Unasumbuliwa na tatizo la sukari ya kupanda kwa muda mrefu ? Umejaribu tiba mbalimbali bila mafanikio?
Kama jibu lako ni NDIO nasi hii ni HABARI NJEMA SANA KWAKO.
Ipo dawa ya asili ambayo inasaidia sana kutibu tatizo la.sukari ya kupanda.
Kazi za dawa hii ni pamoja na kushusha sukari iliyo panda pamoja na kudhibiti kiwango cha sukari mwilini.
Dawa hii pia ni nzuri sana.kwa wanaume wenye tatizo la.ukosefu wa nguvu za kiume ambalo linasababishwa na.sukari. Dawa hii inaanza kuonyesha Matokeo mazuri ndani ya Siku saba.
Mtumiaji wa dawa hii anashauriwa kupima sukari yake ndani ya Siku saba tangu alipoanza kuitumia dawa hii ili kujionea mwenyewe ufanisi wa tiba hii na kuweza kuona namna ambavyo sukari yake imeshuka na baada ya hapo anashauriwa kuwa anapima kila baada ya Siku tatu hadi sukari yake itakapo fika normal.
KWA WENYE SUKARI NA PRESHA :
Uzoefu unaonyesha kuwa watu wengi wenye kusumbuliwa na tatizo la sukari huwa wanasumbuliwa na tatizo la presha pia.
Kwa.mtu mwenye tatizo la sukari ya kupanda ambalo lina ambatana na presha ya.kupanda anaweza kutumia dawa mbalimbali za asili kutibu tatizo la presha.
Moja kati ya dawa hizo ni pamoja na majani ya ukwaju. Majani ya ukwaju yanawasaidia sana watu wenye presha ya kupanda.
Jinsi yanavyo tumika unachukua majani fresh ya ukwaju kiasi cha kujaa viganja viwili vya mkono una yatwanga kwenye kinu au kuyaponda ponda had yalainike kabisa halafu unachanganya na.maji nusu Lita kisha unakamua pamoja na maji kupata kimiminika chake. Utatumia kunywa robo Lita asubuhi na robo Lita nyingine unatumia kunywa usiku kwa muda wa Siku ishirini na.moja.
Kama utashindwa kutwanga au kuponda ponda unaweza kutumia blender.
Majani hayo hayo ya ukwaju juisi yake inasaidia sana kuongeza maziwa kwa akina mama wanao nyonyesha. Inaongeza maziwa kwa kiasi kikubwa sana na kwa haraka sana.
Kupata dawa hii ya sukari fika katika duka la kuuza dawa za asili la Neema Herbalist.
Tunapatikana Ubungo jijini Dar Es Salaam jirani na.Shule ya Msingi Ubungo National Housing nyuma.ya jengo la Ubungo Plaza.
Kwa wateja wetu waliopo jijini Dar Es Salaam ambao hawana nafasi ya kufika ofisini kwetu, tunayo huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo ( Home & Office Delivery )
Na kwa wateja wa mikoani tunawatumia dawa kwa njia ya usafiri wa mabus mbalimbali.
Wasiliana.nasi kwa simu namba : 0693 005 189.