Makamu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Issa Said
Mohamed akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Miono, katika mkutano wa
kampeni, uliofanyika kijijini hapo.
Baadhi
ya wananchi wa kijiji cha Miono wakiitikia kauli mbiu ya Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ya "Peoples Power" wakati wa mkutano
wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Miono.
Kiongozi
↧