Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vinara wa Mabomu Wakamtwa wakiwa na Mabomu 7, Risasi 6 na Baruti jijini Arusha

$
0
0
JESHI la polisi hapa nchini limefanikiwa kuwatia mbaroni vinara wa milipuko ya mabomu hapa nchini, Yusufu Ally (30) na mkewe Sumaina Juma (19), wakazi wa Sombetini, wakiwa na mabomu ya kurusha kwa mkono aina ya Gurnet saba, risasi sita za shotgun, baruti, mapanga mawili na bisibisi moja.  Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI),

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>