Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Daraja la Dumila mkoani Morogoro lililopo barabara ya Dodoma - Morogoro lasombwa na Maji, magari yakwama

Daraja la Dumila mkoani Morogoro lililopo barabara ya Dodoma - Morogoro limekatika na magari hayapiti baada ya mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia leo.    Baadhi ya magari yatokayo upande wa Dodoma na Moro yameamua kugeuza na kurudi yalipotokea maana hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo.   Kutokana na mvua hiyo, madarasa katika Shule ya Msingi Magole, Dumila, Morogoro nayoImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles