WAKAZI
wa manispaa ya Shinyanga na viunga vyake, wameendelea kuteseka kwa
kukosa maji safi na salama kwa mfululizo wa siku nne sasa, baada ya
mitambo ya kusukuma maji kutoka chanzo cha ziwa Victoria (Ihelele), na
kusambaza maji hayo katika miji ya Kahama na Shinynga kupata hitilafu
kwenye mfumo wa umeme.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamezitupia lawama
mamlaka za
↧