Serikali imeruhusu wanafunzi wa shule za msingi na sekondari waliopata ujauzito kuendelea na masomo wanapojifungua.
Mratibu wa Masuala ya Jinsia wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Chimpaye Marango, wakati wa mjadala wa sababu za kuongezeka kwa idadi ya watoto ya mabinti wanaokosa elimu baada ya kupata mimba.
Mjadala huo ulioitishwa na asasi ya kiraia ya uchambuzi wa sera ya
↧