Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kiongozi wa kidini mjini Mombasa, Sheikh Abubakar Shariff (Makaburi) auawa kwa kupigwa risasi

$
0
0
  Kiongozi wa Waislam wa mlengo wa siasa kali anayeitwa   Abubakari Sharif  maarufu kama Makaburi  ameuawa  kwa kupigwa risasi nchini Kenya  usiku  wa  kuamkia  leo.  Habari  zinasema  kuwa Makaburi aliuawa katika mtaa wa Shanzu mjini Mombasa ambako alikuwa anaishi.   Polisi wamekuwa wakimtuhumu Makaburi kwa kueneza itikadi kali za kiisilamu miongoni mwa vijana wa kiisilamu mjini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>