Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hofu ya vurugu kubwa yatanda jimbo la Kalenga mkoani Iringa baada CCM na CHADEMA kuanza kutuhumiana kuingiza vijana wenye silaha na tindikali

$
0
0
   Zikiwa zimesalia siku 12 kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Kalenga, zimeanza kuonekana dalili za vitendo vya uvunjifu wa amani baada ya vyama vikuu viwili vinavyokabana koo – CCM na Chadema kuanza kutuhumiana kwa vurugu.    Kutokana na hali hiyo, hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa Kalenga kutokana na madai kuwa kila chama kimeingiza watu kutoka nje ya Mkoa wa Iringa kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>