JESHI la polisi mkoani Tabora linamshikilia mwanamke
aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka
kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa
kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja...
Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka
huu shambani katika Kijiji cha Kigwa, Kata ya Ukondamoyo wilayani Uyui,
Mkoa wa
↧