Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tiko: Nataka Mtoto wa Pili lakini Sina Mwanaume wa Kunipa Mimba

$
0
0
Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema kuwa anatamani kupata mtoto wa pili kwa sababu mtoto wake wa kwanza amefikisha miaka 10, tatizo hana wa kuzaa naye. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Tiko alisema yeye ni ‘mgonjwa’ wa watoto wachanga na anahisi sasa ni muda muafaka ila tatizo mwanaume aliyenaye hana mpango wa kupata mtoto.   “Yaani acha tu, mpenzi niliyenaye naona

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>