Naibu Katibu wa Fedha, Mwigulu Nchemba jana katika Bunge
Maalum La Katiba alichafua hali ya hewa baada ya kumwambia Mwenyekiti wa
Chadema Taifa, Freeman Mbowe na mwakilishi wa Mji Mkongwe, Ismail Jussa
kwamba wanataka wabunge wa bunge hilo watumie kura ya siri badala ya
wazi kwa kuwa ni mashoga.
"Wanaotetea kura ya siri itumike katika kupitisha Katiba ya
Watanzania, wanaunga
↧