Bunge la bajeti linaendelea bungeni mjini Dodoma ambapo sasa ni zamu
ya wizara ya fedha na uchumi. Bajeti yake imewasilishwa na waziri wa
fedha Saada Mkuya Salum ambapo bajeti yake imepita huku suala la deni la
taifa likiendelea kuumiza vichwa vya wabunge wengi kwa kuendelea kukua
siku hadi siku.
Suala hilo limeonekana kuwashtua wabunge wengi akiwemo Mheshimiwa
Christina Lissu
↧