Islamic Jihad karibu na mji mkuu wa Syria, Damascus. Taarifa ya jeshi la Israel inasema kuwa ndege zake zilipiga maeneo ya kundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango

Na Mwandishi wetu -Singida,Wazalishaji wa bidhaa  mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halima Mdee Agoma Kumpa Mkono aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent

Baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent Mashinji kuhamia CCM, leo Februari 24, amekutana na viongozi wa CHADEMA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa ajili ya kesi yao ya uchochezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Auawa kwa Radi Akinyolewa Saluni Njombe

Martin Nyigu (35) mkazi wa kijiji cha Lusitu, kata ya Luponde, halmashauri ya mji wa Njombe mkoani Njombe,  amefariki dunia kwa kupigwa na radi jana majira ya saa 9 alasiri akiwa ananyoa nywele saluni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Everton Yatandikwa 3-2 na Arsenal

Kombora la Pierre-Emerick Aubameyang na bao kutoka kwa kinda Eddie Nketiah yalitosha  kwa Arsenal kunyakuwa ushindi wa 3-2 dhidi ya Everton. Mechi hiyo ya Jumapili, Februari 23, iliyosakatwa ugani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatima Ya Tundu Lissu Kuhusu Ubunge Wake Kujulikana Kesho

Mahakama Kuu kesho itaanza kusikiliza maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumruhusu kwenda Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Spika wa Bunge, Jobu Ndugai, kumvua nafasi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ongezeko La Sangara Ziwa Victoria Laishtua Ccm,yatoa Maagizo Mazito

CHAMA cha Mapinduzi kimeshtushwa na ongezeko kubwa la samaki aina ya Sangara ikiwa ni miaka mitatu tu tangu Serikali ya awamu ya tano kuanza operesheni za kudhibiti uvuvi haramu katika Ziwa Victoria na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB yapongezwa kuisaidia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa kinara katika kuisaidia Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika kukusanya mapato katika sekta ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa habari , Erick Kabendera Atiwa Hatiani Kwa Mashitaka Mawili

Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani mwandishi wa habari , Erick Kabendera.Uamuzi huo wa mahakama umetolewa leo Jumatatu Februari 24, 2020 baada ya Kabendera kukiri mashtaka yake mawili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Erick Kabendera Aachiwa Huru Kwa Masharti Ya Kulipa Fidia Au...

Mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini Sh100 milioni baada kukiri kosa la  utakatishaji fedha na pia kulipa faini ya Sh250,000 au kwenda jela miezi mitatu kwa kukiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri  ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>