Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia 'Kutunguliwa' Ukraine

$
0
0
Mabaki ya miili zaidi ya 100 yameokotwa jirani na eneo ilipoanguka ndege ya Malaysian Airlines kule Grabovo jirani na mpaka wa Ukraine na Urusi .    Reuters iliripoti mapema Alhamisi kuwa ndege hiyo yenye namba MH17 ilianguka jimboni Donetsk ikiwa njiani kuelekea Kuala Lumpur ikitokea mjini Amsterdam, Uholanzi.   Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa ndege hiyo ‘imetunguliwa’ na aidha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>