Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ukuaji wa deni la taifa waumiza vichwa wabunge.....Mpaka sasa kila mtanzania anadaiwa Tsh.600,000

$
0
0
Bunge la bajeti linaendelea bungeni mjini Dodoma ambapo sasa ni zamu ya wizara ya fedha na uchumi. Bajeti yake imewasilishwa na waziri wa fedha Saada Mkuya Salum ambapo bajeti yake imepita huku suala la deni la taifa likiendelea kuumiza vichwa vya wabunge wengi kwa kuendelea kukua siku hadi siku.   Suala hilo limeonekana kuwashtua wabunge wengi akiwemo Mheshimiwa Christina Lissu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles