Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi Yamuua Sista wa Kanisa Katoliki kwa Risasi jijini Dar na kisha Kupora Fedha

$
0
0
Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.   Majambazi watatu  wamemuua kwa kumpiga risasi kichwani  Mhasibu wa Kanisa Katoliki, Usharika wa Makoka,  jijini Dar es Salaam, Sista Prisencia Kapuli na kisha kumpora fedha zinazokadiriwa kuwa zaidi ya Sh milioni 10 alizokuwa nazo.   Tukio hilo ni la jana saa 9 alasiri katika eneo la Ubungo Riverside wakati Prisencia, mtawa mwenzake pamoja na dereva

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>