Mtandao
wa ghafla kutoka Kenya umeripoti kuwa, msanii Mr Nice, amejikuta
akizomewa na umati wa watu waliokuwa katika Club moja inayoitwa I club,
ambapo wachekeshaji Fred Omondi na Mc Antonio hufanya show zao pale kila
siku za jumapili.
Inasemekana
Mr Nice alikua ameenda pale kwa ajili ya kula good time tu, na
kufurahisha nafsi yake, lakini matokeo yake hayakuwa kama
↧