Juzi, mbunge wa mbeya mjini alitoa tusi zito kwa waziri mkuu wa Tanzania na kudai kuwa Tanzania haijawahi kuwa na waziri mkuu mpumbuvu kama yeye...
Kupitia account yake ya facebook, Sugu, ambaye ni mbunge wa mbeya amezidi kusisitiza kuwa hawezi kuomba msamaha wala kuifuta kauli yake....
Hii ni post yake facebook:
"...naskia
kuwa watu
↧