KIJANA mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa ni jambazi
amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali eneo la Mbezi kwa
Msuguli jijini Dar es Salaam.
Kijana huyo pamoja na mwenzake wakitumia
pikipiki walikuwa na silaha za moto tayari kwa kwenda kufanya uhalifu
lakini kabla mpango wao haujakamilika polisi waliingilia kati na kuanza
kupambana nao.
Haikuwa kazi rahisi
↧