Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

KAHAMA YAANZA MIKAKATI YA KUWAOKOA MAKAHABA KWA KUWAWEZESHA KIUCHUMI

$
0
0
Zaidi ya wanawake tisini wanaofanya biashara ya ngono wilayani Kahama mkoani Shinyanga wanatarajia kunufaika na mradi mpya wa kuwakomboa kutoka kwenye biashara hiyo, unaoratibiwa na HUHESO Foundation kwa ufadhili wa Rapid Funding Envelop (RFE).Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi wa shirika hilo Juma Mwesigwa wakati wa utambulisho wa mradi huo kwa wadau na waandishi wa habari katika kikao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>