Huhitaji kujifikiria mara mbili kuamini kuwa Davido na Diamond haziivi tena kwa sasa!
Yote yalianza baada ya Davido kutweet ‘N they cheat again, Lol’ baada
ya Idris kutangazwa mshindi wa Big Brother Hotshots. Tweet hiyo
ikimfanya Davido atukanwe matusi ya kila aina kutoka kwa Watanzania.
Usiku huo huo, Diamond alishinda tuzo za TFA (The Future Awards) za Nigeria na kuandika:
↧