Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke wa kitanzania anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar akiyapeleka Macau nchini China

$
0
0
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya nchini, kimemkamata mwanamke mmoja Mtanzania akiwa amebeba kete 63 za dawa za kulevya aina ya heroine.  Mwanamke huyo, Salama Mzara mkazi wa Mbagala, jijini Dar es Salaam, alikamatwa juzi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa njiani kuelekea Macau nchini China. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>