Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge maalumu la Katiba kuendelea leo licha ya baadhi ya wajumbe ( UKAWA ) kususia kikao hicho jana jioni

$
0
0
Vikao vya Bunge Maalum la Katiba vitaendelea tena leo kwa kujadili sura ya 1 na ya ile ya 6 ya Rasimu ya Katiba licha ya baadhi ya wajumbe kususia kikao hicho jana jioni na kutoka nje ya ukumbi kwa kile walichodai ni kuchoshwa na matusi, dharau na ubaguzi . Kauli ya kuendelea kwa kikao leo ilitolewa usiku wa jana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Federick Werema  kabla ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>