Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lowassa Azidi Kushawishiwa Atangaze Nia Ya Kuwania Urais

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Shija Ntelezu, ameungana na baadhi ya wana CCM wengine kumuomba Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, ajitokeze kutangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.   Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Ntelezu alisema kwa niaba ya wana Kishapu wenzake anamuomba Lowassa baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>