Ray C ambaye anajipanga kurudi kwa kasi katika muziki wa Bongofleva
anadaiwa kulimezea mate penzi la Diamond Platinumz huku akihaha usiku na
mchana kumpata kwa kumpindua Wema Sepetu ambaye kwasasa ndiye
anayelifaidi penzi la Diamond. ...
Chanzo kimoja kilicho karibu na star huyo
kikizungumza na Swahilitz kilisema kuwa kwasasa jina la Diamond halikauki mdomoni mwa Ray C :
"Kwa sasa
↧