Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Hatuna mpango wa kurudi Bungeni tena....Tutakachokifanya ni kuzunguka mikoani ili `kushitaki’ kwa wananchi"..UKAWA

$
0
0
  LICHA ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuwa tayari kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wajumbe hao wametangaza kutokuwa tayari kurudi mjini Dodoma kwa majadiliano ya aina yoyote.   Badala yake, umoja huo umetangaza kuendelea na dhamira ya kuzunguka katika mikoa mbalimbali nchini ili `kushitaki’ kwa wananchi, kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>