Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Yatoa TAMKO Kuhusiana na Viungo vya Binadamu vilivyokamatwa Jana jioni jijini Dar.....Bofya hapa Kumsikiliza Kamanda wa Polisi

$
0
0
Polisi wa kituo kidogo cha polisi Usalama kilichopo maeneo ya Bunju A Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana usiku walilazimika kufyatua mabomu ya machozi pamoja na risasi kutawanya kundi kubwa la wananchi waliokuwa wamekizunguka kituo hicho kwa madai ya kutaka kuwachukuwa watuhumiwa wanaoadaiwa kukutwa na shehena ya viungo vya binadamu.   Tukio hilo lililoibua hofu kubwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>