Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu anashikiliwa na TAKUKURU.

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu, pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Lojistiki wa MSD, Byekwaso Tabura, kwa tuhuma za kutumia madaraka yao vibaya na kusibabishia serikali hasara.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>