Ndugu Wanahabari,
Assalam Aleykum
Kama mnavyojua kwamba kumetokea tukio la kusikitisha la kuvunjwa kwa
Makaburi ya Masheikh Wetu, wapendwa wetu, wazazi wetu na viongozi wetu
wa Dini ya Kiisalam, Marehemu Sheikh Yahya Hussein Na Marehemu Sheikh
Kassim Bin Juma, Usiku wa kuamkia tarehe 10/4/2012 katika viwanja vya
Makaburi ya Tambaza Jirani na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
↧