Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali ya Zanzibar yakabidhi nyumba mpya kwa wananchi wake ikiwa ni moja ya sera zake za kuwajengea wananchi wake makazi mazuri.

$
0
0
Rais mstaafu  wa awamu ya sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume amesema majumba ya Mpapa yaliyokabidhiwa kwa wananchi 24 kutoka shehia 6 ya jimbo la bambi  yanahitaji kulindwa na kutunzwa ili yaweze kudumu zaidi uhai wake. Hayo ameyasema huko bambi wakati alipokua akiyakabidhi nyumba hizo kwa familia kadhaa katika sherehe za kuzifungua nyumba hizo kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>