Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shinyanga Yaendelea Kulia na Ukosefu wa Maji.....Hizi ni Picha za Wakazi wake wakiteseka kutafuta Maji

$
0
0
WAKAZI wa manispaa ya Shinyanga na viunga vyake, wameendelea kuteseka kwa kukosa maji safi na salama kwa mfululizo wa siku nne sasa, baada ya mitambo ya kusukuma maji kutoka chanzo cha ziwa Victoria (Ihelele), na kusambaza maji hayo katika miji ya Kahama na Shinynga kupata hitilafu kwenye mfumo wa umeme.   Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamezitupia lawama mamlaka za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>