Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Adam Kuambiana kuzikwa Jumanne katika makaburi ya Kinondoni, jijini Dar

$
0
0
Mazishi ya muongozaji na msanii wa filamu Adam Kuambiana yatafanyika Jumanne (May 20) katika makaburi ya Kinondni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Mpekuzi, mwenyekiti wa bongo movie ,Steve Nyerere amesema kuwa marehemu ataagwa Leaders Club siku hiyo hiyo kabla ya mazishi.   “Habari za mazishi ni kwamba atazikwa siku ya jumanne na tutazika katika makaburi ya Kinondoni, kuagwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles